Pre GE2025 Godbless Lema: Namuomba Mbowe apumzike, amuachie Lissu afanye kazi ya Uenyekiti CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Haya yote mnayajua baada ya Lisu kutaka Uenyekiti?

Mlimpa Umakamu akiwa wapi?

Ni hasara sana kwa wazazi waliowazaa na kuwasomesheni.
Kama huyu ndio juha hana hata chembe ya hekima, yaani ukitetewa au kupigiwa debe na huyu jua hauko sawa kichwani kujihusisha nae
 
Maswali ya msingi haya.
 
Tupe mifano kuonyesha Lissu hajatulia
 
I salute to Mr Godbless Lema, he has shown leadership and true friendship. A leader is person who is not afraid to speak the truth. And a good friend is a person whose not afraid to tell the truth to anyone and everyone. And if Mbowe is smart he should listen to those who are opposing him. They are his true friends.
 
Hakika.
 
nabii mnyang'anyi mashuhuri wa malori hana ushawishi wala credibility ya kuskizwa na wanachadema kuelekea uchaguzi wao muhimu wa kitaifa,

nadhani inafaa zaidi aendelee kupuuzwa kama alivyo puuzwa na wana Arusha wa chadema 🐒
Wewe mzee wa hovyo na wewe ni mwanachadema hadi uwasemee?
Aisee hatutaacha kuona vihoja kwa vizee vya CCM
 
Nikweli anamaanisha? Maana nnavyowajua wachagga asilimia kubwa wanabebana
 
Hamuwezi kuwa na keki na kuila. Kama kuna kada wa Chadema atakayempigia kura Mbowe kwa sababu anapigiwa debe na CCM basi huyo toka mwanzo hana mapenzi mema na chama chake. Ni wafuasi wa Lissu ndio waliougeuza huu uchaguzi kuwa wa kitaifa na sio wa kichama. Kwa hali hiyo hamuwezi kumzuia mtu yeyote kumpigia debe mtu anayemtaka hata kama lengo lake ni kubomoa chama.
Mimi sielewi hilo la kumtaka Mbowe awe mjenzi wa chama wakati mnasema ama hajafanya lolote wakati wa uongozi wake au amefanya vya kutosha awaachie wengine kazi ya kujenga chama.
FAFO

Amandla...
 
Kwani unapochangia kanisa au msikiti ni kwa sababu ni vya ndugu zako? Hakuna chama cha siasa katika nchi ya kidemokrasia kinachofanya biashara. Muundo wake hauruhusu hilo. CCM walikuwa na Sukita ikafa. Walirithi viwanja vya michezo kibao ambavyo navyo wameshindwa kuviendeleza.Na hii miradi yao mingine inadumu kwa sababu tu ni chama dola. Kikiachia dola nayo itakufa.
Vyama vya siasa vinategemea michango. Ni hilo tu.

Amandla...
 
Ukiona mpaka watu wako wa karibu wanatoka kukupinga hadharani kwa mambo ambayo wangeweza kukuambia faragha, jitafakari sana.

Lema umeonesha kwa vitendo wewe ni mkweli na muadilifu, pamoja na mafungamano yote na Mwenyekiti ila umesimamia ukweli.
Respect!
 
Huu uchaguzi wao kama ukiisha halafu wakauchukulia kama part tu ya demokrasia bila kutengana ,wataibuka na nguvu kubwa mno.
Sio Rahisi Lisu na team yake wamewachezea sana rafu wenzao na kuchafua sana sifa ya Chadema bila kutoa ushahidi wowote hakikika

Si tu wamemchafua Mbowe bali na Chadema mbele ya macho ya public kukionyesha kama chama cha hovyo kiluchojaa rushwa kuwa vionhozi wake wanahongana na kuhongeka kirahisi

Kwenye scenario kama hiyo sio Rahisi uchaguzi ukipita wakawa wamoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…