Semahengere
JF-Expert Member
- Nov 29, 2020
- 1,186
- 1,966
Chadema mkiendekeza mawazo mgando ya kupambana na Magufuli hamtafika popote! Magufuli alishazikwa nanyi kama chama mtazikwaAmedai hivyo kupitia akaunti yake ya twitter:
"Balozi wa Tanzania Nchini Canada Mh Mpoki Ulisubisya,alikuwa anaongea na Watanzania waishio Canada kwa njia ya Zoom...
Kwa hiyo wewe Salary Slip ni mzungu? Inakuongezea nini?Typical African Mentalily!
Kwa hiyo wazungu wakikufananisha na nyani unakasirika? Kwa nini ukasirike wakati wewe siyo nyani?Wazungu wakitufanisha waafrika na manyani maana yake ni hii, wapo sahii kabisa ,Wafrika sisi ni manyani tu.
Ona hii taka taka ya majalalani, nyani nyani kabisa.
Kwa kweli Balozi kafanya kitu kizuri sana. Kwa nini uingie kwenye mkutano wa watu wake wema. Wewe GODBLESS Lema umechagua kuwa kidudu mtu wa maendeleo na siasa za Tanzania. Ishia huko huko
And it's Very stupid mentality,we were created to be tyrant speciesTypical African Mentalily!
Jenerali Ulimwengu alisema hivi karibuni kuwa Taifa hili limekuwa la watu waoga/ hofu. Itachukua miaka kadhaa hofu aliyoiweka alietangulia kutoweka.Nasisitiza ibilisi joka kuu aliacha smetuharibia nchi na utaifa wetu kwa roho yake mbaya na chuki ambavyo alifanikiwa kuvipanda miongoni mwa wabaya wenzie.
Kwa hiyo Lema ndiyo ana common sense kwa kujipitisha kwenye ma NGO kutaka kukwamisha mahusiano ya kiuchumi ya Tanzania na mataifa? Sasa anataka nini kwenye mkutano wa balozi?Common sense is not so common.
Nani aliwadanganya kuwa ccm imebadilika?Amedai hivyo kupitia akaunti yake ya twitter:
"Balozi wa Tanzania Nchini Canada Mh Mpoki Ulisubisya,alikuwa anaongea na Watanzania waishio Canada kwa njia ya Zoom.Nilipata link na kuingia ktk mkutano huo. Baada ya sura yangu kuonekana, waandaaji wa mkutano waliniondoa ghafla.Nafikiri Rais Magufuli bado anatawala Tanzania."
View attachment 2041037
Kuna nuts zimelegea kichwani kwako, siyo bure! Umeelewa huo mkutano ulikuwa wa watu gani?Kwa nini uingie kwenye mkutano ambao haukukaribishwa? Ujinga, kukosa elimu na kukosa exposure ndiyo vinakusumbua.
Juzi Biden alikuwa na mkutano wa demokrasia, Tanzania hatukualikwa, ulitaka tujihudhurishe kishetani bila kualikwa?
Hata kulalamika mitandaoni inaonyesha ni kiasi gani wewe ni ignorant.
Tulisha laaniwa kitambo ndiyo maana kazi yetu maishani mwetu ni fitina na majungu na kuomba omba tuNgozi nyeusi ni laana!
Hata Jenerali Ulimwengu naye ni muoga!! Ujasiri wake uko wapi? Huyu si aliufyata kipindi cha Mwendazake miaka yote 5Jenerali Ulimwengu alisema hivi karibuni kuwa Taifa hili limekuwa la watu waoga/ hofu. Itachukua miaka kadhaa hofu aliyoiweka alietangulia kutoweka.
Akili zako zipo mashakaniDuuuuuu......hao wengine wote wanajulikana itikadi zao ? Sio kweli
Wanaweza wakarudi nyumbani lkn siyo ktk nyakati hizi maana adui yao bado anaishi.Halafu kuna watu wanataka Lema na Lissu warudi nchini.
Tanzania itaalikwa vipi kwenye mkutano wa demokrasia?Kwa nini uingie kwenye mkutano ambao haukukaribishwa? Ujinga, kukosa elimu na kukosa exposure ndiyo vinakusumbua.
Juzi Biden alikuwa na mkutano wa demokrasia, Tanzania hatukualikwa, ulitaka tujihudhurishe kishetani bila kualikwa?
Hata kulalamika mitandaoni inaonyesha ni kiasi gani wewe ni ignorant.
Wewe ushakuwa ni mpumbaf siku hizi naona umepatiwa kanafasi basi kameinunua akili yako ushakuwa mtumwa.Kwa kweli Balozi kafanya kitu kizuri sana. Kwa nini uingie kwenye mkutano wa watu wake wema. Wewe GODBLESS Lema umechagua kuwa kidudu mtu wa maendeleo na siasa za Tanzania. Ishia huko huko
Utaendelea kuramba miguu ya wakubwa wako wa chama lkn utabakia na umasikini wako tuKwa nini uingie kwenye mkutano ambao haukukaribishwa? Ujinga, kukosa elimu na kukosa exposure ndiyo vinakusumbua.
Juzi Biden alikuwa na mkutano wa demokrasia, Tanzania hatukualikwa, ulitaka tujihudhurishe kishetani bila kualikwa?
Hata kulalamika mitandaoni inaonyesha ni kiasi gani wewe ni ignorant.