Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Wachana na mazumbukuku hao wasiyo na A wala B za maisha yao.Duh! Unaelewa maana ya mkutano wa watanzania waishio Canada?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachana na mazumbukuku hao wasiyo na A wala B za maisha yao.Duh! Unaelewa maana ya mkutano wa watanzania waishio Canada?
Utaacha kuwa muoga wakati viloba vya kuwekea mahindi viligeuka kuwekewa miili ya watu wasiofahamika waliuwawaje.Hata Jenerali Ulimwengu naye ni muoga!! Ujasiri wake uko wapi? Huyu si aliufyata kipindi cha Mwendazake miaka yote 5
Asante sana mhenga wa JF Mamndenyi.Uwe unaonekana hivyo hivyo uwakomeshe
Kwa kweli Balozi kafanya kitu kizuri sana. Kwa nini uingie kwenye mkutano wa watu wake wema. Wewe GODBLESS Lema umechagua kuwa kidudu mtu wa maendeleo na siasa za Tanzania. Ishia huko huko
Ni majitu majinga kabisa hayajielewiAkili zako hazina akili.. kama umeshindwa kuelewa mkutano balozi na watanzania waishio Canada.. ni heli ubaki tu kuwa chawa.
Wahenga tunawaitaga kuwa ni takataka za Mungu.Hizo taka taka za majalalani maana yake, akili zao hazina akili. Haelewi anapuyanga tu.
Haya tuambie wewe, ukweli ni upi?Duuuuuu......hao wengine wote wanajulikana itikadi zao ? Sio kweli
Dr Msukuma Kasheku[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Anatawala ndani ya mioyo ya Sukuma Gang, na ss hv Std 7 ndo wanapigwa zawadi za PhD. Mtajua hamjui!!!
Umemaliza kazi kiongoziSiku ukijua kusoma na kuelewa kinachoandikwa utapiga hatua kimaisha
Hapa nyumbani hakuna usalama kwao maana bado wanawindwaViongozi wangu hawajashikiwa akili kihivyo, hawawezi rudi kwa propaganda za Lumumba kwenye mitandao. Kama ni mapambano watuongoze wakiwa huko huko, inapendeza zaidi.
Mh Lema anaweza akaota ndoto mbaya sana juuu yao na ikatimia .Labda waliona mh anaongeza gharama ya kugawa pipi na sambusa muda wa mkutano.
Wafuasi wake wote sasa hivi wanajuta na kusaga meno maana kila wanapopita wananyooshewa kidole.Nasisitiza ibilisi joka kuu aliacha smetuharibia nchi na utaifa wetu kwa roho yake mbaya na chuki ambavyo alifanikiwa kuvipanda miongoni mwa wabaya wenzie.
Ushazoea maisha ya mnywa gongo kila mara unapo piga fundo lazima ukunje sura na kufumba macho.Hivi uko Canada na Bado unatumia Tecno
Rudi nyumbani Mzee
Mama amechangamsha nchi
Nchi imeamka usingizini
Mikutano Arusha ya kumwaga
Matumaini yamerudi
Check tunavyotabasamu[emoji16][emoji16]
Hata Jenerali Ulimwengu naye ni muoga!! Ujasiri wake uko wapi? Huyu si aliufyata kipindi cha Mwendazake miaka yote 5
Mtazikwa nyinyi watwana wa jiwe sukuma gangChadema mkiendekeza mawazo mgando ya kupambana na Magufuli hamtafika popote! Magufuli alishazikwa nanyi kama chama mtazikwa
Ana akili kuliko wewe mramba miguu wa lumumbaKwa hiyo wewe Salary Slip ni mzungu? Inakuongezea nini?
Nyani ni wewe usiyojua baya na zuriKwa hiyo wazungu wakikufananisha na nyani unakasirika? Kwa nini ukasirike wakati wewe siyo nyani?
Zero brainMwanasiasa wa ovyo unaeshiriki mazishi ya mbwa ulitaka ukaongee nini huko kwenye mkutano wa mh Balozi.
Kumbuka tangu umekwenda huko kazi yako ni kuichafua nchi yetu pamoja na serikali yake.
Huo ni ujumbe kwako kwamba jamii ya diaspora wa Tanzania [emoji1241] nchini Canada[emoji1063] hawakuungi mkono kwa vitendo vyako.View attachment 2041051
Hapo ndiyo huwa naamini kuwa Mungu yupo na anaona kila kinachofanyika hapa duniani.Jenerali Ulimwengu alisema hivi karibuni kuwa Taifa hili limekuwa la watu waoga/ hofu. Itachukua miaka kadhaa hofu aliyoiweka alietangulia kutoweka.