crocodile
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 3,864
- 2,955
Mkuu ebu jaribu kuwa na mawazo progressive. Kama mtu hakubaliani na mawazo yako ukimtenga ndio atakubaliana?!Kwa kweli Balozi kafanya kitu kizuri sana. Kwa nini uingie kwenye mkutano wa watu wake wema. Wewe GODBLESS Lema umechagua kuwa kidudu mtu wa maendeleo na siasa za Tanzania. Ishia huko huko