Godbless Lema: Nimeondolewa Zoom baada ya sura yangu kuonekana katika mkutano wa Balozi na Watanzania waishio Canada

Godbless Lema: Nimeondolewa Zoom baada ya sura yangu kuonekana katika mkutano wa Balozi na Watanzania waishio Canada

Kwa kweli Balozi kafanya kitu kizuri sana. Kwa nini uingie kwenye mkutano wa watu wake wema. Wewe GODBLESS Lema umechagua kuwa kidudu mtu wa maendeleo na siasa za Tanzania. Ishia huko huko
Mkuu ebu jaribu kuwa na mawazo progressive. Kama mtu hakubaliani na mawazo yako ukimtenga ndio atakubaliana?!
 
Jenerali Ulimwengu alisema hivi karibuni kuwa Taifa hili limekuwa la watu waoga/ hofu. Itachukua miaka kadhaa hofu aliyoiweka alietangulia kutoweka.
Huo ndio ukweli mweupe kabisa,hofu aliyokuwa ameipanda Magufuli miongoni mwa watanzania haina tofauti na hofu iliyopandwa na kuachwa na biashara ya utumwa kwa waafrika. Kuna watendaji serikalini wanadhani bado Magufuli anatawala kwa jinsi alivyokuwa amewavuruga.
 
Hata Jenerali Ulimwengu naye ni muoga!! Ujasiri wake uko wapi? Huyu si aliufyata kipindi cha Mwendazake miaka yote 5
 
Mkuu ebu jaribu kuwa na mawazo progressive. Kama mtu hakubaliani na mawazo yako ukimtenga ndio atakubaliana?!
Huyu alikimbia Nchi wakati wa Magufuli kwa sababu ya kusalimisha maisha yake. Nami nilimuunga mkono wakati ule kwa kuwa Magufuli ni kweli alitaka kuwaua pamoja na Mbowe na Lissu.

Sasa Magufuli kafariki mwezi Machi. Samia yuko kwenye utawala na hana siasa za kishamba kama Magufuli, kwa nini Godbless Lema asirudi nchini?
 
Hata Jenerali Ulimwengu naye ni muoga!! Ujasiri wake uko wapi? Huyu si aliufyata kipindi cha Mwendazake miaka yote 5
 
Mbowe yuko wapi sasa hivi?
Huyu alikimbia Nchi wakati wa Magufuli kwa sababu ya kusalimisha maisha yake. Nami nilimuunga mkono wakati ule kwa kuwa Magufuli ni kweli alitaka kuwaua pamoja na Mbowe na Lissu.

Sasa Magufuli kafariki mwezi Machi. Samia yuko kwenye utawala na hana siasa za kishamba kama Magufuli, kwa nini Godbless Lema asirudi nchini?
 
Hata Jenerali Ulimwengu naye ni muoga!! Ujasiri wake uko wapi? Huyu si aliufyata kipindi cha Mwendazake miaka yote 5
 
Utaacha kuwa muoga wakati viloba vya kuwekea mahindi viligeuka kuwekewa miili ya watu wasiofahamika waliuwawaje.
Mkuu inawezekana huyu mtu ni mmijawapo wa waliokuwa wanafanya hiyo kazi ya kushona hivyo viroba.

Akili zake zinaashiria hivyo
 
Kwa nini uingie kwenye mkutano ambao haukukaribishwa? Ujinga, kukosa elimu na kukosa exposure ndiyo vinakusumbua.
Juzi Biden alikuwa na mkutano wa demokrasia, Tanzania hatukualikwa, ulitaka tujihudhurishe kishetani bila kualikwa?
Hata kulalamika mitandaoni inaonyesha ni kiasi gani wewe ni ignorant.
Wewe ni kaburu, hata kwa jina linathibitisha Hilo, je acha mawazo ya kikaburu, na mwonekana unageuka kuwa mkoloni mweusi ndani ya tz.
 
Kwa kweli Balozi kafanya kitu kizuri sana. Kwa nini uingie kwenye mkutano wa watu wake wema. Wewe GODBLESS Lema umechagua kuwa kidudu mtu wa maendeleo na siasa za Tanzania. Ishia huko huko
Hayo ni mawazo ya bwana jela🤔.
 
Huyu alikimbia Nchi wakati wa Magufuli kwa sababu ya kusalimisha maisha yake. Nami nilimuunga mkono wakati ule kwa kuwa Magufuli ni kweli alitaka kuwaua pamoja na Mbowe na Lissu.

Sasa Magufuli kafariki mwezi Machi. Samia yuko kwenye utawala na hana siasa za kishamba kama Magufuli, kwa nini Godbless Lema asirudi nchini?
Mimi sijui nani alitaka kumuua nani ila kama kweli, Je huyo Marehemu alikuwa amdhuru Lema kwa mkono wake au kuna watu wengine walihusishwa? Je hao watu wengine nao wamekufa?!
 
Mwendazake aliiaribu nchi, alitengeneza mijitu ya hovyo na bado ipo serikalini inahudumu katika nafasi zao
 
Mtanzania gani anahimiza achangiwe fedha kupitia mitandao ili akashwishi Nchi wahisani zikate misaada?

Yaani Godbless Lema haoni kazi anapofanya Rais SSH? Au tumekariri tu kuwa UPINZANI ni KUPINGA kila kitu?

Kwahiyo Lema sio Mtanzania tena? Kuna mahala aliwahi kusema ameukana utanzania wake? Au kuna sheria inasema mtu akitenda uliyotaja hapo juu utanzania wako unafutwa automatically?
 
Back
Top Bottom