Godbless Lema: Nimeondolewa Zoom baada ya sura yangu kuonekana katika mkutano wa Balozi na Watanzania waishio Canada

Godbless Lema: Nimeondolewa Zoom baada ya sura yangu kuonekana katika mkutano wa Balozi na Watanzania waishio Canada

Unaingiaje kwenye mkutano ambao haukuhusu, ukitolewa unakuja kulialia kwenye mitandao
 
Mimi sijui nani alitaka kumuua nani ila kama kweli, Je huyo Marehemu alikuwa amdhuru Lema kwa mkono wake au kuna watu wengine walihusishwa? Je hao watu wengine nao wamekufa?!
Hili ni kweli Magufuli alikuwa anataka kuwapoteza Lissu, Lema na Mbowe. Wala usibishe
 
Kwahiyo Lema sio Mtanzania tena? Kuna mahala aliwahi kusema ameukana utanzania wake? Au kuna sheria inasema mtu akitenda uliyotaja hapo juu utanzania wako unafutwa automatically?
Mtanzania akifika level hiyo ya Lema ni malaya. Na malaya hakai nyumbani mahali pake ni danguro. Hastahili kuingia zoom ya balozi
 
Amedai hivyo kupitia akaunti yake ya twitter:

"Balozi wa Tanzania Nchini Canada Mh Mpoki Ulisubisya,alikuwa anaongea na Watanzania waishio Canada kwa njia ya Zoom.Nilipata link na kuingia ktk mkutano huo. Baada ya sura yangu kuonekana, waandaaji wa mkutano waliniondoa ghafla.Nafikiri Rais Magufuli bado anatawala Tanzania."

View attachment 2041068
Aliingiaje bila kukalibishwa?
Ajitathimini, unaalikwa ndio unaigia sasa yeye kazoea kuruka ukuta.
 
Amedai hivyo kupitia akaunti yake ya twitter:

"Balozi wa Tanzania Nchini Canada Mh Mpoki Ulisubisya,alikuwa anaongea na Watanzania waishio Canada kwa njia ya Zoom.Nilipata link na kuingia ktk mkutano huo. Baada ya sura yangu kuonekana, waandaaji wa mkutano waliniondoa ghafla.Nafikiri Rais Magufuli bado anatawala Tanzania."

View attachment 2041068
Anashangaa kwani mbowe yuko wapi

Pole pole kashasema hii ni awamu ya tano
 
Amedai hivyo kupitia akaunti yake ya twitter:

"Balozi wa Tanzania Nchini Canada Mh Mpoki Ulisubisya,alikuwa anaongea na Watanzania waishio Canada kwa njia ya Zoom.Nilipata link na kuingia ktk mkutano huo. Baada ya sura yangu kuonekana, waandaaji wa mkutano waliniondoa ghafla.Nafikiri Rais Magufuli bado anatawala Tanzania."

View attachment 2041068
Tatizo la lema na genge lake tuliwaonya tangu enzi zile kuwa wawe na hoja au waponge hoja badala ya kushughulikia na utu wa Dkt Magufuli, ila wao walijiaminisha mbaya wao ni Dkt Magufuli. Na bado watakoma! Maana walimdhalilisha sana taasisi ya urais na ndiyo maana hawataachwa mpaka wamalizame nao na ndiyo kizazi kinachokuja kitajifunza kuwa na hoja
 
lema akili yako bado haijakaa sawa ,tangu ibunguliwe na wadudu ,hata ww nafsi yako inakupa majibu ulijipanga kumchafulia baloz hiyo meeting,hivyo kwa maslahi mapana ya nchi ,baloz kafanya vyema kuku ignore kwenye hiyo meeting. mjifunze ku appreciate & ku challenge,sio kutoa matusi na kabehi,Sasa hv tuko na Samia ,ww unaweweseka na jpm,fu.......c...............k............k.........
 
kwani yeye ni mtanzania anayeishi Canada au mkimbizi wa kisiasa
 
Kwa kweli Balozi kafanya kitu kizuri sana. Kwa nini uingie kwenye mkutano wa watu wake wema. Wewe GODBLESS Lema umechagua kuwa kidudu mtu wa maendeleo na siasa za Tanzania. Ishia huko huko
Coward and tyrant mentality

Tanzania ni ya wote bila kujali itikadi
 
Kwahiyo Lema sio Mtanzania tena? Kuna mahala aliwahi kusema ameukana utanzania wake? Au kuna sheria inasema mtu akitenda uliyotaja hapo juu utanzania wako unafutwa automatically?
ni kweli, automatically unajifuta,tz hatuna uraia pacha!! automatically huyo sio mtanzania
 
Amedai hivyo kupitia akaunti yake ya twitter:

"Balozi wa Tanzania Nchini Canada Mh Mpoki Ulisubisya,alikuwa anaongea na Watanzania waishio Canada kwa njia ya Zoom.Nilipata link na kuingia ktk mkutano huo. Baada ya sura yangu kuonekana, waandaaji wa mkutano waliniondoa ghafla.Nafikiri Rais Magufuli bado anatawala Tanzania."

View attachment 2041068
Pole.
 
Malaya hawakai katika madanguro tu, unaweza kuta hata mama au dada yako ni malaya na anakaa nyumbani, kuwa mstaarabu.
Mtanzania akifika level hiyo ya Lema ni malaya. Na malaya hakai nyumbani mahali pake ni danguro. Hastahili kuingia zoom ya balozi
 
Wazungu wakitufanisha waafrika na manyani maana yake ni hii, wapo sahii kabisa ,Wafrika sisi ni manyani tu.
Ona hii taka taka ya majalalani, nyani nyani kabisa.
Kwenye ukoo wenu wa manyani usijumulishe tusiokuwa wa ukoo wenu
 
Amedai hivyo kupitia akaunti yake ya twitter:

"Balozi wa Tanzania Nchini Canada Mh Mpoki Ulisubisya,alikuwa anaongea na Watanzania waishio Canada kwa njia ya Zoom.Nilipata link na kuingia ktk mkutano huo. Baada ya sura yangu kuonekana, waandaaji wa mkutano waliniondoa ghafla.Nafikiri Rais Magufuli bado anatawala Tanzania."

View attachment 2041068
mabalozi woote na crew nzima ni wanaccm.

Mh Lema alitaka kushiriki mkutano wa Chama??

Hao watanzania waishio kanada ilikuwa ni geresha tu huo ni mkutano wa chama na maafisa wa......
 
Back
Top Bottom