Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
Siwezi kufikiria kama wewe au kuishi kwa kukariri. Tuliipinga Serikali dhalimu ya Mwendazake mpaka akafa.Wewe ushakuwa ni mpumbaf siku hizi naona umepatiwa kanafasi basi kameinunua akili yako ushakuwa mtumwa.
Amekuja Rais SSH anafanya mambo mazuri, uchumi unakua, demokrasia inakuwa, utawala bora unaonekana, mauaji ya wakosoaji hayapo, kwa nini nisimuunge mkono?
Haya anapofanya Samia ndiyo tuliyapigania wakati wa Mwendazake. Kwa nini usimuunge mkono?