Godbless Lema: Nitaenda gerezani kumtembelea Sabaya

Godbless Lema: Nitaenda gerezani kumtembelea Sabaya

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Kaskazini ambaye pia ni Mbunge wa zamani wa Arusha Mjini, Godbless Lema “Nitaweka presha kubwa kila mahali waliofanya makosa wakishirikiana na Sabaya nao wahojiwe au Sabaya aachiwe.”

“Mbona Serikali inachagua, kama ni hivyo basi Sabaya anaonewa kwa kuwa waliofanya mambo mabaya zaidi wapo nje, Sabaya aachiwe basi, walioshirikiana naye wapo na wengine ni Wabunge."

"Nitaenda kumsalimia Sabaya, Jumamosi au Jumapili nitaenda kumsalimia Jela."

Chanzo: Millard Ayo
 
Mheshimiwa Lema nenda ukifika tusalimie. Ongea na Mr Mbowe akupe walinziwake 3 aliwaajiri kutoka Ngerengere ni maksmandoo ya TPDF yamepigans hadi Kosovo na South Sudan.

Mr Mbowe aliyakodisha yakamuue ole Sabaya na yalikuwa njiani kwe da kumuua Sombetini bahati mbaya (bahati nzuri kwake) yskaamua kupita Rau Madukani kunywa mbege na kujinafasi na wahadumu, ndipo ku.be Afande Kingai na Afande Jumanne wakaja wakayakamata hands up!

Nenda nayo,ole Sabaya apate kuyaona na menyewe yamuone ili litimie lililopangwa na Afande Urio, sting operation kama ya Robert Redford na Paul Newma
 
Sasa Jombaa ukitaka hivyo kila kiongozi wa ccm atafungwa! Mambo ya Sabaya kuna sehemu yalifanywa chini ya usimamizi wa DSO( mkuu wa usalama wa Wilaya) na vijana wake na OCD( mkuu wa polisi Wilaya) na vijana wake...

Na taarifa nilizonazo baadhi ya operation za kinyama na kikatili Sabaya alimpgia cm Jpm na kumweka loud speaker mbele ya niliowataja na alipongezwa huku vijana wa tiss na polisi wakisikia.

Pili ukitaka kufatilia maovu ya utawala dhalimu wa Jpm utajikuta hata makamu wa Rais wa sasa anafungwa maana yeye alikuwa waziri wa fedha wakati kina Dotto James wanakwapua mabilioni hazina kwenda kuhonga wabunge,na madiwani na wanasiasa wa upinzani ili waunge juhudi(REJEA UGOMVI WA CAG PROFESSOR ASSAD NA MAGU WA TILION 1.5).....huuu mradi amenufaika nao sana Pole pole na Bashite japo Bashite alienda extra mile katika hili kwa kuratibu utekaji,utesaji na uuwaji wa wanaompinga Jpm.

Urafk wa Bashite na Jpm na Sabaya ulitokana na hayo niliyoyaeleza hapo juu...NA ALIYEKUWA MKURUNGENZI WA CIA( Shirika la kijajusi la Marekani) na badae kuwa waziri wa mambo ya nje wa Marekani alisema wazi Bashite ni muuwaji( yaani ananyima watu haki ya kuishi) Bila kelele za wasanii na watanzania Roma mkatoliki asingekuwa hai leo hii.
 
Mheshimiwa Lema nenda ukifika tusalimie. Ongea na Mr Mbowe akupe walinziwake 3 aliwaajiri kutoka Ngerengere ni maksmandoo ya TPDF yamepigans hadi Kosovo na South Sudan. Mr Mbowe aliyakodisha yakamuue ole Sabaya na yalikuwa njiani kwe da kumuua Sombetini bahati mbaya (bahati nzuri kwake) yskaamua kupita Rau Madukani kunywa mbege na kujinafasi na wahadumu, ndipo ku.be Afande Kingai na Afande Jumanne wakaja wakayakamata hands up! Nenda nayo,ole Sabaya apate kuyaona na menyewe yamuone ili litimie lililopangwa na Afande Urio, sting operation kama ya Robert Redford na Paul Newman
Acha uongo wewe.
Kesi ilikuwa ni ya mchongo.
 
Back
Top Bottom