Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bashite mbona hajauliwa!?Atauliwa, serikali siyo wajinga kumzuia gerezani
Kwenda kumtembela ni kosa? Ishi ina mazezeta wengi sanaYetu macho kapewa uhuru kidogo kaanza mbwembwe shauri yake
Kwenda kutembelewa wafungwa hairuhusiwi? Punguza uzezetaJamaa anaenda kumng'ong'a tu. Daah kweli dunia duara. Natamani Magereza wamkatalie Lema asiende huko.
Ipo siku Lema atasema anaenda kuzuru kaburi la Mwendazake.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mheshimiwa Lema nenda ukifika tusalimie. Ongea na Mr Mbowe akupe walinziwake 3 aliwaajiri kutoka Ngerengere ni maksmandoo ya TPDF yamepigans hadi Kosovo na South Sudan.
Mr Mbowe aliyakodisha yakamuue ole Sabaya na yalikuwa njiani kwe da kumuua Sombetini bahati mbaya (bahati nzuri kwake) yskaamua kupita Rau Madukani kunywa mbege na kujinafasi na wahadumu, ndipo ku.be Afande Kingai na Afande Jumanne wakaja wakayakamata hands up!
Nenda nayo,ole Sabaya apate kuyaona na menyewe yamuone ili litimie lililopangwa na Afande Urio, sting operation kama ya Robert Redford na Paul Newma
Yetu macho kapewa uhuru kidogo kaanza mbwembwe shauri yake
Auliwe na nani? Kwani alizaliwa gerezani?maisha yake yote uraiani nani aliwahi kumuua? mbona gaidi mbowe aliachiwa na akaalikwa ikulu hakuna aliyemuua?
Nitakupunguzia wewe huo uzezetaKwenda kutembelewa wafungwa hairuhusiwi? Punguza uzezeta
Inakuaje sabaya awe kitoeoUungwana ni vitendo
Lema ACHA kimbelembele...wakati ule Sabaya anajiona Mungu mtu nakumbuka aliandaa wahuni kule Bomang'ombe, Hai wakashambulia msafara wa mgombea urais CHADEMA Tundu Lussu kwa mawe.
Narudia Lema acha kiherehere, amekamatwa Sabaya ambaye alikuwa mratibu wa wahuni inatosha...yeye ndio alikuwa baba lao.
Kingine Lema jifunze kuchagua maneno ya kuongea majukwaani au pindi unapohojiwa.
Bashite mbona hajauliwa!?
Pumbavu wewe na kenge mkubwa!Aachiwe tu huyo Jambazi arudi mtaani
Yaani wewe Gaidi unamwita Mbowe gaidi?Ushindwe na ulegee kama mwendazake.Auliwe na nani? Kwani alizaliwa gerezani?maisha yake yote uraiani nani aliwahi kumuua? mbona gaidi mbowe aliachiwa na akaalikwa ikulu hakuna aliyemuua?
Ushauri mzuri inampasa Lema aufanyie kazi maana naona anaropoka sana.Lema ACHA kimbelembele...wakati ule Sabaya anajiona Mungu mtu nakumbuka aliandaa wahuni kule Bomang'ombe, Hai wakashambulia msafara wa mgombea urais CHADEMA Tundu Lussu kwa mawe...
Alimdharau Ana Mghwira boss wake.Inakuaje sabaya awe kitoeo
Infact sio kosaKwenda kumtembela ni kosa? Ishi ina mazezeta wengi sana