Godbless Lema: Nitaenda gerezani kumtembelea Sabaya

Godbless Lema: Nitaenda gerezani kumtembelea Sabaya

Lema ACHA kimbelembele...wakati ule Sabaya anajiona Mungu mtu nakumbuka aliandaa wahuni kule Bomang'ombe, Hai wakashambulia msafara wa mgombea urais CHADEMA Tundu Lussu kwa mawe.
Narudia Lema acha kiherehere, amekamatwa Sabaya ambaye alikuwa mratibu wa wahuni inatosha...yeye ndio alikuwa baba lao.
Kingine Lema jifunze kuchagua maneno ya kuongea majukwaani au pindi unapohojiwa.
 
Mheshimiwa Lema nenda ukifika tusalimie. Ongea na Mr Mbowe akupe walinziwake 3 aliwaajiri kutoka Ngerengere ni maksmandoo ya TPDF yamepigans hadi Kosovo na South Sudan.

Mr Mbowe aliyakodisha yakamuue ole Sabaya na yalikuwa njiani kwe da kumuua Sombetini bahati mbaya (bahati nzuri kwake) yskaamua kupita Rau Madukani kunywa mbege na kujinafasi na wahadumu, ndipo ku.be Afande Kingai na Afande Jumanne wakaja wakayakamata hands up!

Nenda nayo,ole Sabaya apate kuyaona na menyewe yamuone ili litimie lililopangwa na Afande Urio, sting operation kama ya Robert Redford na Paul Newma

Wewe ndio ulitaka kumuua Sabaya. Kajisalimishe mwenyewe.
 
Lema ACHA kimbelembele...wakati ule Sabaya anajiona Mungu mtu nakumbuka aliandaa wahuni kule Bomang'ombe, Hai wakashambulia msafara wa mgombea urais CHADEMA Tundu Lussu kwa mawe.
Narudia Lema acha kiherehere, amekamatwa Sabaya ambaye alikuwa mratibu wa wahuni inatosha...yeye ndio alikuwa baba lao.
Kingine Lema jifunze kuchagua maneno ya kuongea majukwaani au pindi unapohojiwa.

Lema naye apewe gavana maana anaongea bila break shauri zake. Huwezi kusema Kama wengine hawajakamatwa Sabaya aachiwe, aachiwe kwa lipi?.
 
Lema ACHA kimbelembele...wakati ule Sabaya anajiona Mungu mtu nakumbuka aliandaa wahuni kule Bomang'ombe, Hai wakashambulia msafara wa mgombea urais CHADEMA Tundu Lussu kwa mawe...
Ushauri mzuri inampasa Lema aufanyie kazi maana naona anaropoka sana.
 
Back
Top Bottom