itoko jr
JF-Expert Member
- Feb 26, 2023
- 1,126
- 2,537
MURUSI.naomba kujua elimu yako maana ninamashaka na comment zakoKwenda kutembelewa wafungwa hairuhusiwi? Punguza uzezeta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MURUSI.naomba kujua elimu yako maana ninamashaka na comment zakoKwenda kutembelewa wafungwa hairuhusiwi? Punguza uzezeta
😂😂😂Jamaa anaenda kumng'ong'a tu. Daah kweli dunia duara. Natamani Magereza wamkatalie Lema asiende huko.
Ipo siku Lema atasema anaenda kuzuru kaburi la Mwendazake.🤣🤣🤣🤣
Wanaomtesa sabaya ni watu wabaya sana. Mungu tuepushe na jini la kisasi. Umma utakaposhika dola hakika fisadi na wahuni wanaomtesa sabaya na wao watakiona.Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Kaskazini ambaye pia ni Mbunge wa zamani wa Arusha Mjini, Godbless Lema “Nitaweka presha kubwa...
Sio mimi mkuu. Mwenyekiti alishitakiwa na jamhuri kwa ugaidi akakutwa na kesi ya kujibuYaani wewe Gaidi unamwita Mbowe gaidi?Ushindwe na ulegee kama mwendazake.
Makonda maarufu as DAUDI ALBERT BASHITE.Nasikia wengine ni vipenzi vya bi Dr tozo, hawawezi kuguswa
Lema akitoka Kwa Sabaya, na Lissu akitoka Belgium, Waende Chato kuweka Maua kwenye Kaburi la JiweMwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Kaskazini ambaye pia ni Mbunge wa zamani wa Arusha Mjini, Godbless Lema...
Kwa sasa wakikutana kwa bahati mbaya uso kwa uso na Bashite lazima Bashite ageuke Bolt nakutoka nduki ya hatariInatosha sasa Lema adhibitiwe asije kujipa jukumu la kumtafuta Bashite wapige story
Jiwe alikuwa mshamba Sana!Lema akitoka Kwa Sabaya, na Lissu akitoka Belgium, Waende Chato kuweka Maua kwenye Kaburi la Jiwe
Maikini Bashite aliwahi kusema hakuna mtu anae kula raha duniani zaidi yake,na akasisitiza kwa kurudia mara kadha. Aliwahi kusema angewaona watumishi wa mkoa wake wanabango la kudai nyongeza ya mshahara siku ya mei mosi angewachapa viboko hadharani. Bashite alikuwa wa kupost insta kila siku yupo gym,mara Ufaransa mara Us mara South Africa akijiita baba Keegan leo hii haonekani hadharani tena kuipa hamasa timu yake ya Simba hamasa. Bashite aliwahi kutamka atae desha operation ya kuwapima Wana Dar tezi dume, Bashite aliwahi kupiga marufuku Wabunge wa Chadema wasifike Dar waliposusia BungeKwa sasa wakikutana kwa bahati mbaya uso kwa uso na Bashite lazima Bashite ageuke Bolt nakutoka nduki ya hatari
Ninyi si mlikuwa mnataka sabaya aachiwe? Lema kasema aachiwe ila cha kushangaza hamtaki tena eti kisa ni chadema. Kweli mataga ni wapumbavuJamaa anaenda kumng'ong'a tu. Daah kweli dunia duara. Natamani Magereza wamkatalie Lema asiende huko.
Ipo siku Lema atasema anaenda kuzuru kaburi la Mwendazake.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huna akili JoHapo magereza wamsachi vizuri huyo Lema kwa sababu Ole Sabaya ana tishio la kuwindwa na Magaidi
Akumbuke kumpelekea vilainishi apunguze mateso jamaa wanampelekea moto wa hatariMwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Kaskazini ambaye pia ni Mbunge wa zamani wa Arusha Mjini, Godbless Lema “Nitaweka presha kubwa kila mahali waliofanya makosa wakishirikiana na Sabaya nao wahojiwe au Sabaya aachiwe.”
“Mbona Serikali inachagua, kama ni hivyo basi Sabaya anaonewa kwa kuwa waliofanya mambo mabaya zaidi wapo nje, Sabaya aachiwe basi, walioshirikiana naye wapo na wengine ni Wabunge."
"Nitaenda kumsalimia Sabaya, Jumamosi au Jumapili nitaenda kumsalimia Jela."
Chanzo: Millard Ayo
Huyo hajitambui,anatakiwa akae jela mwaka mmja Ili akili ikae sawa.Sasa Jombaa ukitaka hivyo kila kiongozi wa ccm atafungwa! Mambo ya Sabaya kuna sehemu yalifanywa chini ya usimamizi wa DSO( mkuu wa usalama wa Wilaya) na vijana wake na OCD( mkuu wa polisi Wilaya) na vijana wake...
Na taarifa nilizonazo baadhi ya operation za kinyama na kikatili Sabaya alimpgia cm Jpm na kumweka loud speaker mbele ya niliowataja na alipongezwa huku vijana wa tiss na polisi wakisikia.
Pili ukitaka kufatilia maovu ya utawala dhalimu wa Jpm utajikuta hata makamu wa Rais wa sasa anafungwa maana yeye alikuwa waziri wa fedha wakati kina Dotto James wanakwapua mabilioni hazina kwenda kuhonga wabunge,na madiwani na wanasiasa wa upinzani ili waunge juhudi(REJEA UGOMVI WA CAG PROFESSOR ASSAD NA MAGU WA TILION 1.5).....huuu mradi amenufaika nao sana Pole pole na Bashite japo Bashite alienda extra mile katika hili kwa kuratibu utekaji,utesaji na uuwaji wa wanaompinga Jpm.
Urafk wa Bashite na Jpm na Sabaya ulitokana na hayo niliyoyaeleza hapo juu...NA ALIYEKUWA MKURUNGENZI WA CIA( Shirika la kijajusi la Marekani) na badae kuwa waziri wa mambo ya nje wa Marekani alisema wazi Bashite ni muuwaji( yaani ananyima watu haki ya kuishi) Bila kelele za wasanii na watanzania Roma mkatoliki asingekuwa hai leo hii.
Na TapeliJiwe alikuwa mshamba Sana!
Naomba tuongozane, nina mche wa sabuni kwaajili yake"Nitaenda kumsalimia Sabaya, Jumamosi au Jumapili nitaenda kumsalimia Jela."
Hahaaaaaa! Maridhiano kakaHuyo hajitambui,anatakiwa akae jela mwaka mmja Ili akili ikae sawa.