JABALI LA KARNE
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 3,093
- 5,850
Credibility ya anayetoa hoja kwa marehemu kwa anao watumia ujumbe.Nadhani ujumbe wa Lema upo wazi - watawala wa sasa wafanye kazi, na siyo kukimbia udhaifu wao kwa kumtupia lawama marehemu. Marehemu awe alitenda vema au vibaya, haituhusu, wao wanatakiwa watimize wajibu wao, au waseme ti kuwa wameshindwa.
Utabiri ambao haujatimia bado ni wa yule kiranja wa mazuzu,na tuko kwenye maombi ili utimie haraka kabla mwaka huu kwishaSasa asipige yowe za umeme sijui marehemu anasingiziwa, ajikite na kutabiri.
Kwani huu mradi ulishakamilika ukashindwa kuwa na ufanisi kwa sababu ya ukame!?Rubbish..kwa hiyo mradi wenye tija ni huu unaoathiriwa na ukame? Una uhanisi wa akili wewe kibwengo.
Lema nwkushauri vaa viatu vya Dr Slaa kuibua hoja nzito za kitaifa zenye maslahi kwa watanzania walio wengi utaungwa mkono na Wana CCM na wasio na vyama .Bus Sasa Lema pilipili ya shamba ya kuwashia nini? Wewe jadidili mambo ya Ontario huko.
Lakini si wewe ulimtabiria kifo Mzee wetu? Ulimuona hafai? Je, upendo wako kwake umeanza lini?
Kweli kabisaLema nwkushauri vaa viatu vya Dr Slaa kuibua hoja nzito za kitaifa zenye maslahi kwa watanzania walio wengi utaungwa mkono na Wana CCM na wasio na vyama .
Toka Slaa aondoke Chadema kwa kwa kuzira sababu ya upuuzi huko wa kukaribisha mifisadi akina Lowasa hajapata replacement ya opposition mtu serious msimamia agenda serious za walio wengi kitaifa
Kwa hoja hii umetoa unaanza kuvaa viatu vya Dk Slaa vya kubeba agenda serious inayoweza kupaisha Chadema Tena kuwa great opposition party inayosimama na majority Tanzanians wataka umeme wa uhakika affordable na Maji ya uhakika na affordable .Go ahead Uko kwenye right track kubeba agenda za wananchi walio wengi
KabisaNadhani ujumbe wa Lema upo wazi - watawala wa sasa wafanye kazi, na siyo kukimbia udhaifu wao kwa kumtupia lawama marehemu. Marehemu awe alitenda vema au vibaya, haituhusu, wao wanatakiwa watimize wajibu wao, au waseme tu kuwa wameshindwa. Ukiwa dhaifu, huwezi kuondokana na udhaifu kwa kuonesha madhaifu ya mwingine.
Jamaa angeruhusu demokrasia, miili idiokotwe ufukweni, wasiojulikana wasiwepo, angekumbukwa mpaka na shetani. Alifanya baadhi mazuri tu na makubwa lakin maovu aliyofanya yamefanya yote mazuri aliyoyafanya yawe uharo mtupu. Huwez kupoteza roho za watu eti kisa ujenge flyover!!..huwez kuwanyima wastaafu mafao yao, ufukuze watumishi kinyume cha utaratibu, ukajenge liuwanja la kimataifa kijijin chato kinyume cha utaratibu kisa eti unajenga stigliers gorge..kifup mzee alifanya mengi mazuri lakin yote aliyageuza uharo yeye mwenyewe.Eeeh Lema leo anamkumbuka JPM, haya bana
Cdm ilikaribisha mafisadi ya ccm kwa nia njema ya kuyageuza yaache ufisadi na, kwa hilo, cdm ikaifanya ccm iumie sana kwa kupunguziwa idadi ya mafisadi yake. Mwishoni fisadi likajiona halifiti cdm kusiko na ufisadi na, baada ya kujadiliana na mafisadi nyenzake huko ccm, likaamua kurejea ngamani ccm kulikofurika ufisadi na likakaribishwa na fisadis nyenziye.Lema nwkushauri vaa viatu vya Dr Slaa kuibua hoja nzito za kitaifa zenye maslahi kwa watanzania walio wengi utaungwa mkono na Wana CCM na wasio na vyama .
Toka Slaa aondoke Chadema kwa kwa kuzira sababu ya upuuzi huko wa kukaribisha mifisadi akina Lowasa hajapata replacement ya opposition mtu serious msimamia agenda serious za walio wengi kitaifa
Kwa hoja hii umetoa unaanza kuvaa viatu vya Dk Slaa vya kubeba agenda serious inayoweza kupaisha Chadema Tena kuwa great opposition party inayosimama na majority Tanzanians wataka umeme wa uhakika affordable na Maji ya uhakika na affordable .Go ahead Uko kwenye right track kubeba agenda za wananchi walio wengi
Na kingine..... Hivi watanzania mbona tunachezewa kirahisi namna hii? Kwani 2015 mpaka 2021 mwezi wa 3, mama Samia hakuwa serikalini tena akiwa makamu wa rais? Unawezaje kumlaumu Magufuli na Samia asalimike? Mimi nadhani kama kweli Makamba na Zitto wanachosema eti kulikuwa hakuna service ya mitambo ni kweli, basi wa kwanza kuulizwa/kulaumiwa ni mama Samia.Siyo suala la kumkubali Magufuli, ni suala la ukweli.
Kama kiongozi anayekuwepo madarakani, mambo yakienda vibaya anaanza kujitetea kwa kuonesha watangulizi wake ndiyo wanaosababisha, sasa wewe upo kwenye hiyo nafasi kufanya nini?
Kiongozi unapochukua nafasi ya uongozi, unakubali hali iliyopo, unafanya kazi kuanzia hapo kuleta ufanisi. Hiyo haijalishi kama waliotangulia walikosea au la! Kila awamu watafanya makosa na mazuri, chukua mazuri, mabaya yarekebishe. Haiingii akilini, unashindwa kurekebisha, unabakia kusema aliyetangulia ndiye aliyesababisha.
Ujumbe muhimu ni kwamba, wananchi tunataka umeme wa uhakika, upungufu wa mvua siyo sababu ya kukosa umeme, kuna nchi kama Chile mvua zilinyesha mara ya mwisho mwaka 1954, lakini miji yao kila mahali green, zabibu zinastawi kwa namna ya ajabu, umeme na maji kukatika ni mwiko.
Kudai kuna upungufu wa mvua siyo sababu, kwani huko serikalini hawajui kuwa kuna uwezekano wa kukosa mvua? Wamekuwa na mipango gani ya kupambana na tatizo hili ambalo linafahamika Duniani kote? Au uwezo wa kufikiri na kuoanga, huko serikalini unaishia mita 2?
Hawa wala usijibishane nao. Unapoteza muda wako tu kwani walishaamua kuwa upumbavu ndiyo motto yao.Wewe ni mbwa
Haya huwa nayasema kila siku. Alifanya mambo mabaya sana ambayo yaliharibu kila kitu.Jamaa angeruhusu demokrasia, miili idiokotwe ufukweni, wasiojulikana wasiwepo, angekumbukwa mpaka na shetani. Alifanya baadhi mazuri tu na makubwa lakin maovu aliyofanya yamefanya yote mazuri aliyoyafanya yawe uharo mtupu. Huwez kupoteza roho za watu eti kisa ujenge flyover!!..huwez kuwanyima wastaafu mafao yao, ufukuze watumishi kinyume cha utaratibu, ukajenge liuwanja la kimataifa kijijin chato kinyume cha utaratibu kisa eti unajenga stigliers gorge..kifup mzee alifanya mengi mazuri lakin yote aliyageuza uharo yeye mwenyewe.
Mzee wakifanya hiyo mipango mizuri ya kitaifa ma vx yatanunuliwa na nini!! Kuhudumia wananchi hawawez ila kuishi kifahari jwa kodi za wananchi huku wananchi wakiteseka wanaweza..hivi unaijua v8 wewe?!!!!Siyo suala la kumkubali Magufuli, ni suala la ukweli.
Kama kiongozi anayekuwepo madarakani, mambo yakienda vibaya anaanza kujitetea kwa kuonesha watangulizi wake ndiyo wanaosababisha, sasa wewe upo kwenye hiyo nafasi kufanya nini?
Kiongozi unapochukua nafasi ya uongozi, unakubali hali iliyopo, unafanya kazi kuanzia hapo kuleta ufanisi. Hiyo haijalishi kama waliotangulia walikosea au la! Kila awamu watafanya makosa na mazuri, chukua mazuri, mabaya yarekebishe. Haiingii akilini, unashindwa kurekebisha, unabakia kusema aliyetangulia ndiye aliyesababisha.
Ujumbe muhimu ni kwamba, wananchi tunataka umeme wa uhakika, upungufu wa mvua siyo sababu ya kukosa umeme, kuna nchi kama Chile mvua zilinyesha mara ya mwisho mwaka 1954, lakini miji yao kila mahali green, zabibu zinastawi kwa namna ya ajabu, umeme na maji kukatika ni mwiko.
Kudai kuna upungufu wa mvua siyo sababu, kwani huko serikalini hawajui kuwa kuna uwezekano wa kukosa mvua? Wamekuwa na mipango gani ya kupambana na tatizo hili ambalo linafahamika Duniani kote? Au uwezo wa kufikiri na kuoanga, huko serikalini unaishia mita 2?
Sawa upo sahihi kumkumbuka lkn mimi sioni umuhimu huoNilimpinga kwa mengi lakini kuhusu umeme aliweza kudhibiti hali.
Nao utakuwa kama akina kihansi tuu kwa sababu vyote ni maji.Kwani huu mradi ulishakamilika ukashindwa kuwa na ufanisi kwa sababu ya ukame!?
Chadema ilikuwa ndio Chama Cha kuibua ufisadi Cha kudhibiti mafisadi CCM wakiwa CCMCdm ilikaribisha mafisadi ya ccm kwa nia njema ya kuyageuza yaache ufisadi na, kwa hilo, cdm ikaifanya ccm iumie sana kwa kupunguziwa idadi ya mafisadi yake. Mwishoni fisadi likajiona halifiti cdm kusiko na ufisadi na, baada ya kujadiliana na mafisadi nyenzake huko ccm, likaamua kurejea ngamani ccm kulikofurika ufisadi na likakaribishwa na fisadis nyenziye.
Tukiandika kuwa wabunge wa upinzani 10 ni sawa na CCM yote, twaitwa nyumbu.Leo ndiyo unamuona na kumtambua Lema?
Hamjamuelewa. Ni kwamba wasikwepe lawama kwa kukaumu wengine.LEEMA anaona watanzania wengi wanamkubali Magu naye kaona afuate upepo ulipo