Maslah ya taifa ya watanzania kuokotwa kwente viroba, kupigwa marisasi bila kosa, kubambikiwa mikesi ya uongo, kutekwa, kununuliwa kama mbusi sokoni kwa pesa ya umma nk nk..maovu kibao afu eti mnataka mvua inyeshe!!!! Nyooo!!Uongo mtupu unajidanganya....
Isingetanguliza maslahi ya taifa tungekuwa hivi wamoja na amani?!!!
Upuuzi mtupu huo...
Umesema CCM haijawahi kusimamia maslahi ya taifa.....Maslah ya taifa ya watanzania kuokotwa kwente viroba, kupigwa marisasi bila kosa, kubambikiwa mikesi ya uongo, kutekwa, kununuliwa kama mbusi sokoni kwa pesa ya umma nk nk..maovu kibao afu eti mnataka mvua inyeshe!!!! Nyooo!!
Mnafiki huyo.....Leo amemkumbuka hayati[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Msema kweli hafanyi Yale aliyokuwa akiyafanya ARUSHA.....kila mtu wa ARUSHA anamjua huyo sakala.....Uzuri wa Lema ni msema kkwe
Watanzania tuko milioni 60 ikipingwa wewe ,Lema na masakala wachache inatosha tu......CCM inatakiwa kupingwa na Mtanzania yeyote mwenye nia ya dhati ya kuiona Tanzania inapiga hatua kimaendeleo na kutoka kwenye umasikini huu tuliokuwa nao hata miaka 60 baada ya uhuru.
Unafiki tu....Leo kwa vile usiyempenda kaja ndio unajua nchi kwanza!!!??
Umemeza dawa leo?Aresti weli kivipi?????!!!!?......hakuna cha kuresti weli hapa..ufanye maovu dhidi ya binadamu wenzio halafu eti utegemee kuresti weli!!!!! No way.....ni motoni tu.
Ben saa8 yuwap? lisu yuwap, lema yuwap. Mwendasake should suffer in internal hell...unavyotendea wenzio ndivyo nawe utatendewa.
Ndio maana watanzania walio wengi wanawaona ni matapeli......Wakati Magufuli Yuko hai ulisema unampinga Magu kwa Mambo yake yote,Leo unaonekana kumtetea 🤣🤣,UPINZANI WA TANZANIA HAUNA MWELEKEO
Hivi wewe Yehodaya ni mwanaCCM kweli ?!!!Lema nwkushauri vaa viatu vya Dr Slaa kuibua hoja nzito za kitaifa zenye maslahi kwa watanzania walio wengi utaungwa mkono na Wana CCM na wasio na vyama .
Toka Slaa aondoke Chadema kwa kwa kuzira sababu ya upuuzi huko wa kukaribisha mifisadi akina Lowasa hajapata replacement ya opposition mtu serious msimamia agenda serious za walio wengi kitaifa
Kwa hoja hii umetoa unaanza kuvaa viatu vya Dk Slaa vya kubeba agenda serious inayoweza kupaisha Chadema Tena kuwa great opposition party inayosimama na majority Tanzanians wataka umeme wa uhakika affordable na Maji ya uhakika na affordable .Go ahead Uko kwenye right track kubeba agenda za wananchi walio wengi
Mkuu machungu kinyamaHii nchi sijui tulikosea wapi! Seriously hawa watu wanapata nguvu upya! Ni aibu sana
Mnafiki mkubwa huyo sakala anayeishi uhamishoni......Sasa Lema pilipili ya shamba ya kuwashia nini? Wewe jadidili mambo ya Ontario huko.
Lakini si wewe ulimtabiria kifo Mzee wetu? Ulimuona hafai? Je, upendo wako kwake umeanza lini?
Kwa hiyo maiti za watanzania wasio na hatia kuokotwa kwenye viroba fukwen ndo kusimamia maslahi ya taifa?!!!!!!Umesema CCM haijawahi kusimamia maslahi ya taifa.....
Sasa hao unaosema waokotwa virobani ni mwaka 1977?!!!!
Kwa unafiki wao na watawaunga mkono pia........Kwenye madai ya Katiba Mpya mkumbuke kuwaunga mkono pia.
MnauziiiiiiiUmemeza dawa leo?
Una uhakika ni maiti za watanzania na si raia wa Ethiopia waliokuwa katika makontena?!!!Kwa hiyo maiti za watanzania wasio na hatia kuokotwa kwenye viroba fukwen ndo kusimamia maslahi ya taifa?!!!!!!