Godbless Lema: Rais Samia na Makamba wanatafuta mbinu za kumbebesha lawama hayati Magufuli

Uongo mtupu unajidanganya....

Isingetanguliza maslahi ya taifa tungekuwa hivi wamoja na amani?!!!

Upuuzi mtupu huo...
Maslah ya taifa ya watanzania kuokotwa kwente viroba, kupigwa marisasi bila kosa, kubambikiwa mikesi ya uongo, kutekwa, kununuliwa kama mbusi sokoni kwa pesa ya umma nk nk..maovu kibao afu eti mnataka mvua inyeshe!!!! Nyooo!!
 
Maslah ya taifa ya watanzania kuokotwa kwente viroba, kupigwa marisasi bila kosa, kubambikiwa mikesi ya uongo, kutekwa, kununuliwa kama mbusi sokoni kwa pesa ya umma nk nk..maovu kibao afu eti mnataka mvua inyeshe!!!! Nyooo!!
Umesema CCM haijawahi kusimamia maslahi ya taifa.....

Sasa hao unaosema waokotwa virobani ni mwaka 1977?!!!!
 
CCM inatakiwa kupingwa na Mtanzania yeyote mwenye nia ya dhati ya kuiona Tanzania inapiga hatua kimaendeleo na kutoka kwenye umasikini huu tuliokuwa nao hata miaka 60 baada ya uhuru.
Watanzania tuko milioni 60 ikipingwa wewe ,Lema na masakala wachache inatosha tu......
 
Umemeza dawa leo?
 
Wakati Magufuli Yuko hai ulisema unampinga Magu kwa Mambo yake yote,Leo unaonekana kumtetea 🤣🤣,UPINZANI WA TANZANIA HAUNA MWELEKEO
Ndio maana watanzania walio wengi wanawaona ni matapeli......
 
Hivi wewe Yehodaya ni mwanaCCM kweli ?!!!

CCM gani asiyesimamia ITIKADI ya chama kwa kumtetea tu kiongozi mmoja hayati JPM na kukidharau chama na VIONGOZI wengine?!!!

Unafiki hauwasaidii.....

Unafiki wenu kamwe hautaiangusha CCM.....

Endeleeni kujitia hamaniko la nafsi na kujiumiza tu mioyo yenu......


SIEMPRE CCM
 
Sasa Lema pilipili ya shamba ya kuwashia nini? Wewe jadidili mambo ya Ontario huko.

Lakini si wewe ulimtabiria kifo Mzee wetu? Ulimuona hafai? Je, upendo wako kwake umeanza lini?
Mnafiki mkubwa huyo sakala anayeishi uhamishoni......
 
Umesema CCM haijawahi kusimamia maslahi ya taifa.....

Sasa hao unaosema waokotwa virobani ni mwaka 1977?!!!!
Kwa hiyo maiti za watanzania wasio na hatia kuokotwa kwenye viroba fukwen ndo kusimamia maslahi ya taifa?!!!!!!
 
Kwa hiyo maiti za watanzania wasio na hatia kuokotwa kwenye viroba fukwen ndo kusimamia maslahi ya taifa?!!!!!!
Una uhakika ni maiti za watanzania na si raia wa Ethiopia waliokuwa katika makontena?!!!
 
Aseme pia nani alimwambia kuwa Magu atakufa akiwa madarakani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…