Waliofariki kwenye jengo lililoporomoka Kariakoo, hawakuwa kwenye maandamano , lakini katika maeneo yao ambayo standard ya ujenzi imekuwa compromised !
My take: Ni ngumu kuona connection ya andiko la Lema huko X , kati ya haya yanayotokea Kariakoo na utawala bora, utawala usio fuata sheria, ukosefu wa haki , ukosefu wa katiba bora, and to crown it all RUSHWA.
Watu wamesombwa kwa Kirikuu, hakuna ambulance, lakini magari ya washawasha, V8 na upuuzi mwingine viko kupita mahitaji!
HAYANIHUSU, WAACHE WAANDAMANE......
My take: Ni ngumu kuona connection ya andiko la Lema huko X , kati ya haya yanayotokea Kariakoo na utawala bora, utawala usio fuata sheria, ukosefu wa haki , ukosefu wa katiba bora, and to crown it all RUSHWA.
Watu wamesombwa kwa Kirikuu, hakuna ambulance, lakini magari ya washawasha, V8 na upuuzi mwingine viko kupita mahitaji!
HAYANIHUSU, WAACHE WAANDAMANE......