Godbless Lema ukimbizi: Kaingia jela ya kufikirika

Godbless Lema ukimbizi: Kaingia jela ya kufikirika

We umetoka kwenye nyumba za tembe utakuwa na akili ya kuishi nje kweli? angalia wachaga walivyojazana Ulaya na Marekani
Over 20 years, still going strong.

And not looking back.

The fellow has to speak for himself, the diaspora is not a borg.
 
Utakuwa na wenge wewe

Eti CANADA Ni jela


Mentality za kiduanzi .

Watoto wake watapata elimu nzuri hata yeye atapata connection za michongo ya hela akiwa huko .

Once babu yenu akigemua arudi bongo unless baby yenu akatae kusepa
 
Mbona Lema kama kapanda chat kuliko Gambo? Hamuishi kumsema kila kukicha[emoji848]
 
Ndani ya mwezi watanzania watakaokuwa wamebaki ni wale wanaotembelea maVX ya umma, na wafanyabishara wachache wenye vipato vikubwa.
Hawa ndio watakaokuwa wa kwanza kwenye mstari na kuwavurugu=ia wengine wote. Nahisi 'Jidu' ni mmoja kati ya watu hawa.
 
Eeenh, 'Jidu'?

Wewe hujakaa nje. Na kama umekaa nje, basi ulijiweka jela wewe mwenyewe, bila ya kulazimishwa na yeyote.

Hivi unazungumzia jela? Kuna jela zaidi ya uliyomo sasa? Hata kama wewe ni waziri, au mkuu wa mkoa fulani; hivi kweli unajihisi kwamba upo HURU; unajuwa maana ya kuwa huru kweli!

"Maji ya bure, mikungu ya ndizi..." hivi kweli hivyo vitu ndiyo thamani ya utu wako?

Nijuavyo elimu ya Canada haina wasiwasi kwa watoto, sijui utaanzia wapi kuwahurumia watoto wale kwa kukosa elimu inayotambulika dunia nzima. Ungekuwa ni mmojawapo wa mazezeta wengi wanaofahamika hapa ukumbini, nisingehangaika kujibu upotofu huu ulioweka hapa. Lakini najua wewe ni mtu mwenye fikra nzuri.

Umenisikitisha sana na mada yako hii, kwa sababu ninakutambua kuwa mtu mwenye uelewa wa kutosha, hata kama ni mpenzi tu wa hilo lichama lililopoteza mwelekeo kabisa.

Kuna watu wanafurahia kuwa 'mateka' kwa kupewa vitu tu, a,mbavyo ni haki yao? POLE SANA.

Kabla hujaanza kumhurumia Lema na familia yake, jaribu kujihurumia wewe na waTanzania kwa ujumla kwa hii jela ya umateka tuliyojaliwa kuwa nayo. Hatujui kikomo chake ni lini.
Mkuu nimekupa like maana wewe ni mpenzi wa chama na mlengo fulani.

Kuna watu hapa nchini hawana vyama na wanatoboa tu bila hata kupepesa macho.
Na kuna akina na nyie mnaoyatazama maisha hapa nchini na miwani ya vyama.
Mnateseka bure!
Sjaona mhindi akishabikia maisha ya siasa, lakini wahindi ndio kundi pekee lenye kuendesha magari ya nguvu, yakiwemo VX.
Na kwa taarifa yako, mimi ni mswahili nashabikia siasa kwa unazi tu, lakini ng'o hutaniona nimeingia siasa kichwa kichwa , biashara yangu hairuhusu.
Tatizo letu sisi waafrika ni kufikiri kutoboa ni kwenda nje na kwamba kule ni maisha kama paradiso, kula nakunywa na barabara zimetandikwa dhahabu!
Hamuelewi kuwa paradiso ni hapa hapa Tanzania.

Mimi nimeishi Ulya!
Najua maisha ya kule.
Kama huna noti wewe sawa sawa na takataka tu.

Sasa mheshimiwa Lema ukimbizi una mwisho, Mgeni siku ya kwanza, siku ya pili atapewa jembe akalime!

Simwonei wivu, namhurumia tu maana nayajua maisha ya huko.
 
Eti Tanzania ni nzuri ..? Mtu anapigwa risasi mchana kweupe na watuhumiwa mpaka leo hawajakamatwa.?

Acha utani wewe..

Azzory Gwanda kapotea mchana kweupe .

Ben Saa Nane yupo wapi ..?

Maiti zimeokotwa ufukweni hakuna jibu la maana lilitolewa achilia mbali watu kutekwa na kupotezwa.
 
Eti Tanzania ni nzuri ..? Mtu anapigwa risasi mchana kweupe na watuhumiwa mpaka leo hawajakamatwa.?

Acha utani wewe..

Azzory Gwanda kapotea mchana kweupe .

Ben Saa Nane yupo wapi ..?

Maiti zimeokotwa ufukweni hakuna jibu la maana lilitolewa achilia mbali watu kutekwa na kupotezwa.
Mkuu heri hata ungejua unayoyaongelea yalitokeaje ili uweze kujijibu mwenyewe.
Wakati mwingine kudandia hoja ambazo mtu huzijui wala hujui zinatoka wapi, unaonekana kama mfuata mdundiko hadi kule unakokwenda, mdundiko ukikoma unakuwa hujui hata ulikofikia na hujui utarudije nyumbani.

Sitetei mauaji hata kidogo lakini masuala usiyoyajua hata kuyaongelea napata kigugumizi.

Tanzania bado ni nzuri, tena sana.
Tatizo lako litaanzia pale badala ya kula asali na maziwa, wewe unataka mambo yasiyokuhusu.
 
Namhurumia sana Godbless Lema.
Kaingia jela ya kufikirika, jela ambayo ni yeye mwenyewe atajua ni kifungo cha miaka mingapi na atatokaje kwa msamaha wake mwenyewe.

Mbaya zaidi familia nzima imemsindikiza jela hiyo ya kufikirika.

Lema ata enjoy miezi michache ya kwanza huko Canada, pamoja na familia.
Baada ya hapo ndipo ataelewa uzuri na utamu wa Tanzania, maji ya kunywa bure, hewa bure, shule karo za watoto karibu na bure, chakula unarudi kutoka Moshi na mikungu miwili ya ndizi bure!
Mbge ndo usiseme!

Tuliokaa nje muda kidogo tunaelewa jinsi matatizo tuliyo nayo, yalivyotukomaza na kuishi nayo kama ndugu.

Nampa pole Lema maana alisema wanataka kumuua.
Bado angeweza kubaki na kutatua hilo fumbo na shinikizo.

Tanzania ni nzuri!
Unaijua Canada wewe usiifananishe na mambo ya kijinga nme kaa Uranium city, Eldorado, Toronto najuta kwanini sikuzamia
 
Namhurumia sana Godbless Lema.
Kaingia jela ya kufikirika, jela ambayo ni yeye mwenyewe atajua ni kifungo cha miaka mingapi na atatokaje kwa msamaha wake mwenyewe.

Mbaya zaidi familia nzima imemsindikiza jela hiyo ya kufikirika.

Lema ata enjoy miezi michache ya kwanza huko Canada, pamoja na familia.
Baada ya hapo ndipo ataelewa uzuri na utamu wa Tanzania, maji ya kunywa bure, hewa bure, shule karo za watoto karibu na bure, chakula unarudi kutoka Moshi na mikungu miwili ya ndizi bure!
Mbge ndo usiseme!

Tuliokaa nje muda kidogo tunaelewa jinsi matatizo tuliyo nayo, yalivyotukomaza na kuishi nayo kama ndugu.

Nampa pole Lema maana alisema wanataka kumuua.
Bado angeweza kubaki na kutatua hilo fumbo na shinikizo.

Tanzania ni nzuri!
Kwa hiyo unataka kusema watoto wa lema walikua wanasoma kayumba ambapo elimu ni bure? Kwa ninavyojua mimi elimu ya canada public schools are free, na public schools zina ubora kuliko hata feza ambayo ndio tunaiona bora hapa bongo

Watoti wake watapata elimu bora, exposure na watakua future nzuro, hayo mengine mataga muendelee kutunga tu
 
Mchaga ni sawa na BATA aweza kuishi nchi kavu na majini.
Jihurumie wewe na wanao mnaopenda dezo.
mchaga ..uchaga uchaga uchaga..what is uchaga by the way..who the hell are you in Tz..foolish comment ever..we are not entertaining tribalism here in tz..No one should be regarded as superior than the rest, we are all equal..
 
Namhurumia sana Godbless Lema.
Kaingia jela ya kufikirika, jela ambayo ni yeye mwenyewe atajua ni kifungo cha miaka mingapi na atatokaje kwa msamaha wake mwenyewe.

Mbaya zaidi familia nzima imemsindikiza jela hiyo ya kufikirika.

Lema ata enjoy miezi michache ya kwanza huko Canada, pamoja na familia.
Baada ya hapo ndipo ataelewa uzuri na utamu wa Tanzania, maji ya kunywa bure, hewa bure, shule karo za watoto karibu na bure, chakula unarudi kutoka Moshi na mikungu miwili ya ndizi bure!
Mbge ndo usiseme!

Tuliokaa nje muda kidogo tunaelewa jinsi matatizo tuliyo nayo, yalivyotukomaza na kuishi nayo kama ndugu.

Nampa pole Lema maana alisema wanataka kumuua.
Bado angeweza kubaki na kutatua hilo fumbo na shinikizo.

Tanzania ni nzuri!
Unaweza kushauri ni nini angefanya ili awe salama? Maana Lisu alitishiwa, akaenda na Polisi kutoa taarifa lakini mwisho wake aliishia kushambuliwa kwa risasi takribani 30, na 16 zikaishia ndani ya mwili wake.

Ni vigumu sana kumzuia muuaji kama muuji ni yule anayestahili kukulinda.

Hivi mtoto anatishiwa kuuawa na Baba yake, abakie hapo hapo kwa baba yake akitafuta njia ya kutouawa au ni aheri akimbilie kwa jirani?

Kukimbia ili kunusuru uhai wako siyo jambo la ajabu. Tangu enzi za kuzaliwa Mwokozi na Masiha wetu, kutoroka ili kulinda uhai kulikuwepo. Herode alipotaka kumwua Bwana wetu Yesu Kristo akiwa mtoto, Yusufu na Maria walimtorosha kwa kumpeleka Misri. Walirudi baada ya kupewa uhakikisho na Malaika kuwa aliyekuwa akiitafuta roho ya mtoto Yesu, amekwishafariki. Wakarudi. Walirudi walipopata uhakikisho wa usalama lakini wakati wanaondoka hawakujua watakaa Misri kwa muda gani.

Lema, endelea kukaa kwenye hiyo Misri yako,mpaka siku utakapohakikishiwa upo salama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nimekupa like maana wewe ni mpenzi wa chama na mlengo fulani.

Kuna watu hapa nchini hawana vyama na wanatoboa tu bila hata kupepesa macho.
Na kuna akina na nyie mnaoyatazama maisha hapa nchini na miwani ya vyama.
Mnateseka bure!
Sjaona mhindi akishabikia maisha ya siasa, lakini wahindi ndio kundi pekee lenye kuendesha magari ya nguvu, yakiwemo VX.
Na kwa taarifa yako, mimi ni mswahili nashabikia siasa kwa unazi tu, lakini ng'o hutaniona nimeingia siasa kichwa kichwa , biashara yangu hairuhusu.
Tatizo letu sisi waafrika ni kufikiri kutoboa ni kwenda nje na kwamba kule ni maisha kama paradiso, kula nakunywa na barabara zimetandikwa dhahabu!
Hamuelewi kuwa paradiso ni hapa hapa Tanzania.

Mimi nimeishi Ulya!
Najua maisha ya kule.
Kama huna noti wewe sawa sawa na takataka tu.

Sasa mheshimiwa Lema ukimbizi una mwisho, Mgeni siku ya kwanza, siku ya pili atapewa jembe akalime!

Simwonei wivu, namhurumia tu maana nayajua maisha ya huko.
Mkuu 'Jidu', mbona unaturudisha tulikokwishatoka wewe na mimi siku nyingi humu JF. Tulishaelezana kwa uwazi kabisa kila mmoja wetu anakosimamia, halafu leo unanigeuza tena na kuniita "mpenzi wa chama na mlengo fulani"?

Ngoja nirudie kwa kifupi ili kukukumbusha: ushabiki wangu ni Tanzania pekee. Niliwahi kuwa shabiki wa CCM kilipokuwa chama cha wakulima na wafanya kazi na sio kile kilichowahi kuwepo kikiwa "Chama cha Huyu Mwenzetu" na wala siyo hiki "Chama Kilichobinafsishwa kwa mtu mmoja." Mbali na hivyo, sijawahi kuwa shabiki wa chama chochote kati ya hivi vipya. Unapoona tunafanya utetezi juu yao, sio kwa sababu ni 'wapenzi' au 'wanazi'; bali tunasikitishwa na maonezi wanayofanyiwa wao wakiwa ni waTanzania wenzetu. Hili ndilo linalotuumiza.

Wewe ni msahaulifu kiasi hiki kweli, kwamba unasahau yote na leo unanipakazia, ati "wew ni mpenzi wa chama na mlengo fulani"? na wakati huo huo unasahau uliyoungama mbele yangu wakati ule; na huku leo unageuka jiwe la chumvi, eti "nashabikia siasa kwa unazi tu", hata sijui huko ndio kufanya nini?

Michango yako humu JF inajieleza yenyewe; na ya kwangu inajulikana bila kificho; halafu leo unageuka na kunipaka matope?

Hayo ya ulaya, sio peke yako umeishi huko, kama kweli umewahi kuishi huko. Kuishi ulaya sio hoja, unaweza ukaishi huko na ukawa 'miserable' kama unaamua kujiweka jela mwenyewe. Kama hayo ndiyo maisha uliyoishi, usidhani kila mtu anayekwenda huko anayaishi kama wewe ulivyoyaishi.
Huko kutokuwa na 'noti' sio huko tu, hata hapa kama huna noti maisha yatakufanya uonekane kama "takataka" kama ulivyoandika mwenyewe. Kuwa "takataka" kunatokea mahali popote, iwe ulaya au hapahapa. Na mbaya zaidi ni kuwa "takataka" huku ukiwa mateka!
Tatizo letu sisi waafrika ni kufikiri kutoboa ni kwenda nje na kwamba kule ni maisha kama paradiso, kula nakunywa na barabara zimetandikwa dhahabu!
Hamuelewi kuwa paradiso ni hapa hapa Tanzania.
"Paradiso" ya kuwekwa 'mateka'. Hiyo paradiso yako ni ya ajabu. Tanzania ingekuwa 'paradiso' sana, licha ya umaskini unaowakabili wananchi wetu, kama kusingekuwepo na haya ya kufanywa mateka ndani ya nchi yetu wenyewe.
 
Namhurumia sana Godbless Lema.
Kaingia jela ya kufikirika, jela ambayo ni yeye mwenyewe atajua ni kifungo cha miaka mingapi na atatokaje kwa msamaha wake mwenyewe.

Mbaya zaidi familia nzima imemsindikiza jela hiyo ya kufikirika.

Lema ata enjoy miezi michache ya kwanza huko Canada, pamoja na familia.
Baada ya hapo ndipo ataelewa uzuri na utamu wa Tanzania, maji ya kunywa bure, hewa bure, shule karo za watoto karibu na bure, chakula unarudi kutoka Moshi na mikungu miwili ya ndizi bure!
Mbge ndo usiseme!

Tuliokaa nje muda kidogo tunaelewa jinsi matatizo tuliyo nayo, yalivyotukomaza na kuishi nayo kama ndugu.

Nampa pole Lema maana alisema wanataka kumuua.
Bado angeweza kubaki na kutatua hilo fumbo na shinikizo.

Tanzania ni nzuri!

Maisha ya nje watu wanafikiria kama hupo hupo tu.kulala nje jambo la kawaida,unaweza kuokota misosi,unaweza kufanya kazi ambayo nchini mwako unamcheka mtu.

Ila penye vitu pana fitina subiri matusi kwako na wanao jua vzuri nchi ya haadi
 
Namhurumia sana Godbless Lema.
Kaingia jela ya kufikirika, jela ambayo ni yeye mwenyewe atajua ni kifungo cha miaka mingapi na atatokaje kwa msamaha wake mwenyewe.

Mbaya zaidi familia nzima imemsindikiza jela hiyo ya kufikirika.

Lema ata enjoy miezi michache ya kwanza huko Canada, pamoja na familia.
Baada ya hapo ndipo ataelewa uzuri na utamu wa Tanzania, maji ya kunywa bure, hewa bure, shule karo za watoto karibu na bure, chakula unarudi kutoka Moshi na mikungu miwili ya ndizi bure!
Mbge ndo usiseme!

Tuliokaa nje muda kidogo tunaelewa jinsi matatizo tuliyo nayo, yalivyotukomaza na kuishi nayo kama ndugu.

Nampa pole Lema maana alisema wanataka kumuua.
Bado angeweza kubaki na kutatua hilo fumbo na shinikizo.

Tanzania ni nzuri!
Watu kama lema wanaitwa confident fools. Hapo alipofika anafikiri hatua inayofuata kwake ni kuhamia ulaya. Anafikiri kwa ujuzi na elimu yake ndogo ataweza kuishi kirahisi kama huku nyumbani. Si muda atafahamu ni lazima atoke jasho kwa kazi za surubu. Nikwambieni kazi atakazoweza kufanya lema ya maana sana ni udereva. Kama hakujipanga kimtaji na maarifa kufanya biashara na huku afrika mpeni mwaka tu hatutamsikia kwani ataweza kutwa hata kwenye gari za kuzoa taka.
 
Back
Top Bottom