Godbless Lema ukimbizi: Kaingia jela ya kufikirika

Godbless Lema ukimbizi: Kaingia jela ya kufikirika

Na kuna akina na nyie mnaoyatazama maisha hapa nchini na miwani ya vyama.
Mnateseka bure!
Umekengeuka sana.
Unajuaje "sikutoboa"?
Kama ni kuteseka, tunateseka sote. Huwezi kutoteseka kama unaona waTanzania wenzako wanateseka, hata kama mnatofautiana vyama vyenu vya siasa.

Huku kukosa utu kwenu ndiko kunakowafanya waTanzania, bila kujali vyama vyao wajisikie kuteseka.
 
Katishwa na watu tanzania, canada anatishwa na corona..anaishi na mask sasa..
 
Namhurumia sana Godbless Lema.
Kaingia jela ya kufikirika, jela ambayo ni yeye mwenyewe atajua ni kifungo cha miaka mingapi na atatokaje kwa msamaha wake mwenyewe.

Mbaya zaidi familia nzima imemsindikiza jela hiyo ya kufikirika.

Lema ata enjoy miezi michache ya kwanza huko Canada, pamoja na familia.
Baada ya hapo ndipo ataelewa uzuri na utamu wa Tanzania, maji ya kunywa bure, hewa bure, shule karo za watoto karibu na bure, chakula unarudi kutoka Moshi na mikungu miwili ya ndizi bure!
Mbge ndo usiseme!

Tuliokaa nje muda kidogo tunaelewa jinsi matatizo tuliyo nayo, yalivyotukomaza na kuishi nayo kama ndugu.

Nampa pole Lema maana alisema wanataka kumuua.
Bado angeweza kubaki na kutatua hilo fumbo na shinikizo.

Tanzania ni nzuri!
Kuna mdau alisema Lema Kule singida ana kesi 22 za kubambikiwa.
Anatoboaje kwa mfano maagizo yakitoka juu.

Acha tu akawe mkimbizi huko mbelembele.(in front front)
 
Hivi kama ikidhibitika kuna uhalifu kaufanya akiwa Tanzania mahakama haiwezi toa amri alejeshwe nchini kukabiliana na mashitaka yake?
 
Mkuu heri hata ungejua unayoyaongelea yalitokeaje ili uweze kujijibu mwenyewe.
Wakati mwingine kudandia hoja ambazo mtu huzijui wala hujui zinatoka wapi, unaonekana kama mfuata mdundiko hadi kule unakokwenda, mdundiko ukikoma unakuwa hujui hata ulikofikia na hujui utarudije nyumbani.

Sitetei mauaji hata kidogo lakini masuala usiyoyajua hata kuyaongelea napata kigugumizi.

Tanzania bado ni nzuri, tena sana.
Tatizo lako litaanzia pale badala ya kula asali na maziwa, wewe unataka mambo yasiyokuhusu.

Huna hoja wewe mlamba Viatu hapo Lumumba.
Tangu lini wewe CCM ukamuonea huruma mtu wa Chadema.

Au unatimiza wajibu Buku 7 iingie.
 
Namhurumia sana Godbless Lema.
Kaingia jela ya kufikirika, jela ambayo ni yeye mwenyewe atajua ni kifungo cha miaka mingapi na atatokaje kwa msamaha wake mwenyewe.

Mbaya zaidi familia nzima imemsindikiza jela hiyo ya kufikirika.

Lema ata enjoy miezi michache ya kwanza huko Canada, pamoja na familia.
Baada ya hapo ndipo ataelewa uzuri na utamu wa Tanzania, maji ya kunywa bure, hewa bure, shule karo za watoto karibu na bure, chakula unarudi kutoka Moshi na mikungu miwili ya ndizi bure!
Mbge ndo usiseme!

Tuliokaa nje muda kidogo tunaelewa jinsi matatizo tuliyo nayo, yalivyotukomaza na kuishi nayo kama ndugu.

Nampa pole Lema maana alisema wanataka kumuua.
Bado angeweza kubaki na kutatua hilo fumbo na shinikizo.

Tanzania ni nzuri!
Duh yani huyu kashakuwa Chizi
 
Mkuu nimekupa like maana wewe ni mpenzi wa chama na mlengo fulani.

Kuna watu hapa nchini hawana vyama na wanatoboa tu bila hata kupepesa macho.
Na kuna akina na nyie mnaoyatazama maisha hapa nchini na miwani ya vyama.
Mnateseka bure!
Sjaona mhindi akishabikia maisha ya siasa, lakini wahindi ndio kundi pekee lenye kuendesha magari ya nguvu, yakiwemo VX.
Na kwa taarifa yako, mimi ni mswahili nashabikia siasa kwa unazi tu, lakini ng'o hutaniona nimeingia siasa kichwa kichwa , biashara yangu hairuhusu.
Tatizo letu sisi waafrika ni kufikiri kutoboa ni kwenda nje na kwamba kule ni maisha kama paradiso, kula nakunywa na barabara zimetandikwa dhahabu!
Hamuelewi kuwa paradiso ni hapa hapa Tanzania.

Mimi nimeishi Ulya!
Najua maisha ya kule.
Kama huna noti wewe sawa sawa na takataka tu.

Sasa mheshimiwa Lema ukimbizi una mwisho, Mgeni siku ya kwanza, siku ya pili atapewa jembe akalime!

Simwonei wivu, namhurumia tu maana nayajua maisha ya huko.
Hivi kwa fikra zako, unadhani ni wewe tu ndiyo umeishi Ulaya? Nchi gani uliishi? Ulaya pia nchi zinatofautiana kama ilivyo Afrika ambako kuna Somalia, South Africa, Botswana, Brundi, n.k.

Mimi nimeishi Canada, Australia, Chile, Ghana, Mali na Liberia. Lakini pia nimetwmbelea mataifa mengi.

Napenda kuishi nchini mwangu lakini kama nchini mwako, maisha yako yapo hatarini, nchi kama Canada, ni mahali sahihi. Ukiacha suala la kuwakosa ndugu na marafiki zako, Canada una nafasi nzuri sana ya kutengeneza maisha yako, na ukayafurahia maisha. Kwanza hawana tatizo la ukosefu wa ajira, na ukiajiriwa mshahara ni mzuri. Canada ni kati ya nchi zenye mishahara Duniani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kwa fikra zako, unadhani ni wewe tu ndiyo umeishi Ulaya? Nchi gani uliishi? Ulaya pia nchi zinatofautiana kama ilivyo Afrika ambako kuna Somalia, South Africa, Botswana, Brundi, n.k.

Mimi nimeishi Canada, Australia, Chile, Ghana, Mali na Liberia. Lakini pia nimetwmbelea mataifa mengi.

Napenda kuishi nchini mwangu lakini kama nchini mwako, maisha yako yapo hatarini, nchi kama Canada, ni mahali sahihi. Ukiacha suala la kuwakosa ndugu na marafiki zako, Canada una nafasi nzuri sana ya kutengeneza maisha yako, na ukayafurahia maisha. Kwanza hawana tatizo la ukosefu wa ajira, na ukiajiriwa mshahara ni mzuri. Canada ni kati ya nchi zenye mishahara Duniani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha! JF raha Sana, nawaza mtu kama Dr. W. Slaa na usomi wake alikuwa anafanya kazi supermarket Sasa huyu mh. Lema si atakuwa shoe shiner au chini ya hapo?
 
Namhurumia sana Godbless Lema.
Kaingia jela ya kufikirika, jela ambayo ni yeye mwenyewe atajua ni kifungo cha miaka mingapi na atatokaje kwa msamaha wake mwenyewe.

Mbaya zaidi familia nzima imemsindikiza jela hiyo ya kufikirika.

Lema ata enjoy miezi michache ya kwanza huko Canada, pamoja na familia.
Baada ya hapo ndipo ataelewa uzuri na utamu wa Tanzania, maji ya kunywa bure, hewa bure, shule karo za watoto karibu na bure, chakula unarudi kutoka Moshi na mikungu miwili ya ndizi bure!
Mbge ndo usiseme!

Tuliokaa nje muda kidogo tunaelewa jinsi matatizo tuliyo nayo, yalivyotukomaza na kuishi nayo kama ndugu.

Nampa pole Lema maana alisema wanataka kumuua.
Bado angeweza kubaki na kutatua hilo fumbo na shinikizo.

Tanzania ni nzuri!
Kweli kabisa!!... mtu ambaye hajawahi kutoka nje ya Tanzania na kuishi nchi za watu kwa muda angalau zaidi ya miezi sita hadi mwaka mmoja, anaweza kuja na hoja ya kuwa Lema ameukata!....

Ugumu wa chaguo lake utabakia kuwa siri yake na hatakuja kuleta mrejesho hapa!....

Kama ataweza kuvumilia angalau hata mwaka itakuwa muujiza hasa ukizingatia hadhi aliyokuwa nayo kama mbunge na marupurupu yake, usishangae kumuaona akirudi kimya kimya, vinginevyo atakubaliana na hali halisi na kufa na tai yake shingoni, huo ndio ukweli ambao Diaspora hawako tayari kuukiri.
 
Watu kama lema wanaitwa confident fools. Hapo alipofika anafikiri hatua inayofuata kwake ni kuhamia ulaya. Anafikiri kwa ujuzi na elimu yake ndogo ataweza kuishi kirahisi kama huku nyumbani. Si muda atafahamu ni lazima atoke jasho kwa kazi za surubu. Nikwambieni kazi atakazoweza kufanya lema ya maana sana ni udereva. Kama hakujipanga kimtaji na maarifa kufanya biashara na huku afrika mpeni mwaka tu hatutamsikia kwani ataweza kutwa hata kwenye gari za kuzoa taka.
Ukweli mchungu ambao hausemwi na wale walioko ughaibuni.
 
Huna hoja wewe mlamba Viatu hapo Lumumba.
Tangu lini wewe CCM ukamuonea huruma mtu wa Chadema.

Au unatimiza wajibu Buku 7 iingie.
Namuonea huruma kama Mtanzania mwenzangu.
Tatizo nyie ngurumbili mlioishia manzese mwafikiria Kema ameukata!
 
Hivi kwa fikra zako, unadhani ni wewe tu ndiyo umeishi Ulaya? Nchi gani uliishi? Ulaya pia nchi zinatofautiana kama ilivyo Afrika ambako kuna Somalia, South Africa, Botswana, Brundi, n.k.

Mimi nimeishi Canada, Australia, Chile, Ghana, Mali na Liberia. Lakini pia nimetwmbelea mataifa mengi.

Napenda kuishi nchini mwangu lakini kama nchini mwako, maisha yako yapo hatarini, nchi kama Canada, ni mahali sahihi. Ukiacha suala la kuwakosa ndugu na marafiki zako, Canada una nafasi nzuri sana ya kutengeneza maisha yako, na ukayafurahia maisha. Kwanza hawana tatizo la ukosefu wa ajira, na ukiajiriwa mshahara ni mzuri. Canada ni kati ya nchi zenye mishahara Duniani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nchi hii ni paradiso.
Tatizo mnafikiri mna akili zaidi ya wazalendo wa bongo.
Kama mna akili nzuri huko mliko gombeeni urais ili tuwapokee kama marais kutoka huko nje wenye asili toka Tanzania.
Au nzuri zaidi anzisheni biashara kubwa halafu muje kuwekeza hapa bongo, mkitukoga sie malofa.
Kinyume cha hapo kubeba maboksi kunawahusu.
 
Sifa ya uraia kwa Lema na familia yake, imeshaigia dosari. Lissu anayejua sheria hataki kuomba ukimbizi Ubeligiji, ameomba kibali cha makazi tu maana anajua madhara ya kuwa mkimbizi.
Kibali cha mkazi on what basis?
 
mchaga ..uchaga uchaga uchaga..what is uchaga by the way..who the hell are you in Tz..foolish comment ever..we are not entertaining tribalism here in tz..No one should be regarded as superior than the rest, we are all equal..
Mawazo ya kijinga eti Mchaga,mbona tunayo majinga majinga mengi tu hapa mjini ?
 
Back
Top Bottom