Godbless Lemma, umeletewa kete ya kisiasa Arusha, cheza draft mpaka na huko afukuzwe, maana amekaribia mahali kitovu cha Ben Saanane kilizikwa

Huku wamemleta Mahakamani karibu na jela ATUAMBIE BEN SAANANE ALIPO.......
 
Tatizo mna wivu, sana. Mnaumia bure ,na kuteseka. Teuzi zote zina toka kwa baraka na bahati ya mtu.
Nasikitika sana safari yake ya kwenda Zenji kwa maandamano ya mitumbwi kwenda kuwakoromea wakuu wa mikoa imekatishwa ghafla....

Nimemkubali sana mama. Anajua kusuta na kukanya kisiasa na kikizimkazi...

Mingine tena kwa mama...

Welcome back Nape Nnauye....

Chama kina Wenyewe...
 
Kwani Makonda kafutwa uenezi na kupewa ukuu wa mkoa? Nipo nyuma sana kihabari wakuu.
 
Mtanzania ndio mtu pekee akiona mwenzake kahamishwa cheo anasema kafukuzwa.
Ulaya unarudi kwako. Kulala sahau teuzi labda miaka 20 ijayo.
Nyie siasa hamuijui. Makonda bado ana cheo. Tusali afukuzwe sasa sisi wenye roho mbaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…