Godbless Mushi adaiwa kujaribu kumbaka mtoto wake wa miaka mitano

Godbless Mushi adaiwa kujaribu kumbaka mtoto wake wa miaka mitano

Taarifa ya jeshi la polisi ukiisoma inaonyesha ni jinsi gani mtuhumiwa hana hatia💔😥
 
Kama kitendo hakijafanyika huyo mama kampeleka polisi mumewe ili iweje? Kwenye familia hawana wakubwa zao? 🤔
 
kuna faza mmoja mchaga Ana binti yake yopo six kilamda anamwonya kuhusu wanaume na mbinu tunazo tumia kulaghai mabinti

Sasa najiuliza huyu anataka kumla mwenyewe Nini🤔🤔

binti mrembo kajaa michunus ya nyege usoni baba anamlinda
 
Mazingira kama hayo yalitokea Moshi au Arusha tukabishana humu ila ukweli ni masharti ya waganga maana yule wa mwanzo ni mfanyabiashara kama huyo wote wachaga na alikuwa na mabinti wakubwa tu ..kwa nn afaute kitoto
Mazingira ya Baba kutaka kumbaka mtoto ama Mazingira ya Baba kumbaka mtoto?

Maana hapa tunaambiwa Baba alijaribu kumbaka mtoto, ina maana kitendo hakikuwa kimefanyika.
 
Mazingira ya Baba kutaka kumbaka mtoto ama Mazingira ya Baba kumbaka mtoto?

Maana hapa tunaambiwa Baba alijaribu kumbaka mtoto, ina maana kitendo hakikuwa kimefanyika.
Ishu nzima ni kubaka ambayo inaonekana kama ni kweli basi sio tamaa za kimwili itakuwa mambo ya waganga..

Haingiii akilini kabisa maana wengine wanadai labda ni mchongo
 
Wachaga bhana! Nakuja na orodha ya Dar ya wachagga wanaotomber watoto wao
 
Jeshi la polisi mkoani Mwanza limemkamata na linaendelea kumhoji Godless Mushi (39) mfanyabiashara wa kuza vifaa vya magari kwa tuhuma za kujaribu kumbaka mtoto wake wa kike mwenye umri wa miaka mitano

Taarifa ya jeshi la polisi kwa vyombo vya Habari inasema mnamo Aprili 2/2023 saa nne usiku katika mtaa wa Shibula wilayani llemela mwanaume huyo alitaka kumfanyia mtoto wake kitendo cha udhalilishaji wa kingono wakati akiwa amelala chumbani kwenye kitanda cha wazazi wake wakati mama yake mazazi akiwa anaendelea na shughuli zake za nyumbani


Aidha jeshi hilo kupitia dawati la jinsia na Watoto limesema uchunguzi kuhusiana na tukio hilo unaendelea kwa kuwahoi mashahidi na kumfanyia binti huyo chunguzi wa kitaalamu, na kwamba wanashirikiana na ofisi ya Ustawi wa jamii Mkoa wa Mwanza na upelelezi utakapo kamilika mtuhumiwa atafikishwa mahakamani

Chanzo: East Africa TV

Adhabu kali apatiwe
Ikiwezekana aachiwe uwezo wa kutoa mkojo tuu
 
Hapo kuna mawili
1. Masharti ya mganga kupata utajiri
2. Fitina za mke ili achukue mali zote huku mume akiwa gerezani.
 
Back
Top Bottom