Coach Slamah Hamad
JF-Expert Member
- Nov 12, 2014
- 3,740
- 4,938
Ulisoma bandiko la TLS? Katiba inamtaka raisi mpya afanye nini ashikapo madaraka?
Kama walishindwa kuheshimu katiba wakiongozwa na adui wa ufisadi wataweza vipi kwa huyu mama?
Ila Bwana yule alikuwa na roho mbaya sana sanaSpana zitaendelea kama kawa
Unataka kutuaminisha kwamba hakuna CCM wazuri???Kumbuka ili mtu awe wazir lazima awe mbunge sasa huko bungen wamejaa CCM tupu
She has a very unhealthy obsession with me.Funny! Even more funny if it’s a Woman!!!
Nimeku-tag kuweka alama! [emoji854]
Anaomba umtajie waliopo bungeni mimi siwafahamu wabunge wengi wa ccm.Unataka kutuaminisha kwamba hakuna CCM wazuri???
She has a very unhealthy obsession with me.
Like a teenybopper.
Too grown for that.
Thanks for your tag, though.
Wacheni Mungu aitwe Mungu...si kwa MAOMBI yaleRaisi Mama Samia
Ili twende vizuri, tunaomba clearance ya maana haswa kwenye baraza la mawaziri clear appointees wote wa hayati, uanze na kikosi kazi chako.
Unaenenda kwa hekima huwezi kufanya kazi na wakurupukaji.
Kweli kila mtu anataka afanye la kwake.Kama hana msimamo atayumbishwa sana.
ATCL inakula loss ya 60B kila mwaka. Vipi una maoni gani MATAGA?Rudi uongelee Tanzania Chadema tuliwaonya ongeleeni sera na vitu vyenye maslahi kwa taifa nyie mkajikita kuhangaika na Ind7ividual Magufuli mkakimbia hadi nchi mnakimbia mtu!!! sabanu hamkuwa politically strategic kuwa na hoja endelevu za kisiasa !!
Lisu kaja kugombea kutwa kutukana Magufuli tu kisha huyo katimka na mitusi yake katukana weeee na wewe Lema ukatukana weee mwisho mkatimka kwenda kulala kanada na ubelgiji
Chama ni sera na hoja sio individual attacks vipi duka lako bubu la fedha za kigeni lilifanyiziwa na Bot au ? si useme tu
Jina lipo kwenye biblia agano la kale
Hahahahaha ignore list unaweza nisome uki expand IleYupo Ignore list zaidi ya miaka 3 sasa ila maskini wala hajastukia bado.
Huwa kila mara ananinukuu kutaka attention yangu.
She is totally and thoroughly and permanently ignored.
I don’t lose sleep over her.
Usingeni tag wala nisingeona.
[emoji2]
Vile wewe ulivyoyumbishwa na jiwe kwa kutokuwa na msimamo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kama hana msimamo atayumbishwa sana.
Ustaadh swaleheShe has a very unhealthy obsession with me.
Like a teenybopper.
Too grown for that.
Thanks for your tag, though.
Zile zingine umeziacha mkuu?Mkuu ID yangu ni hii hii toka 2008. Hakuna mabadiliko. Tunapiga spana meko kwa maovu aliyotutendea
Hivi mkuu unafikiri kama ikiwepo Katiba Mpya na Tume Huru ndiyo upinzani utashinda uchaguzi? Kwa taarifa yako CCM ni Chama Dume kama kile Chama cha China. Katiba inaweza kutengenezwa na Tume Huru kama mnavyotaka na bado mkashindwa.Nitakua na imani walau na huyu Mama endapo
Ataitisha mchakato wa kupata katiba mpya..na ikapatikana
Kuwepo kwa tume huru ya uchaguzi..
Akiweza hivyo atakua amekua mwanaccm wa tofauti sababu naamimi siku zote CCM ni ile ile mbwembwe kibao ila hakuna jipya!
Ila itapendeza sana mama akiwanyoosha wale wapambe wa jiwe sijui matokeo chanya,Tanzania mpya,MATAGA , na matarumbeta mengineyo hatuwezi kua na mambo ya kusifia hata ujinga hii haikubaliki !
Aliyekuambia uwepo wa katiba mpya ni lengo la upinzani kushika hatamu ni nani?Hivi mkuu unafikiri kama ikiwepo Katiba Mpya na Tume Huru ndiyo upinzani utashinda uchaguzi? Kwa taarifa yako CCM ni Chama Dume kama kile Chama cha China. Katiba inaweza kutengenezwa na Tume Huru kama mnavyotaka na bado mkashindwa.
Upinzani wa nchi hii bado sana wengi wao ni wachumia tumbo tu umewaona hao wanawake wenu Covid 19 siku zote mlikuwa mnawaita wapambanaji sasa wako wapi?
Yaani...Mwendazake Legacy yake inaanza Kufa Mapema.