Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutajuaje sasa kama hata huu UROPOKAJI wa akina Lissu sio KEJERI iwapo leo mnanengua viuno bungeni mkiimba kummiss JK halafu kesho mnadai apelekwe mahakamani eti ni FIASADI?Wewe hamnazo. Pale chadema walikuwa wanakujeri na wakishangilia wewe naona umeamini. Wammisi Mr makinikia kwa kipi??
ukiwasikiliza kwa umakini wanamsifia JK katika lipi ndio utakua mwisho wako wa uzero brain, na pia fuatilia apelekwe mahakamani kwa kipi, usiwe kam umekunywa viroba.Tutajuaje sasa kama hata huu UROPOKAJI wa akina Lissu sio KEJERI iwapo leo mnanengua viuno bungeni mkiimba kummiss JK halafu kesho mnadai apelekwe mahakamani eti ni FIASADI?
Hivi mnajielewa kweli au Ngosha kawapotezea mwelekeo hamjui mnasimamia nini.
Fungua Uzi mwingine hoja aiendani na madaTutajuaje sasa kama hata huu UROPOKAJI wa akina Lissu sio KEJERI iwapo leo mnanengua viuno bungeni mkiimba kummiss JK halafu kesho mnadai apelekwe mahakamani eti ni FIASADI?
Hivi mnajielewa kweli au Ngosha kawapotezea mwelekeo hamjui mnasimamia nini.
Duh... Wanaccm basi mnafurai chadema wakimshangilia jk...Tutajuaje sasa kama hata huu UROPOKAJI wa akina Lissu sio KEJERI iwapo leo mnanengua viuno bungeni mkiimba kummiss JK halafu kesho mnadai apelekwe mahakamani eti ni FIASADI?
Hivi mnajielewa kweli au Ngosha kawapotezea mwelekeo hamjui mnasimamia nini.
Bangi Kweli,..Piga 111
Kwa hiyo walikuwa wanakata viuno vya kummiss kwa kipi - Uzuri wa sura?ukiwasikiliza kwa umakini wanamsifia JK katika lipi ndio utakua mwisho wako wa uzero brain, na pia fuatilia apelekwe mahakamani kwa kipi, usiwe kam umekunywa viroba.
Tunaongelea mlaaniwa number moja wa Malisa (SOMA). Ambaye wabunge wetu akina Msigwa walikuwa wakikata viuno bungeni kumtaka arudi eti wamemiss.
Biblia hiyo hiyo inasema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.Biblia inasema amelaaniwa amtegemeae mwanadamu.
Duh... Wanaccm basi mnafurai chadema wakimshangilia jk...
Basi ndg baada ya ripoti ya pili wapinzani wakiwa bungeni waliwashangilia sana presida wa awamu ya tatu na ya nne... Apo Kwa akili yako uliamini walishangilia kwa kuwakubali.. Pole weeee. Ile ilikuwa kuwakejeli Juu ya yaliyojiri ktk ripoti ya mchanga ya kamati ya pili, kwa wanaoelewa walielewa pia kwann mkuu alipiga marufuku kuwataja kwa sasa.
Sometimes tuwe tunajiongeza. Izo baba ni kejeri pia zaidi ni lugha ya picha kwa kinachoendelea tz.
Kufanyia wenzake sawa ila yeye tumuombee sana kwa Mungu asifanyiweDuh SAA 10 hii sasa na dkk13 sijui uko kinaendelea nini, jamaa huyu anatunyoosha haswa.
Ova
Unapokosa maarifa unakosa msimamo kama Tundu Lissu. Hivi sasa anatamani akawatetee akina Seth mahakamani.Biblia hiyo hiyo inasema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.