Tetesi: Godlisten Malisa avamiwa na watu wasiojulikana

Tetesi: Godlisten Malisa avamiwa na watu wasiojulikana

HUMU KUNA WANAFIKI WENGI WANAJIFANYA KUSHANGAA AAMA KUONA UXHUNGU

SAME BRBAKIFIKISHWA.MAHAKAAMANI UWAONI KISUTU WALA MCHANGO WA 500 KwAMWANASHERIA

NAOGOPA LAANA NAOGOPA SIASA NWDAYS.MALAIKA ANAWEZA KUKUACHA GETINI SIKU YA MWISHO KWA UNAFIKI
 
Hili la Escrow wanaohitaji credit ni wafuatao (nimepanga kulingana na umuhimu wao ktk vita hii):

1. David Kafulila
2. Zitto Kabwe Ruyagwa
3. Marehemu Deo Filikunjombe
4. Tundu Antipas Lissu
5. Godwin Ngwilimi
6. Wabunge wote wa upinzani
7. Baraza la vijana la Chadema
8. Vyombo vya habari (binafsi) na Mitandao ya kijamii
9. Asasi za kiraia
10. Rais John Pombe Magufuli

Wanaohitaji kulaaniwa/kulaumiwa vikali kwa kutetea wizi huu na kusema si pesa za umma:

1._______________ (Mtajaza wenyewe maana tumeambiwa tumuache apumzike),

2. Wabunge wa CCM bunge lililopita (but namuondoa Dr.Kigwangala, Mwigulu na wengine wachache),

3. Vyombo vyote vya habari vya umma (TBC 1, TBC Radio, Daily News, Habari Leo, etc),

4. Vyombo vyote vya habari vya CCM (Uhuru radio, Uhuru gazeti),

5. Fredrick Werema (aliyekua Mwanasheria mkuu),

6. Waziri Muhongo,

7. Waziri Ngeleja etc,

8. Waliokua viongozi waandamizi serikalini (RCs, DCs, Mawaziri, etc),

9. Umoja wa vijana wa CCM (Hapa namuondoa Magoiga SN, angalau yeye alionesha ujasiri wa kupingana na chama chake hadharani kwa kukataa kutetea wezi),

10. Chama cha Mapinduzi (CCM).!
Malisa GJ
Bila kusahau "wazee wa mkoa wa Dar es Salaam"!
 
Hili la Escrow wanaohitaji credit ni wafuatao (nimepanga kulingana na umuhimu wao ktk vita hii):

1. David Kafulila
2. Zitto Kabwe Ruyagwa
3. Marehemu Deo Filikunjombe
4. Tundu Antipas Lissu
5. Godwin Ngwilimi
6. Wabunge wote wa upinzani
7. Baraza la vijana la Chadema
8. Vyombo vya habari (binafsi) na Mitandao ya kijamii
9. Asasi za kiraia
10. Rais John Pombe Magufuli

Wanaohitaji kulaaniwa/kulaumiwa vikali kwa kutetea wizi huu na kusema si pesa za umma:

1._______________ (Mtajaza wenyewe maana tumeambiwa tumuache apumzike),

2. Wabunge wa CCM bunge lililopita (but namuondoa Dr.Kigwangala, Mwigulu na wengine wachache),

3. Vyombo vyote vya habari vya umma (TBC 1, TBC Radio, Daily News, Habari Leo, etc),

4. Vyombo vyote vya habari vya CCM (Uhuru radio, Uhuru gazeti),

5. Fredrick Werema (aliyekua Mwanasheria mkuu),

6. Waziri Muhongo,

7. Waziri Ngeleja etc,

8. Waliokua viongozi waandamizi serikalini (RCs, DCs, Mawaziri, etc),

9. Umoja wa vijana wa CCM (Hapa namuondoa Magoiga SN, angalau yeye alionesha ujasiri wa kupingana na chama chake hadharani kwa kukataa kutetea wezi),

10. Chama cha Mapinduzi (CCM).!
Malisa GJ
Duh inamaana sasa ukiisema CCM vibaya unatekwa au pia unapotezwa?? Jmn tuamue moja kuwa tunaifuta ccm 2020
 

Umescreenshot jana ili kuja kuirusha leo. Na huyo Rose hana update yoyote ya tukio hilo.

Screenshot_20170620-053333.jpg
 
kama sio kiki..itakua sio poa dogo bado ana ndoa,changa sanaaa
 
Huyo No 1. mliyekatazwa kumtaja sio yule ambaye wabunge wa CHADEMA wanammiss kweli?
Wewe hamnazo. Pale chadema walikuwa wanakujeri na wakishangilia wewe naona umeamini. Wammisi Mr makinikia kwa kipi??
 
HUMU KUNA WANAFIKI WENGI WANAJIFANYA KUSHANGAA AAMA KUONA UXHUNGU

SAME BRBAKIFIKISHWA.MAHAKAAMANI UWAONI KISUTU WALA MCHANGO WA 500 KwAMWANASHERIA

NAOGOPA LAANA NAOGOPA SIASA NWDAYS.MALAIKA ANAWEZA KUKUACHA GETINI SIKU YA MWISHO KWA UNAFIKI
Mzee ungetulia ukaandika vizuri au uko juu ya bodaboda?? maana kiswahili sio pia kithungu sio ni kutapakanya tu maneno
Magoiga SN huyo huyo????
 
Back
Top Bottom