bahati93
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 1,334
- 2,463
Mungu anajua kila kitu kutuhusu sisi wanadamu, anajua kesho nitakua wapi,nitakula nini na nitakufa lini...pia ametupa uwezo wa kuchagua kuishi ville tupendavyo bila yeye kutuingilia(free will) sasa hapa ndio kuna msingi mkuu wa mada yangu ambapo imekua ikinitatiza sana jambo hili. Je kwakua Mungu anajua kila kitu, Je anajua kama mimi nitakua mbaya au mwema?
Kosa kubwa linalofanywa na wengi wanapomjadili Mungu ni kwamba kufikiri anawaza kama mawazo yetu. Kama apo Vinci unafikiri mungu anajua jema na baya, kitu ambacho sio kweli, kwake yeye yupo beyond good and evil. Good and evil are product of human effort to make sense of this world, ndio maana unakuta jamii nyingi tunatofautiana juu ya kipi ni chema n kipi ni kibaya, mfano kuna jamii kula nguruwe ni soo, pia kuna jamii kaka kumowa ndugue ni sawa kabisa, au kijana wa kiume aliyebalehe kumchukua dogo wa kiume na kuishi nae kama mkewe ni sawa tu.
Cha kujua sir God katuweka tuexpress our truest self, na pia kushangaa na kutukuza utukufu wake anaonyesha kila sehemu ukiangazia macho. siku atakapokuja kuvuna mbegu zakee kuna watu kwa kushangaa taya zao zitagusa chini.