God's Conscience vs Free Will: Je, Mungu anajua hatima ya wanadamu itakuwaje?

God's Conscience vs Free Will: Je, Mungu anajua hatima ya wanadamu itakuwaje?

2
Nilimuonyesha hilo na ule ni uthibitisho ni juu yake kukubali au kutokubali, kutokuendelea kwake kujadili lile jambo ni ishara ya kuwa nilichokiweka ni ushahidi na ni uhalisia, ndiyo maana hakuweza kupinga kwa vyovyote.

Bila kuonyesha, huo ni mdumange na kukimbia hoja. Hivi ndivyo mlivyo, mwenzako kidogo alijaribu kutoa ufafanuzi baada ya kuwa nambana, sababu tabia yenu huwa mnakimbia hoja. Sasa wewe onyesha ya kuwa kuwepo kwa ulimwengu siyo "Self evident truth".
Uthibitisho kwa maoni yako au unamsemea?

Self evident truth au appeal to self evident truth?
 
Tofautisha adhabu na taratibu.

Ukiwa na familia yako kisha ukawaeleza ikifika saa 12 jioni muwe mpo ndani ya nyumba na atayekosekana ataadhibiwa huo ni utaratibu wala si adhabu.

Na hata hiyo free will ina mipaka katika kufanya chochote sababu ya utaratibu wa matokeo mazuri, maana ulimwengu ni muunganiko wa viumbe vyote hai na visivyo hai, vinavyoonekana na visivyoonekana tena kwa kutegemeana kimaisha.
Penye mipaka hapana free will
 
Historia pia inaonesha imani zilizokuwa ni kweli all along. Nyingine zinaweza zisiwe kweli kamilifu lakini ile kiujumla ni za kweli au zikawa zina ukweli mwingi tu.

Kazi ni kwetu kuzichunguza na kujichunguza kadri tunavyoendelea kuishi nazo.

Ndio maana mi huwa nasema tuanze na kuamini kuwa Mungu yupo, halafu ndio tubaki tunabishana kuwa yupojepoje. In fact sitegemei mijadala ya yupojepoje kuisha leo au kesho! Hii ni kazi tutakayoendelea nayo mpaka mbele sana katika safari yetu ya milele!!
Kilichokuwa katika kweli hakiwezi kuwa kwenye imani

Imani ni kukubali kitu kuwa ni kweli bila uthibitisho, ukishajua ukweli kwa hakika unatoka kwenye imani
 
Tunapeana faida watu tumetofautiana ufahamu na maarifa.
Wewe unatumia mbinu za ubishi wa kijinga kujielimisha, una provoke watu kijinga ili upate elimu muhimu ambayo huna, lakini si muwazi na hutaki kukubali.

Mpaka sasa hujakubali kuwa umejifunza kuwa Aristotle hakuanzisha logic, na kwamba kusema hivyo miongoni mwa watu waliosoma historia ni sawa na kujivua nguo.

Ama ni hivyo, ama una uj8nga na ubishi wa kinyama tu.

Yani animalistic antagonism ya kutetea upande wako bila kuangalia logic.

Kama hata unajua logic ni nini.

Maana mpaka saaa sijaridhuka kwamba unajua hata logic maana yaje ni nini.
 
Nimekujibu hiyo ni logical fallacy ya appeal to self evident truth, kulingana na wewe ulivyoweka madai kuwa jambo fulani linapaswa kukubaliwa bila uthibitisho kwasababu i self evident truth. Na sio mara ya kwanza nakuambia
Haya mambo mepesi sana hapa ulitakiwa uonyeshe uwezekano wa kinyume chake, kwamba self evident truth si hivyo ilivyo lakini mpaka muda huu hujafanya hivyo. Maana ya self evident truth ni kuwa uwepo wa jambo fulani huonyesha uwepo wa aliyefanya kilichopo kiwepo. Ndiyo maana jambo hili nilipokutaka utoe ufafanuzi ukashindwa na huwezi. Mfano uwepo wako wewe unaonyesha umetokana na kitu fulani au vitu fulani, hakuna kitu kilichotokana pasi na kitu.

Sasa ili uwe mkweli unatakiwa uonyeshe uongo wa jambo hilo. Siyo unaruka ruka.
KNimebaini kumbe swala lako la kupinga logic linasababishwa na wewe kutokujua logic ni nini
Tatizo lenu liko pale pale, mimi logic nimeisoma kote kote yaani nimesoma kwa wale wanao ipigia chapuo na nimeisoma kwa wale wanao pinga, vitu ambavyo nyinyi hamjawahi kuvifanya.

Hapa, ulitakiwa ukosoe kile nilichokiandika au kukisimamia juu ya fani hii ya logic.

Nimeshamuelezea mwenzako huko mwanzo juu ya maana ya logic kwa zaidi ya maana mbili, rejea kisha uje kukosoa nilichokiandika.


Hiyo ni reason ya kishamba, kinachoonekana kwako ni self evident truth sio necessary kuwa kionekane ni self evident kwa mtu mwingine na ndio hapo unapo hitajika ku reason zaidi.
Saa ndiyo maana tukasema hivi elezea chanzo cha ulimwengu bila kuonyesha muanzilishi wake maana yake unataka kutuambia Ulimwengu umetokana pasi na chochote,sasa ndiyo uonyeshe hilo. Haya mambo hayataki kona kona.

Halafu kwa ujinga huu unasema sijui logic na wewe nitakuweka wapi ?
Usichanganye mawazo yako au mtazamo wako binafsi na interpretation ya self evident truth
Sasa ndiyo ukosoe nilichokiandika kwa hoja na ubainifu, usilete stori na kukimbia hoja.
 
Bqck to basics.

Mpaka sasa hakuna mtu yeyote aliyethibitisha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote yupo.

Kwa sababu Mungu huyo hayupo.

Na tunaweza kuthibitisha Mungu huyo hayupo, kimantiki.

Kwa kuangalia jinsi dunia hii iliyopo inavyomkanusha.

Kwa kuangalia the problem of evil.

Basically, Mungu huyu ni mutually exclusive na ulimwengu huu.

Ama ulimwengu huu unakuwepo, ama Mungu huyo anakuwepo.

Viwili hivi haviwezi kuwapo pamoja.

There is an inherent contradiction in that God existing and this world existing also.

This world exists.

Therefore, that God does not exist.

Kama unabisha, thibitisha Mungu huyo yupo.
 
Wewe unatumia mbinu za ubishi wa kijinga kujielimisha, una provoke watu kijinga ili upate elimu muhimu ambayo huna, lakini si muwazi na hutaki kukubali.
Tofauti yangu mimi na nyinyi ni kuwa mimi nilifunzwa adabu kwanza za kutafuta elimu kabla ya elimu yenyewe, ndiyo maana kwangu kusema "sijui" ni nusu ya elimu.

Yaani kuna baadhi ya elimu wanazuoni wetu walishamaliza katika kuzikosoa, kwahiyo sisi tunasoma waliyo yaandika na kuyaelewa kisha tunawazindua wengine.

Japo elimu ni bahari, mimi kuna vitu naweza kujifunza kwako ila siyo Falsafa, Logic, Uhakiki wa habari na DINI. Hili wakubwa zetu walishamaliza, na eakajibu hoja za wakubwa zenu wote. Mnfekuwa ni watu wa kusoma na kufanya utafiti ningewawekea vitabu mkavisome mpate faida.
Mpaka sasa hujakubali kuwa umejifunza kuwa Aristotle hakuanzisha logic, na kwamba kusema hivyo miongoni mwa watu waliosoma historia ni sawa na kujivua nguo.
Ningeona hilo ningekubali.
Yani animalistic antagonism ya kutetea upande wako bila kuangalia logic.
Unarudia kosa lile lile.
Kama hata unajua logic ni nini.

Maana mpaka saaa sijaridhuka kwamba unajua hata logic maana yaje ni nini.
Uzuri sijawahi kujadiliana na mtu kwa lengo nimridhishe au nitarajie kumridhisha, mimi najadiliana na mtu kumrekebisha au nipate faida toka kwake akikubali sawa asipo kubali sawa, ndiyo maana kwangu kufikia jitimisho la makunaliano katika mjadala si lengo. Haya nimejifunza katika kitabu "Adab al Bahth wa al munadhara (The Etiquett of research and debate) cha Imam Ash-Shanqiity.

Kingine ajabu katika maana za logic zote nilizo zitoa hukuweza kukosoa hata moja.
 
Bqck to basics.

Mpaka sasa hakuna mtu yeyote aliyethibitisha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote yupo.

Kwa sababu Mungu huyo hayupo.

Na tunaweza kuthibitisha Mungu huyo hayupo, kimantiki.

Kwa kuangalia jinsi dunia hii iliyopo inavyomkanusha.

Kwa kuangalia the problem of evil.

Basically, Mungu huyu ni mutually exclusive na ulimwengu huu.

Ama ulimwengu huu unakuwepo, ama Mungu huyo anakuwepo.

Viwili hivi haviwezi kuwapo pamoja.

There is an inherent contradiction in that God existing and this world existing also.

This world exists.

Therefore, that God does not exist.

Kama unabisha, thibitisha Mungu huyo yupo.
Nimecheka sana, sasa si angalau ungeweka hoja mzee ?
 
Lile swali langu nililo kuuliza bado hujalijibu.

Nilikwambia mpaka unaingia kaburini hutaweza, huu mwaka wa tatu unaenda.

Kubishana nilikuwa nabishana zamani nilipokuwa sijui wapi pakuchukua elimu. Ila baada ya kujua namshukuru Mola wangu mlezi, nakitoa kile kidogo alichoniruzuku katika elimi. Sibishani na mtu ila watu wanafanya hivyo.

Kama kutakuwa na maana nyingine ya tamko hili, lihudhurishe tu.
Utabaki mstari huohuo mpaka ujibu swali langu. Unalikumbuka? Mpqkq somo likuingie ndiyo ntakupeleka mstari mwingine.
 
Tofauti yangu mimi na nyinyi ni kuwa mimi nilifunzwa adabu kwanza za kutafuta elimu kabla ya elimu yenyewe, ndiyo maana kwangu kusema "sijui" ni nusu ya elimu.

Yaani kuna baadhi ya elimu wanazuoni wetu walishamaliza katika kuzikosoa, kwahiyo sisi tunasoma waliyo yaandika na kuyaelewa kisha tunawazindua wengine.

Japo elimu ni bahari, mimi kuna vitu naweza kujifunza kwako ila siyo Falsafa, Logic, Uhakiki wa habari na DINI. Hili wakubwa zetu walishamaliza, na eakajibu hoja za wakubwa zenu wote. Mnfekuwa ni watu wa kusoma na kufanya utafiti ningewawekea vitabu mkavisome mpate faida.

Ningeona hilo ningekubali.

Unarudia kosa lile lile.

Uzuri sijawahi kujadiliana na mtu kwa lengo nimridhishe au nitarajie kumridhisha, mimi najadiliana na mtu kumrekebisha au nipate faida toka kwake akikubali sawa asipo kubali sawa, ndiyo maana kwangu kufikia jitimisho la makunaliano katika mjadala si lengo. Haya nimejifunza katika kitabu "Adab al Bahth wa al munadhara (The Etiquett of research and debate) cha Imam Ash-Shanqiity.

Kingine ajabu katika maana za logic zote nilizo zitoa hukuweza kukosoa hata moja.
Yani ulipoandika tu kwamba Aristotle kaanzisha logic nikakuona mjinga kupita maelezo.

Na unavyoendelea kubisha nakuona mpumbavu kabisa.
 
Nimecheka sana, sasa si angalau ungeweka hoja mzee ?
Hoja ukiiona utaijua?

Nakwambia kuhusu the problem of evil and the mutual exclusivity of the existence of God and this world, bado unanitaka nikupe hoja?

Unajua hata hoja ni nini guluguja wewe usiye na ubongo wala uti wa mgongo?
 
Mkuu, unataka ku comprehend ukuu na utendaji kazi wa Mungu.........it is beyond human imagination my friend, wewe amini tu Mungu Mkuu (Almighty God) yupo na amua kutii na kufuata yale unayofundishwa au kusikia kumhusu yeye.
 
Haya mambo mepesi sana hapa ulitakiwa uonyeshe uwezekano wa kinyume chake, kwamba self evident truth si hivyo ilivyo lakini mpaka muda huu hujafanya hivyo. Maana ya self evident truth ni kuwa uwepo wa jambo fulani huonyesha uwepo wa aliyefanya kilichopo kiwepo. Ndiyo maana jambo hili nilipokutaka utoe ufafanuzi ukashindwa na huwezi. Mfano uwepo wako wewe unaonyesha umetokana na kitu fulani au vitu fulani, hakuna kitu kilichotokana pasi na kitu.

Sasa ili uwe mkweli unatakiwa uonyeshe uongo wa jambo hilo. Siyo unaruka ruka.

Tatizo lenu liko pale pale, mimi logic nimeisoma kote kote yaani nimesoma kwa wale wanao ipigia chapuo na nimeisoma kwa wale wanao pinga, vitu ambavyo nyinyi hamjawahi kuvifanya.

Hapa, ulitakiwa ukosoe kile nilichokiandika au kukisimamia juu ya fani hii ya logic.

Nimeshamuelezea mwenzako huko mwanzo juu ya maana ya logic kwa zaidi ya maana mbili, rejea kisha uje kukosoa nilichokiandika.



Saa ndiyo maana tukasema hivi elezea chanzo cha ulimwengu bila kuonyesha muanzilishi wake maana yake unataka kutuambia Ulimwengu umetokana pasi na chochote,sasa ndiyo uonyeshe hilo. Haya mambo hayataki kona kona.

Halafu kwa ujinga huu unasema sijui logic na wewe nitakuweka wapi ?

Sasa ndiyo ukosoe nilichokiandika kwa hoja na ubainifu, usilete stori na kukimbia hoja.
Sasa hapo unakuwa umeandika nini?

Nakuambia hii simu uliyonunua ni replica kwasababu imekosa features hii na hii na kweli ukiangalia features hizo hazipo, still unakuja kusema hapana hujaonesha uwezekano wa kinyume chake

"Elezea chanzo cha ulimwengu bila kuonyesha muanzilishi wake"

this is what we call "KISS approach" (Keep it simple stupid)

Vitu complex unataka kuvi articulate kwa hoja nyepesi

Namna unavyoweza kumuelezea Mungu bila chanzo ndiyo namna hiyo hiyo naeza kuelezea ulimwengu bila chanzo
 
Sasa hili nakuachia wewe umuulize.

Self evident truth.
Kwako wwe ni self evident truth, haina maana na mwingine ataona ni self evident truth hivyo hivyo na ndio maana unapaswa kuweka uthibitisho ku verify madai yako
 
Mkuu, unataka ku comprehend ukuu na utendaji kazi wa Mungu.........it is beyond human imagination my friend, wewe amini tu Mungu Mkuu (Almighty God) yupo na amua kutii na kufuata yale unayofundishwa au kusikia kumhusu yeye.
Unajuaje ukuu wa Mungu uko beyond human imagination, na kwamba hiyo si hadithi ya uongo uliyohadithiwa tu?

Vipi ikiwa Mungu hayupo, na watu wamejitungia tu hadithi ya uongo kwamba Mungu yupo na kapita uelewa wa watu?

Hapo ukiamini uongo huu, bila kuhoji kimantiki, utajuaje ukweli kwamba Mungu hayupo na habari za kuwepo kwake ni hadithi za uongo zilizotungwa na watu tu?
 
Utabaki mstari huohuo mpaka ujibu swali langu. Unalikumbuka? Mpqkq somo likuingie ndiyo ntakupeleka mstari mwingine.
Swali gani hilo ? Nikumbushe kwenye ule ule uzi.

Mimi lile swali langu, mpaka unakufa huwezi kulijibu. Kwahiyo usihangaike nalo. Salama yako ni ukiri tu.
 
Yani ulipoandika tu kwamba Aristotle kaanzisha logic nikakuona mjinga kupita maelezo.

Na unavyoendelea kubisha nakuona mpumbavu kabisa.
Sasa si ungeonyesha hilo, umesahau kama ulikiri ya kuwa Aristoto aliweka mfumo mzuri wa Logic ?

Maelezo yako kuhusu logic yameonyesha wazi kabla ya Aristoto hapakuwa na fani ya logic, ndiyo maana umeshindwa kuelezea logic nje ya maana ya kifani.

Sasa utaona mimi na wewe nani mpumbavu na nani ni mjinga, wewe umekusanya yote, yaani hata unachokiegemea unashindwa kukitetea.
 
Hoja ukiiona utaijua?

Nakwambia kuhusu the problem of evil and the mutual exclusivity of the existence of God and this world, bado unanitaka nikupe hoja?

Unajua hata hoja ni nini guluguja wewe usiye na ubongo wala uti wa mgongo?
Huwa nafurahi sana kujadiliana na watu wepesi kama wewe.

Mantiki haiwezi kukanusha au kuthibitisha kutokuwepo kwa Allah, ndiyo maana huwa hamuigusi hoja hiyo.

Problem of evil haiwezi kuthibitisha kutokuwepo kwa Allah, sababu Allah mwenyewe ametaka mambo yawe hivyo. Sasa hili ni tatizo la ufahamu na kuchagua kuwa mjinga.

Sasa nisingekuwa na ubongo na uti wa mgongo nikaandikaje au kufanya haya ninayo yafanya, tulia utengeneze hoja.

Sijui hoja ni nini, nipe faida mzee wangu.
 
Sasa si ungeonyesha hilo, umesahau kama ulikiri ya kuwa Aristoto aliweka mfumo mzuri wa Logic ?

Maelezo yako kuhusu logic yameonyesha wazi kabla ya Aristoto hapakuwa na fani ya logic, ndiyo maana umeshindwa kuelezea logic nje ya maana ya kifani.

Sasa utaona mimi na wewe nani mpumbavu na nani ni mjinga, wewe umekusanya yote, yaani hata unachokiegemea unashindwa kukitetea.
Rais Mkapa aliweka mfumo mzuri wa kukusanya kodi Tanzania kwa kuanzisha TRA.

Je, Rais Mkapa ndiye aliyeanzisha kukusanya kodi Tanzania?
 
Back
Top Bottom