Nilikwambia nini baada ya wewe kujibu hivyo ? Na ukaonyesha nini kwenye ile maana uliyo itoa ? Nakusaidia sababu kichwa changu kina tunza kumbumbu vizuri, hilo wazo ulilo litoa mwisho likaangukia kwenye fani.
Lakini, kadhalika hukielezea kiundani logic kama wazo, sababu mimi nafahamu logc, na ile link uliyo nipa nikakwambia nitakuja tujadili ishu ya "Concepts" na "definitions" humu nako kuna makosa mengi sana yaliyo fanywa na Wanafalsafa na Watu wa Mantiki.
Hii siyo kweli, sababu hivi vitu vipo tangu logic kama wazo halijaundwa. Kijana huelewi wapi ? Ndiyo maana nikasema hivi huwezi kuongelea logic nje ya fani, sababu tamko "AND" halina maana tu ya kumjulisha au ziada.
Hii imetokea katika kiasili, na nilikwambia huko kwanzo logic inatumia sehemu ndogo sana ya lugha kung'amua mambo yake ndiyo maana hata Aristoto alipoanza kuweka misingi alianza kujishughulisha na lugha hasa kwenye Kiima (Subject) na kiarifu (Predicate). Sasa ukirudi katika tamko "AND" haliishii kwenye maana ya logic kama fani sasa. Kwahiyo walipo weka sheria za fani ya logic wakaamua kutumia baadhi ya maneno na viunganishi kuwakilisha jambo fulani.
Sasa hii ni lugha ndiyo maana tunasema haya mambo yapo kabla ya logic kuwepo, na wala watu hawakuhitaji mambo hayo. Nilikuonyesha huko nyuma huwezi kuongelea tamko logic nje ya fani, ndiyo maana mpaka muda huu unaduru katika fani, tamko "AND" limechukuliwa kwenye lugha na kupewa sifa moja tu ila kwenye asili tamko "AND" lina sifa zaidi ya moja. Kuna "AND" ya pamoja, kuna "AND" ya jumla na "AND" nyingine. Sasa ili ujue ya kuwa logic ni fani imetanguliwa na lugha na sarufi zake na hesabu zilikuwepo kwanini haijabeba maana zote za "AND" ?
Hili nikuulize wewe sababu, nachokiandika na unacho nijibu au kunikuu ni vitu viwili tofauti.
Tena niko makini sana katika kusoma na kuelewa.
Ndiyo uonyeshe ujinga wangu uko wapi. Jifunze kunakishi hoja na kuzivunja vunja hoja za aliye dhidi yako, hili naona hamliwezi kabisa, najua sababu mnafikiri kitoto sana.