God's Conscience vs Free Will: Je, Mungu anajua hatima ya wanadamu itakuwaje?

Wewe nimekwambia tatizo lako hujui Kiingereza.

Ndiyo maana umeshindwa kuelewa nilichopost hapa.

Na kwa sababu hii hatuwezi kuelewana.
 
Wewe nimekwambia tatizo lako hujui Kiingereza.

Ndiyo maana umeshindwa kuelewa nilichopost hapa.

Na kwa sababu hii hatuwezi kuelewana.
Hahaha, sasa kama una uwezo si ukosoe kijana. Shida iko wapi ?

Kingine maswali niliyo kuuliza bado hujajibu hata moja.
 
Mambo haya ya Imani yanachanganya sana. Utakuta kuna Malaika walikuja kutembea duniani wakakutana na wanawake warembo wakaamua kulala nao na hawakuweza kurudi tena mbinguni.
Ukisoma kitabu cha Ayubu nacho, shetani aliulizwa na Mungu umetoka wapi wewe, akajibu nimetoka kutembea huku na huko. Shetani akamwomba Mungu amjaribu Ayubu ili aone kamA anamtii Mungu au la.
Mungu alimruhusu shetani amdhuru Ayubu lakini sio kumwondolea uhai.
Mungu alijua fika Ayubu atashikiria msimamo wake wa kumtii. Je' Ayubu angemuasi Mungu baada ya shetani kuruhusiwa kumjaribu, kosa lingekua ni la nani?
Kisa hicho cha Ayubu kinafanana na Yuda alie msaliti Yesu. Kama maandiko mengi yalitabiri kusalitiwa kwa Yesu na mateso yake. Kwanini kutimia kwa maandiko hayo moja kwa moja yanamuweka Yuda kwamba ni muovu?
Ukitazama kwa undani utaona sisi binadamu tumekua kama uwanja wa mapambano kati ya Mungu na Shetani lakini mwisho wa yote sisi ndio tunabeba mzigo huo moja kwa moja
 
But i am not a debator [emoji4]
Ngoja tukuchokoze; a debate has three or four members/participants..... proposers, opposers and members of the floor plus mwenyekiti na katibu na mgeni rasmi na jaji. Even members of the floor are participants in some parts, so: they are debators in more than one way😏😏
 
[emoji23]

Chill Bruh!

But i am not a debater [emoji4]
 
You have foreknowledge!!! [emoji33]..... so do you know like if somebody will not change their idea or not. If you would debate?
Whoa! Easy Bro!

I never said 'meant' that

But i am not a debater [emoji17]
 
MADA: Je Mungu anajua hatma ya wanadamu?

Foreknowledge & Free will
 
Kwa kukusaidia kujibu swali lako, ni kwamba unafanyia kazi nadharia Ilizopitwa na wakati.
Kwa nini Mungu aliwapa mitihani mpaka Manabii/Mitume wake...!

Mtume aliye Tumwa kuja kukamilisha wito wa Mungu juu ya Mwanadamu ni Muhammad (s.a.w)
Na kitabu alicho pewa (Quran) ameambiwa lengo la kuumbwa kwenu sisi wanaadamu (Umma wa Muhammad) ni Kumuabudu /Kumcha Mungu.
Kama utakuwa na malengo yako Mengine wewe ni wa Motoni (wa Shetani) tu.
Usimzungumzie Mungu wa Enzi za Ibrahim, Musa, Yakubu, Issa n.k...
 
Tatizo lengo la madaa hii sio kuzungumzia existence purposes bali Conscience na Freewill
 
Wacha niharibu conclusion nzuri ya uzi uliishia na neno hitimishi kiutamu sana 'POA' nukta........ mtanisamehe

Nimekuja huku nikidhani ndiko Mokiti anakoendelea kupambana na Kisai kumbe sio huku! sijui wako wapi hawa jamaa.
 
Wacha niharibu conclusion nzuri ya uzi uliishia na neno hitimishi kiutamu sana 'POA' nukta........ mtanisamehe

Nimekuja huku nikidhani ndiko Mokiti anakoendelea kupambana na Kisai kumbe sio huku! sijui wako wapi hawa jamaa.
Wee jamaa kwa kuandika magazeti nakupa hongera. Kuna vitu napika nitakualika vikiiva😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…