God's Conscience vs Free Will: Je, Mungu anajua hatima ya wanadamu itakuwaje?

God's Conscience vs Free Will: Je, Mungu anajua hatima ya wanadamu itakuwaje?

Ngoja tukuchokoze; a debate has three or four members/participants..... proposers, opposers and members of the floor plus mwenyekiti na katibu na mgeni rasmi na jaji. Even members of the floor are participants in some parts, so: they are debators in more than one way[emoji57][emoji57]
Time keeper [emoji6]
 
Siju
Time keeper [emoji6]
kwa nn nilimsahau huyu, muhimu sana.

Kuna time keeper mmoja alikuwa wa mchongo, upande asokubaliana nao wakianza tu kuongea muda umeisha, af upande mwingine anawaongezea muda
 
'Alima ma-kana wa'alima ma-yakunu-wa'alima makana lawkana kaifa kana yakunu ...

Al Imaam Abu Dawood katika shairi lake Al-Haiyyah aliandika katika moja ya beti 'Wabil-qadaril-maqduri a'iqin fainahu ..."

[emoji4]
 
'Alima ma-kana wa'alima ma-yakunu-wa'alima makana lawkana kaifa kana yakunu ...

Al Imaam Abu Dawood katika shairi lake Al-Haiyyah aliandika katika moja ya beti 'Wabil-qadaril-maqduri a'iqin fainahu ..."

[emoji4]
Umeandika Nini wewe mtumwa wa waarabu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mwenyezi mungu katengeneza system inafanya kazi kuna reject pindi production inaendelea na good product mwisho wa production tumefundishwa tumeelewa.
 
Mwenyezi mungu katengeneza system inafanya kazi kuna reject pindi production inaendelea na good product mwisho wa production tumefundishwa tumeelewa.
Sijakuelewa mkuu
 
Kwa uelewa wangu jibu la swali lako ni kuwa Mungu amekuwekea njia mbili na wewe mwanadamu umepewa nafasi ya kuchagua njia moja kati ya hizo mbili.
#Soma Yeremia 21:8
1. Uzima
2. Mauti


#Mungu anakushauri njia ya kuichagua Torati 30:19

Lakini njia ya kuelekea uzimani ni Yesu Kristo
Soma Yohana 14:6

# Ila nikushauri tu kama wewe ni Mkatoliki basi piga hatua nyingine ya kuzaliwa mara ya pili ili uweze kufika mbinguni maana hatutaenda mbinguni kwa dini zetu bali kwa njia ya Yesu kristo sawasawa na neno la Mungu katika Yohana 14: 6. Simaanishi uhame dini yako bali umpokee Yesu Kristo katika maisha yako.
 
Uamuzi huu wa malaika unathibitisha dhana ya freewill.

Kwamba; malaika wote walikuwa na uhuru wa ama kuchagua kuwa wema kama Mungu alivyo ama kuchagua kuwa waovu.

Theluthi mbili walichagua kwa uhuru na utashi wao kuwa wema kama alivyo Mungu, na theluthi moja iliyobaki nao kwa uhuru na utashi wao wakachagua kuwa waovu.

Hakuna aliyewapangia wawe waovu, ila wao ndio walichagua kuwa waovu na Mungu akaheshimu uamuzi wao.

Hiyo ndio freewill yenyewe sasa.
Bado swali liko palepale.kabla Mungu haja waumba hao malaika alijua Kama wata asi au hakujua? Kama hakujua Basi anakosa sifa ya kua muweza wa yote na mjuzi wa yote na Kama alijua na bado akawaumba wakiwa tiyari niwasaliti Basi Mungu pia anamapungufu
 
Mungu hakumuumba shetani, alimuumba malaika mwema anayeitwa Lucifer. In fact Mungu hajawahi kuumba uovu wala waovu. Alichokiumba Mungu na aliowaumba Mungu wote ni wema (Mwanzo 1:31). Shetani ni matokeo ya Lucifer kuchagua uovu.
Hapo ndipo swali lilipo je Mungu kabla hajamuumba Lucifer je hakujua Kama ata hasi na Kama hujua Basi si mjuzi wa vyote nakama alijua na bado akamuumba na mapungufu ya kiasi kosa la Lucifer na lipi? Hapa mkosaji Ni mungu
 
# Ila nikushauri tu kama wewe ni Mkatoliki basi piga hatua nyingine ya kuzaliwa mara ya pili ili uweze kufika mbinguni maana hatutaenda mbinguni kwa dini zetu bali kwa njia ya Yesu kristo sawasawa na neno la Mungu katika Yohana 14: 6. Simaanishi uhame dini yako bali umpokee Yesu Kristo katika maisha yako
Kichwa chako wewe.
Unataka kusema siwezi kuingia mbinguni kwakua ni mkatoliki??
Kwamba wakatoliki hatujampokea kristo?
 
Kichwa chako wewe.
Unataka kusema siwezi kuingia mbinguni kwakua ni mkatoliki??
Kwamba wakatoliki hatujampokea kristo?
Umelewa nilichokiandika? Mimi mwenyewe ninayeandika ni muumini wa dhehebu hilohilo lakini nimeongeza hatua moja uliyoiandika ya kumpokea Kristo. Na hicho ndicho nilichokiandika pale juu.
 
Umelewa nilichokiandika? Mimi mwenyewe ninayeandika ni muumini wa dhehebu hilohilo lakini nimeongeza hatua moja uliyoiandika ya kumpokea Kristo. Na hicho ndicho nilichokiandika pale juu.
Kwanini unaona nahitaji/tunahutaji kumpokea kristo
 
Kwanini unaona nahitaji/tunahutaji kumpokea kristo
Kama sababu naamini neno lake katika biblia takatifu. Na kama wewe unaamini neno la Mungu tafuta kujua hilo kwa Roho mtakatifu. Usitafute ili ukabishane na watu maana hutapata. Ila kama ukitaka kufika mbinguni kweli muombe Roho mtakatifu akufundishe taelewa neno lake.

Tazama mfano huu mdogo
Ufunuo 3:20
- Yesu akibisha mlango (moyoni mwako)
"Tazama, nasimama mlangoni, nabisha; mtu akiisikia sauti yangu, na kuufungua mlango, nitaingia
kwake
, nami nitakula pamoja naye, na yeye pamoja nami."

Ufunuo 4:1- Ukiangalia huu mstari utagundua baada ya mtu huyu kumfungulia mlango Yesu Kristo na Yesu anamfungulia mtu huyu mlango wa mmbinguni.
"Baada ya hayo naliona, na tazama, mlango ukafunguka mbinguni, na sauti ile ya kwanza
niliyoisikia kama sauti ya baragumu ikinena nami, ikisema, Panda hata huku, nami nitakuonyesha
mambo ambayo hayana budi kuwako baada ya hayo."

Unganisha na Yohana 10:9 Yesu ndiye mlango wa mimi kwenda mbinguni na sio vinginevyo. Na hiyo ndiyo sababu ya mimi kmpokea Kristo.

Yohana 14:6-
"Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi."
 
Niliwahi kusema hili katika uzi wangu fulani hivi, na leo nakazia, ni hivi: fikra zangu zinanituma kuwa dhana ya free will na Mungu muweza wa yote ni kama pande mbili za sarafu moja. Ili upande mmoja uonekane ni lazima upande mwingine usionekane.

Ili binadamu awe na free will basi inabidi Mungu asiwe muwezz wa yote, kwa maana ya kwamba kuna vitu ambavyo vipo nje ya uwezo wa Mungu.

Na kama Mungu ni muweza wa yote basi binadamu hawezi kuwa na free will.

Hii ya kusema kwamba Mungu ni muweza wa yote lakini pia ametupa free will kuchagua mema na mabaya ni haiwezekani. Huwezi kuweka sarafu ya shilingi 100 mezani na ukaona Nyerere na swala kwa wakati mmoja. Hell no.

Mkuu umeiweka vizuri sana, lakini wewe kumuona Nyerere kwenye hiyo sarafu haiondoi ukweli ya kuwa swala yupo upande mwingine. Hivyo vitu viwili vyote vinaweza kuwepo kwa wakati mmoja. Kwa hiyo kinachokufanya uone ya kuwa kikiwepo kimoja kingine hakiwezi kuwepo ni fikra zako tu lakini ukweli ni kuwa vyote vinaweza ku ‘co-exist’. Ndio mwanafalsafa mmoja akasema ‘Life is like a game of cards, the hand you are dealt is determinism, how you play it is freewill’
 
Back
Top Bottom