God's Conscience vs Free Will: Je, Mungu anajua hatima ya wanadamu itakuwaje?

God's Conscience vs Free Will: Je, Mungu anajua hatima ya wanadamu itakuwaje?

Maisha yote yana lengo moja!.
Hiyari ipo katika yale Maisha uliyo pangiwa!
Siyo Maisha uliyo chagua!

Hukupewa hiyari ya kujichagulia Mahali,lugha ,wazazi au wakati!
Maisha yako yanaanzia pale mahali ulipo zaliwa ,wazazi walio kuzaa lugha uliyo ikuta na wakati ulio ukuta!
Kwa kuwa Maisha yako yameanzia hapo basi hiyari ya kuchagua baina ya njia mbili inaanzia hapo!.
Hoja zako zimejikita katika uwepo wa Mungu ambaye huwezi kuthibitisha yupo.

Na huwezi kuthibitisha yupo kwa sababu hayupo.

Hivyo, hoja zako zimetokana na msingi potofu.

Na hoja zenyewe kama za "kupewa hiyari" "lengo la maisha", kwa muktadha wa Mungu huyu ambaye hayupo na wala huwezi kuthibitisha yupo, pia ni potofu.
 
Huenda Mungu alishapanga mtu wa motoni na Mbinguni, hakuna free Will. Ukiua mtu ilishapangwa hivyo ili upalilie moto wako. Ukitenda mema ilishapangwa hivyo ili kuandaa njia ya Mbinguni. Ila duniani wa motoni wapo wengi sana.
 
Uthibitisho wa wa uwepo wa kitu hautegemei hisia tano za Mwanaadamu! Bali upo zaidi ya hapo!
Mfano: Umeliona dude ambalo hukuwahi kuliona katika Maisha yako.
Macho yameliona, Mkono wako umeligusa, Masikio yako yamesikia sauti ambayo haikuwahi kusikia kabla,pua yako imenusa harufu yake ambayo hujawahi kusikia kabla, Ulimi wako ukaramba ukapata taste ambayo hukuwahi kuipata kabla!
Je hicho ni kitu gani?
Hapo unaweza kuelewa kwamba unaweza kutumia hisia tano bado bado zisitoe majibu ya kujua kitu usicho kijua!.
Wakati hujui hicho ni kitu gani baada ya kupitisha kwenye hisia tano bila kupata Majibu Mara BOOM!! huna vidole vitatu!
Hapo Sasa ndiyo unatambua kuwa kuwa ni bom!
Nini kimekujulisha na kukupa Majibu baada ya hisia tano kukosa Majibu?
Ni Matokeo!.

Matokeo ndiyo Jambo kubwa la kumjulisha Mtu juu ya uhalisia wa kila kitu na utambuzi wake upo akilini,
Hisia tano ni nyenzo za usaidizi ambazo nazo hupeleka katika utambuzi mkuu AKILI.
AKILI huhifadhi kila taarifa iletwayo kupitia hisia tano na lakini yenyewe inaleta ufahamu mpana zaidi wa kile kilicho wasilishwa kwake.

Mfano: Macho yameona Mtu anakuja,Picha ya mtu anakuja inatumwa kwenye akili,
Jicho limefanya kazi yake ya kuona na kutuma picha,Akili imepokea na kutambua kweli Mtu anakuja!
Lakini akili inaweza kwenda mbali zaidi ya picha ile kwa kujua sababu za kuja kwa Mtu yule kwa sababu ya uzoefu uliyo letwa na Matukio!


Macho yako yanaweza kuona kile yanacho weza kuona!
Kile yasicho weza kuona haimaanishi kuwa hakipo,
Kwa sababu Kuna vitu vipo na unakubali vipo bila kuviona kwa macho!.
Pua yako inaweza weza kunusa vile inavyo weza kunusa, haimaanishi kile amabcho hukuweza kukinusa hakipo!
Mfano: Mbwa anaweza kunusa harufu ya nyayo za Mtu na kumfuata Mpaka mahali alipo.
Wakati wewe huwezi kupata harufu hiyo.
Hii inakujulisha kuwa hisia yako ya kunusa haiwezi kuwa msaada wa kujua kila kitu.harufu ipo ila wewe ndiyo huna sifa ya kufikia uwezo kunusa kila kitu.
Hii ni mifano ya kukuonyesha udhaifu wa hisia tano za Mwanaadamu!

Akili salama inakubali kuwa kila kitu chenye kufuata kanuni maalum na kuleta Matokeo na nidhamu ya kueleweka nyuma yake Kuna kuwa na chanzo (sorce) chenye kupanga nidhamu hiyo!.

Leo hii ukiutazama Muundo wa simu! huwezi kukubali kwamba ni kitu kilicho jiunda chenyewe kwa bahati!
Unakubali kuwa nyuma ya Muundo huu wa simu Kuna mtaalamu aliye unda!
Je! ni mara ngapi umehitaji kumuona muundaji wa simu ili kuthibitisha kwamba simu imeundwa?.
Je! Ukiiona sura yake ni kitu gani kupitia sura hiyo kitakacho kujulisha kwamba yeye ndiye aliye unda?.
Ikiwa akili inarudhika na kukinai kwamba simu imeundwa na yupo aliye iunda bila kumuona!
Kitu gani kinacho kufanya uache kuangalia nidhamu ya Muundo wa ulimwengu kuweza kutambua kuwa yupo aliye Umba?.

Leo hii unaweza kuona Kuna mti wa matunda unazaa ndani ya Mwaka mmoja! Wakati katika nature yake ulikuwa unaanza kuanzia Miaka 10,
Mtu alikaa Maabara akaichakata mbegu ikaleta nidhamu hiyo!
Leo ukifanya utafiti nini chanzo cha Mwembe wa mbegu ya Muda mfupi kwa kuutafiti Mwembe wenyewe! Utaishia kugundua kuwa mwembe huo umetokana na Mbegu yenye sifa fulani ,Ambayo ilikuwa kwenye udongo baada ya kipindi fulani ukachepusha mche ukatoa majani na Mauwa yakatoa matunda,
Na matunda yakiiva yanaanguka Tena kwenye udongo yanafuata mchakato ule ule wa kutoa miche na kuzalisha miembe Mingi.
Utafiti huu wa Mwembe upo sahihi kuonyesha chanzo lakini bahati mbaya yule mtaalamu wa maabara aliye itengeneza mbegu hiyo iliyo fanya hayo yanayo onekana hawezi kuonekana kwa vifaa vyako vya utafiti!
Ataonekana kwa jicho la akili na tafakari! Kwamba hakuna kitu ambacho kinaweza kufuata nidhamu maalum bila kuwepo kwa mpangaji wa nidhamu hiyo!.

Tazama muundo wa ulimwengu na vilivyomo utajua kuwa lazima yupo aliye umba.
Huyo ndiye Mungu.

Nathibitisha vipi kuwa yupo?

Nathibitisha uwepo wake kuwa yupo kwa sababu ya kuangalia Muundo wa ulimwengu na vyote vilivyomo kwa sababu vinafuata nidhamu isiyo wezekana kutokea kwa bahati nasibu..

Nakupa tafakari Moja!

Uchi wa mwanamke uliumbika kabla ya kuingiliwa!
Alikuwa na fuko la uzazi kabla ya kupata mimba!
Alikuwa na chuchu za kunyonyesha kabla ya mimba yake!.

Je! Uke wake haukumbika maalumu kupokea uume wa nje yake?
Je! Fuko la uzazi halikuundwa maalum kwa ajili hiyo?
Je! hakuhitajia mbegu ya uzazi kutoka nje yake ili kutunga mimba?.
Kwa nini wakati Mtoto yuko tumboni chuchu za mwanamke zinaandaa Maziwa kwa ajili ya Mtoto?
Je! Maziwa ya mama si maalum kwa Mtoto wake?

Sasa jiulize kwa nini Maandalizi sahihi yanatangulia kuwepo kabla ya kilicho kusudiwa kuwepo tayari?
Je! Ni bahati nasibu inaweza kupanga utaratibu huu?
Au yupo Mtaalamu aliye weka maandalizi na nidhamu ya kila kitu?

Sasa uwepo wake unataka uthibitike kwa lipi?.
 
Huenda Mungu alishapanga mtu wa motoni na Mbinguni, hakuna free Will. Ukiua mtu ilishapangwa hivyo ili upalilie moto wako. Ukitenda mema ilishapangwa hivyo ili kuandaa njia ya Mbinguni. Ila duniani wa motoni wapo wengi sana.
Hii hiyari mnaitafsiri vibaya!

Ni Kama upo chuo, unahiyari kusoma au kutosoma!
Lakini kitu chenye manufaa kinacho tegemewa kwako ni wewe kupata elimu!

Maamuzi yako ya kukataa kusoma na ili hali upo chuo yatakupeleka katika kufeli Jambo ambalo si lengo la chuo!.
Kutokana na tabia yako ya uzembe na kukataa kuzingatia Masomo waalimu wanajua kuwa wewe utafeli na kutoendelea na Masomo!

Kujua kwao kuwa utafeli haina maana kwamba wamekupangia ufeli bali wameona mwenendo wako kuwa wewe ni mtu wa kufeli.

Mungu hajapanga Mtu wa motoni Wala wa Mbinguni,
Ila anajuwa kwa elimu yake kuwa wewe hata uhubiriwe vp huwezi kuongoka kutoka na tabia zako.
Kujua kwake haimaanishi kwamba amekupangia!
Bali wewe kwa matumizi mabaya ya hiyari umejichagulia njia potofu!.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Akili yako binadamu hata wale Wayahudi wenye akili kuliko binadamu wote, ni finyu mbele ya Mungu, hivyo hawezi kukuachia maamuzi, anakuamulia. Linganisha wewe na mtoto mdogo, hapo wewe ni Mungu na mtoto ni binadamu, je unaweza kumuachia mtoto ajiamulie? Basi hata sumu atalamba kwa kutokumchunga. Basi akili zetu mbele ya Mungu ni finyu kuliko huyu mtoto.
 
Akili yako binadamu hata wale Wayahudi wenye akili kuliko binadamu wote, ni finyu mbele ya Mungu, hivyo hawezi kukuachia maamuzi, anakuamulia. Linganisha wewe na mtoto mdogo, hapo wewe ni Mungu na mtoto ni binadamu, je unaweza kumuachia mtoto ajiamulie? Basi hata sumu atalamba kwa kutokumchunga. Basi akili zetu mbele ya Mungu ni finyu kuliko huyu mtoto.
Huo ni utumwa wa fikra kufikiria kwamba wayahudi wanaakili kuliko binaadamu wote!.
Msamiati wa hiyari haukutungwa nje ya hii dunia na wala nje ya maisha haya tunayo Ishi.
Ni kosa kuvusha maana ya hiyari nje maana ya Maisha tunayo Ishi.kwa sababu nje ya Maisha haya hakuna kitu kitu kinaitwa hiyari.
Hiyari ipo na Maana yake ni kuchagua kile ulicho wekewa ili uchague!.
kuchagu nje vilivyo wekwa haijawahi kuwepo duniani!
Kila unacho kichagua katika tayari kilisha wekwa uchague!
Kule kuchagua katika vilivyopo ndiyo maana halisi ya hiyari.

Sasa Mungu kukupa hiyari haimaanishi kuwa hakukuwekea vitu vya kuchagu!
Kwanza amekupa akili ya kufahamu,Kisha akakuonyesha njia mbili ambazo utazipitia katika Maisha haya ,njia ya wema na njia ya Uovu!.
Akakwambia ili ufaulu katika Maisha pita katika njia hii ya wema akakuonyesha faida za wema na Mafanikio utakayo pata kwa kupita njia hiyo!.
Akakupa na usaidizi wa ushawishi wa mitume na vitabu wakushawishi uchague njia ya wema ili ufaulu.

Kisha akakuonyesha njia ya Uovu na akuonyesha ubaya wa uovu huo! Akakuonyesha maadui watakoa kupambia uovu uune wema! na kuonyesha matokeo ya Mwisho kila atakae chagua njia ovu!.

Kisha baada ya kufahamishwa hayo akakupa Uhuru wa kuchagua katika mapito hayo mawili uchague wewe mwenyewe!.


Hakuna Aliye sema kwamba Mungu akikupa hiyari ya kujichagulia anajivua majukumu ya kukuongoza!

Hao watoto tunao walea siyo Maroboti kwamba tuyaseti yasikosee!
Tunawaonyesha kitu kizuri na kitu kibaya! Vitu vibaya tunawakataza!
Lakini kwa sababu ni watu sio maroboti huwa wanaamu kufanya kitu kibaya madhara yake anakuja kuyajua baada ya kukosea!.
Mungu anatulea na kutupa usaidizi kuyaendea Mambo katika mafanikio!
Kwenda kinyume ni kosa lako wewe kwa sababu umekataa Kufuata Muongozo unao pewa!.

Mtoto kumfundisha kuendesha baiskeli ni kwamba wewe unamtaka yeye ajue kuendesha mwenyewe!
Kumshikia baiskeli bila kumwachia utofikia lengo!
Lengo unamshikia baiskeli huku unamwachia mwenyewe ili afikie lengo la kuweza kuendesha baiskeli.

Toto ukilimbia kanyaga pedal hakisikii na Mokonzi yanahusika ili atumie uwezo alio nao kufikia lengo!.

Lengo la kuufikia utu wetu kamili unaletwa na juhudi zetu za kutaka kufika!
Mungu anatupa usaidizi wa sisi wenyewe kufikia lengo!
 
Kwanza kabisa swala la Wayahudi kuwa na akili nyingi hulikwepi, mahali popote duniani penye mafanikio makubwa hasa ya kisayansi ni Myahudi au asili ya Uyahudi. Waliogunndua maformula mengi ya sayansi wana asili ya Kiyahudi. Ni hao hao waliokudanganya ufunge macho usali ili wazidi kukunyonya. Twende kwenye mada, ni swala zima la "free Will" for me is big NO, we are determined. One philosopher spoke about "pre-destination" study a bit about it.
 
Kwanza kabisa swala la Wayahudi kuwa na akili nyingi hulikwepi, mahali popote duniani penye mafanikio makubwa hasa ya kisayansi ni Myahudi au asili ya Uyahudi. Waliogunndua maformula mengi ya sayansi wana asili ya Kiyahudi. Ni hao hao waliokudanganya ufunge macho usali ili wazidi kukunyonya. Twende kwenye mada, ni swala zima la "free Will" for me is big NO, we are determined. One philosopher spoke about "pre-destination" study a bit about it.
Hilo la Wayahudi ni Maoni yako binafsi ,
Kwenye Mada Mimi siamini uwepo wa Mungu kwa sababu Wayahudi wamesema Kuna Mungu!
Naamini uwepo wa Mungu kwa sababu nimetosheka kwa hoja za kiakili kuwa yupo!
Kuhusu kujua Maana ya Hiyari natumia akili binafsi kutambua kuwa hakuna Mtu aliye ishi nje ya dunia hii aliye wahi kutumia Msamiati wa hiyari nje ya Maana iliyopo!.

Sasa wewe Kufuata tafsiri ya Mwanafalsafa na kuacha kutumia akili binafsi kwa kitu ambacho kiko wazi ni kujiamini kuwa huna akili binafsi ya kuchanganua Mambo!.
Hiyari kwa ninavyo ijua Mimi ni hii tunayo iishi kuwa Tunachagua katika vile vilivyopo!
 
Unachoamini huenda ni uwongo, zamani kanisa liliamini jua ndilo linazunguka Dunia, waliopinga waliuwawa. Mpaka wakati wa Copernicus revolution. Basi huenda hoja zako za kuamini uwepo wa Mungu si kweli. Duniani hakuna maabara ya kuhakikisha uwepo wa Mungu. Tuamini tu kwa umbaaaaali! Kuwa kuna "first cause" Hiyo utaijua wakati roho itakapotengana na mwili.
 
Unachoamini huenda ni uwongo, zamani kanisa liliamini jua ndilo linazunguka Dunia, waliopinga waliuwawa. Mpaka wakati wa Copernicus revolution. Basi huenda hoja zako za kuamini uwepo wa Mungu si kweli. Duniani hakuna maabara ya kuhakikisha uwepo wa Mungu. Tuamini tu kwa umbaaaaali! Kuwa kuna "first cause" Hiyo utaijua wakati roho itakapotengana na mwili.
Kwanza Mimi si katika hiyo imani ya kanisa!.
Pia Kuna kitu ambacho hukielewi au hukutumia neema ya akili kutafakari na kufanamu.
Tunapo sema Ujumbe wa Mungu umekuja kwa watu wanao ishi katika dunia!
Maekezo yoyote yatakayo tumika kuelezea Jambo ni lazima yachukue uoni wa mahali husika!.

Nakupa Mfano Chukua Mpira wa Miguu,
Fanya upande wa kitundu cha kujazia upepo kiwe kimeelekea Juu na upande huo upe Jina la Mashariki,
Ule upande ulio elekea chini upe Jina la Magharibi,
Upande wa ubavu wa kulia upe Jina kaskazini na Upande wa kushoto wa mpira upe Jina la kusini.

Jenga taswira kwamba Kuna viumbe wanao ishi Kuzunguka Mpira ambao upeo wao wa uoni hauvuki mpira.
Bila shaka ile Mashariki ya Mpira haitokuwa ni Mashariki ya Dunia!
Ule Mpira hata ukiupindua juu chini ule upande wa kitundu upepo utakuwa ni Mashariki.

Ujumbe utakao wapelekea viumbe wanao ishi katika huo mpira ni kwa Mujibu wa uoni wao! Sio kwa uoni wa wanao utazama mpira!
Utatoa maelekezo viumbe wale Mashariki itakuwa ni Mashariki yao sio Mashariki ya walio nje ya Mpira!.

Bahati nzuri Maandiko matakatifu yamezingatia hali ya uoni wa watu na uhalisia wa kitu!.
Maandiko yanapo waambia watu watazame Jinsi Jua linavyo toka Mashariki kuelekea Magharibi yanazingatia kile wanacho kiona wakusudiwa ujumbe siyo walio nje yake.
Hakuna Mtu anae weza kuona Mwendo wa Mzunguko akiwa katika ardhi hii bali anaona jua likitoka Mashariki kuelekea Magharibi kwa macho safi.
Ujumbe unapo kuja kumwambia atazame unamaanisha kwa mtazamo wa aliyepo hapo si kwa mtazamo wa nje yake!
Kwa sababu ujumbe haukuletwa kwa alie nje!.

Huyo MwanaSayansi mpaka kugundua kuwa Dunia ndiyo inajizungusha katika muhimili wake kutengeneza usiku na Mchana alitoka nje ya eneo!
Ukitoka nje ya eneo husika ule ujumbe sio wako tena kwa sababu utakuwa na mtazamo tofauti haukusu na haukuletwa kwa sababu ya mtu aliye nje!

Mfano wa pili: Nakupa maelekezo kulingana na Mahali ulipo!
Kuna mti wewe unautazama Kuna chupa nimeiweka upande wa pili wa Mti Kisha nakutumia ujumbe kwa kuzingatia uoni wako na mahali ulipo kaa kwamba chupa ipo nyuma ya Mti,
Ujumbe huu kwako ni sahihi kulingana na hapo ulipo!
Lakini utakuwa ni ujumbe wa uongo ikiwa utausomea upande wa pili kwa sababu itaonekana kwako ipo mbele ya mti na si nyuma ya Mti.,

Hakuna anaweza kuona Mzunguko wa dunia akiwa anaishi katika mgongo huu wa ardhi, Hata Mwana sayansi hawezi kuthibitisha Mzunguko wa dunia ikiwa katika ardhi!
Akitaka kuthibitisha kuwa Dunia ni tufe ni lazima ushahidi wake aulete kwa mtazamo wa nje ya ardhi hii.

Sasa ujumbe wa dunia tambarare ulikuja kwa wale wanao ishi katika ardhi kwa kuzingatia uoni wao si kwa uoni wa mtu aliyetoka nje yake kwa sababu hata mtu akitembea kutaka bara moja kwenda jingine hato experience Mzunguko wa dunia.
Kwa hivyo ujumbe sahihi wa maelekezo mtu aliyoka katika mgongo wa ardhi ni dunia iliyo tambarare!.

Kwa Bahati nzuri Mungua alijua kuwa Kuna watu watakao toka nje ya Dunia na kuiona katika umbo tufe au Duara akatoa Maelezo yanayo ashiria umbile hilo katika baadhi ya aya.
Pia alitoa Maelezo ya jinsi usiku na Mchana unavyo patikana na katika maelezo hayo unapatikana ushahidi unao kubaliana na tafiti za kisayansi!
Kuwa Dunia inaumbo la Mzunguko inafanya mwendo na kujizungusha .
Hivyo Maandiko yamezingatia uoni wa Aina mbili!
Ule ujumbe unaonzungumzia Maisha na wanachomipitia watu katika Maisha unazingatia uoni wao!
Ujimbe unao onyesha kwa mtazamo wa pili ni ule unao toa dalili ya Uwepo wa Mungu kwa wafafiti.

Sasa wewe Kama hujajitosheleza kwa utafiti wako ni suala lako binafsi.
 
Umejieleza vizuri, kutokutambua rotation na revolution ni sawa na ukiwa kwenye gari lenye speed kali, ukitazama chini hapo ulipokaa huoni gari ikikimbia kwani uko palepale ila gari linakuwa kila wakati sehemu tofauti. Hapa duniani unabaki hapo ulipo ila utashuhudia usiku na mchana, majira ya mwaka.
 
Kwanza Mimi si katika hiyo imani ya kanisa!.
Pia Kuna kitu ambacho hukielewi au hukutumia neema ya akili kutafakari na kufanamu.
Tunapo sema Ujumbe wa Mungu umekuja kwa watu wanao ishi katika dunia!
Maekezo yoyote yatakayo tumika kuelezea Jambo ni lazima yachukue uoni wa mahali husika!.

Nakupa Mfano Chukua Mpira wa Miguu,
Fanya upande wa kitundu cha kujazia upepo kiwe kimeelekea Juu na upande huo upe Jina la Mashariki,
Ule upande ulio elekea chini upe Jina la Magharibi,
Upande wa ubavu wa kulia upe Jina kaskazini na Upande wa kushoto wa mpira upe Jina la kusini.

Jenga taswira kwamba Kuna viumbe wanao ishi Kuzunguka Mpira ambao upeo wao wa uoni hauvuki mpira.
Bila shaka ile Mashariki ya Mpira haitokuwa ni Mashariki ya Dunia!
Ule Mpira hata ukiupindua juu chini ule upande wa kitundu upepo utakuwa ni Mashariki.

Ujumbe utakao wapelekea viumbe wanao ishi katika huo mpira ni kwa Mujibu wa uoni wao! Sio kwa uoni wa wanao utazama mpira!
Utatoa maelekezo viumbe wale Mashariki itakuwa ni Mashariki yao sio Mashariki ya walio nje ya Mpira!.

Bahati nzuri Maandiko matakatifu yamezingatia hali ya uoni wa watu na uhalisia wa kitu!.
Maandiko yanapo waambia watu watazame Jinsi Jua linavyo toka Mashariki kuelekea Magharibi yanazingatia kile wanacho kiona wakusudiwa ujumbe siyo walio nje yake.
Hakuna Mtu anae weza kuona Mwendo wa Mzunguko akiwa katika ardhi hii bali anaona jua likitoka Mashariki kuelekea Magharibi kwa macho safi.
Ujumbe unapo kuja kumwambia atazame unamaanisha kwa mtazamo wa aliyepo hapo si kwa mtazamo wa nje yake!
Kwa sababu ujumbe haukuletwa kwa alie nje!.

Huyo MwanaSayansi mpaka kugundua kuwa Dunia ndiyo inajizungusha katika muhimili wake kutengeneza usiku na Mchana alitoka nje ya eneo!
Ukitoka nje ya eneo husika ule ujumbe sio wako tena kwa sababu utakuwa na mtazamo tofauti haukusu na haukuletwa kwa sababu ya mtu aliye nje!

Mfano wa pili: Nakupa maelekezo kulingana na Mahali ulipo!
Kuna mti wewe unautazama Kuna chupa nimeiweka upande wa pili wa Mti Kisha nakutumia ujumbe kwa kuzingatia uoni wako na mahali ulipo kaa kwamba chupa ipo nyuma ya Mti,
Ujumbe huu kwako ni sahihi kulingana na hapo ulipo!
Lakini utakuwa ni ujumbe wa uongo ikiwa utausomea upande wa pili kwa sababu itaonekana kwako ipo mbele ya mti na si nyuma ya Mti.,

Hakuna anaweza kuona Mzunguko wa dunia akiwa anaishi katika mgongo huu wa ardhi, Hata Mwana sayansi hawezi kuthibitisha Mzunguko wa dunia ikiwa katika ardhi!
Akitaka kuthibitisha kuwa Dunia ni tufe ni lazima ushahidi wake aulete kwa mtazamo wa nje ya ardhi hii.

Sasa ujumbe wa dunia tambarare ulikuja kwa wale wanao ishi katika ardhi kwa kuzingatia uoni wao si kwa uoni wa mtu aliyetoka nje yake kwa sababu hata mtu akitembea kutaka bara moja kwenda jingine hato experience Mzunguko wa dunia.
Kwa hivyo ujumbe sahihi wa maelekezo mtu aliyoka katika mgongo wa ardhi ni dunia iliyo tambarare!.

Kwa Bahati nzuri Mungua alijua kuwa Kuna watu watakao toka nje ya Dunia na kuiona katika umbo tufe au Duara akatoa Maelezo yanayo ashiria umbile hilo katika baadhi ya aya.
Pia alitoa Maelezo ya jinsi usiku na Mchana unavyo patikana na katika maelezo hayo unapatikana ushahidi unao kubaliana na tafiti za kisayansi!
Kuwa Dunia inaumbo la Mzunguko inafanya mwendo na kujizungusha .
Hivyo Maandiko yamezingatia uoni wa Aina mbili!
Ule ujumbe unaonzungumzia Maisha na wanachomipitia watu katika Maisha unazingatia uoni wao!
Ujimbe unao onyesha kwa mtazamo wa pili ni ule unao toa dalili ya Uwepo wa Mungu kwa wafafiti.

Sasa wewe Kama hujajitosheleza kwa utafiti wako ni suala lako binafsi.
Ufafanuzi mzuri
 
Umejieleza vizuri, kutokutambua rotation na revolution ni sawa na ukiwa kwenye gari lenye speed kali, ukitazama chini hapo ulipokaa huoni gari ikikimbia kwani uko palepale ila gari linakuwa kila wakati sehemu tofauti. Hapa duniani unabaki hapo ulipo ila utashuhudia usiku na mchana, majira ya mwaka.
Ni kwamba hujui ku Quote mtu au dharau?
 
Huenda Mungu alishapanga mtu wa motoni na Mbinguni, hakuna free Will. Ukiua mtu ilishapangwa hivyo ili upalilie moto wako. Ukitenda mema ilishapangwa hivyo ili kuandaa njia ya Mbinguni. Ila duniani wa motoni wapo wengi sana.
Sasa kama yeye ndo amekupangia kwanini Tena akuadhibu kwa kitu alichokupangia?
Yani umnunulie mtoto wako Shati jeusi, umlazimishe alivae halafu umchape kwa kosa la kuvaa shati jeusi, utakuwa timamu kichwani kweli?
 
We live in the universe of 'duality'

Good|bad, juu|chini, kulia|kushoto, ukweli|uongo
MUNGU | SHETANI

Ili ulimwengu uwe balanced ilibidi MUNGU amuumbe shetani

Kosa kubwa watu hufanya kwenye majadiliano yahusuyo Imani ni kuuliza swali la MUNGU ni Nani badala ya MUNGU ni nini? Na ndicho kinachojadiliwa hapa

Kwanza kabisa tujiulize MUNGU ni nini?

Nikupe mfano huu,
MUNGU katika kusudi lake la milele kabla hajamuumba binadamu aliuliza HAKI,KWELI NA HURUMA endapo ni vema wamuumbe binadamu au lah

Haki akajibu "usimuumbe binadamu Kwa kuwa atazivunja Sheria na kanuni zako zote"

Kweli akajibu "usimuumbe Kwa kuwa binadamu atakuwa mbaya na daima atatafuta uwongo na hila( udanganyifu)

Huruma akajibu "ninajua mwanadamu atakuwa mbaya Sana lakini Mimi nitamuhifandhi na kutembea naye katika njia zake za Giza mpaka mwishowe nitamrejesha kwako"

Umejifunza nini hapa mkuu kuhusu free will mkuu?

Kuna tofauti Kati ya dhambi na nakosa.Ukifanya dhambi MUNGU hawezi kukuona maana ni mtakatikfu ,ndy maana Adam alipokula tunda, MUNGU hakumuona Adam ndy maana akauliza "Adam uko wapi"
Kwa maelezo yako haya naomba ufafanuzi wa Mwanzo 3:22
 
fre will is illusion

Ambao mnadhania kuna free will mnijibu haya.

- wapi ulichagua kuzaliwa, unafikiri ungepewa nafasi ya kuchagua ungechagua kuzaliwa maxingira uliyopo. Why ulikuwa walia ulivyozaliwa tu

- wapi ulichagua kuwa muumini wa dini unayoabudu. Jee wazazi wako wangekuwa dini tofauti na yako uliyonayo sasa hivi, ungekuwa na dini hii unafikiri?

- kwa wale walio na magonjwa ya kurithi, hivi kuna sehemu walichagua kuwa nayo au the whole sequence of events was predetermined from moment their parents fall in love to moment they conceive.
Binafsi free will ipo limited, kuna vitu hatuna maamuzi navyo kabisa tena vinaumiza
 
Twende taratibu..
Mungu anajua yote, sivyo.?
Hii inamaanisha kuwa ana uwezo wa kuona yote kabla hata hayo yote hayajaanza kutokea.

Kabla mimi sijazaliwa alishajua kuwa mimi nitakuwaje kwa kuwa yeye ajua yote, then huo utashi huru nautoa wapi wakati mimi naishi kile ambacho kilionekana kabla ya hata mimi kuwapo?
Acha hizo bhana hivi Mimi kujua unaenda kupata ajali nimekuamulia au wewe uliamua kuendesha spidi.
 
Back
Top Bottom