God's Conscience vs Free Will: Je, Mungu anajua hatima ya wanadamu itakuwaje?

God's Conscience vs Free Will: Je, Mungu anajua hatima ya wanadamu itakuwaje?

Dhana ya free will ilifutwa na Mungu mwenyewe, tunaishi chini ya sheria yaani zile amri 10...nakazia AMRI 10,
Tunaishi kwa kuwa tulishajua mema na mabaya (utashi) baada ya lile anguko la kwanza
Kwahivyo AMRI ama SHERIA hizo zitatuhukumu ipasavyo maana tumeshajitambua
 
Kila uamuzi unaofanyika huambatana na matokeo yake.

Kwa mfano; ukiamua kusoma kwa bidii kuna matokeo yake kama ambavyo ungeamua kutokusoma.

Kinachotokea baada ya wewe kuchagua kuwa mwema ama muovu ni matokeo ya uamuzi na uchaguzi wako.

Na kwa kuwa Mungu anatupenda sana, akatupa akili, utashi na dhamiri ili zitusaidie kufanya informed decisions.

Mungu anatupenda sana aisee.
Shetani ndiye aliyetufanya tukajitambua na kuupata huo utashi wa kujua mema na mabaya, lakini Mungu alificha tu kwakurahisisha kuwa kina adamu watakufa tu pindi wakila
 
Hapana usipotoshe umma.
Yesu mwenyewe alilalamika nakusema SI KWA MAPENZI YANGU BALI NI KWA MAPENZI YAKO YATIMIZWE

Yaani ingekuwa n yy km yy asingekubali
Tunaishi kwa kusudi la Mungu (freewill) na si letu
 
UFUNUO WA YOHANA 13;8

Imeonyesha wazi kuwa kuna watu wamezaliwa kwa kazi maalumu itakayowapeleka jehanam na mbinguni pia (Kusudio la Mungu mwenyewe) obviously kabisa unaweza ukasema hatupo huru na machuguzi yetu sababu yapo tuned na Almighty mwenyewe.
Hapo utaona kabisa yUDA hakujijua kuwa atakuja kumsaliti mtu mkubwa kama Yesu, lakini hatma yake ilishatabiriwa na ilijulikana kabisa lakini haikumzuia kusaliti, alienda vile vile kama ilivyokusudiwa.

Tunaweza kujiona tupo tuna freewill lakini akili zetu ilishakuwa fixed kitambo tunazaliwa...
katika hili utapata jibu piaa kama kwenda mbinguni ni kwa wale waliokwisha kuchaguliwa waybaack kabla ya kuumbwa kwa ulimwengu,
na wale wa motoni pia vivyohivyo japo hatujijui
Kwanini ? Saababu hakuna mtu aliyeona jina lake wala kujihesabia ametenda mema hivyo za % zote za kwendaa kula pepo
 
Hello y’all..

NB
: Naomba moderator mada hii msiihamishie jukwaa la dini maana huko itakosa wachangiaji na lengo langu la kutaka kujuzwa jambo hili halitatimia and that will leave me frustrated and bums me out, Natuamaini mtatii takwa langu hili. Ahsanteni.

Binafsi kiimani ni muumini wa kanisa Katoliki kwa kuzaliwa na kubatizwa, pia ninaamini na kuisadiki kanuni ya imani yangu katoliki isemayo “Nasadiki kwa Mungu baba mwenyezi muumba mbingu na dunia na kwa Yesu Kristu Bwana wetuu….” Self-schemas: katika sayansi ya utambuzi (Cognitive science) inasema kwamba schemas huelezea muundo wa mawazo au tabia ambazo hupanga aina za taarifa na uhusiano kati ya taarifa hizo. Lakini inaelezwa pia kwamba ni muundo wa akili kupokea taarifa na kuzichambua..taarifa hizo ndio huleta maarifa ya kumuwezesha mtu kutambua self-concept.

Self-Concept ni i hatua ambapo mtu anaweza kufafanua kua yeye ni nani hasa au ni hali ambapo mtu anakua ameweza kujitambua . Self-Concept imeundwa na Self-Schemas, past self (Kutambua wapi ulipotoka) present self (Kutambua wapi ulipo) na Future self (Kutambua wapi utakapokua baada ya hapa ulipo). Toka nilipoanza kutambua Self Concept yangu Nimekua na swali ambalo kwakweli pamoja na kuisadiki imani yangu hii na kupokea ya Sakrament takatifu ya Communion swali hilo limekua mwiba mchungu na kikwazo kikubwa katika imani yangu hii na Mungu kwa ujumla.

Toka nilipoanza kujitambua nimejaribu kuwashirikisha watu wenye uelewa jambo hili ila bado sijapewa majibu thabiti….natumaini hapa JF nitapewa maelekezo vyema , mnivumilie kama maelezo yatakua marefu maana hua siwezi kuelezea kwa ufupi but it worth your time.

The One above all, In-Betweener and The One bellow all.

Monotheism
ni imani ya kua kuna Mungu mmoja pekee ambae aliumba ulimwengu na vyote vilivyomo. Watu wanao amini katika imani hii ni wafuasi wa dini zilizotokana na Ibrahim ambae anachukuliwa kama baba wa imani ambazo ni Judaism, Ukristo,uislam, mandaeism ,Rastafarian na Bahai. Mungu wa imani hii ndio huyu tunayemfahamu mimi na wewe ambae ana sifa kuu tatu ambazo ni yupo kila mahali, anajua kila kitu, na anaweza kila kitu. Omni ni neno la kilatini lenye maana ya yote au kila kitu na Sciens ni neno la kilatini likimaanisha kujua(conscious)……. Moja kati ya sifa kuu tatu za Mungu nilizotaja hapo juu ni Omniscience ikimaanisha kwamba Mungu anajua yote yaliyopita,yaliyopo na yajayo.

The Great Chain of Being ni mchoro au nadharia ambayo inaonyesha kwamba maisha ya mwanadamu yapo kwenye ngazi /mtiririko Fulani ambapo juu kabisa anaanza Mungu,wanafuta malaika, kisha mwandamu, wanafuta wanyama,mimea halafu chini kabisa yupo shetani. Mungu ni the one above all, mwanadamu ni aliyekati /in-betweener na shetani ni the one below all. Unajua mwanadamu ni kiumbe kamili na mwenye hadhi kubwa kuliko viumbe wote walioumbwa na mungu kuzidi hata malaika ndio maana kuna malaika wanafanya kazi kwa wanadamu ya kutulind, Moja kati ya utajiri na kitu kikubwa alichonacho mwanadamu hakuna kiumbe kingine anacho ni uwezo wa kuchagua na kuamua Kuishi vile atakavyo yeye yaani Free Will….Katika Great chain of being mwanadamu amewekwa katikati (In-Betweener) maana yeye ameumbwa na roho isiyokufa (immortal) na mwili ambao unaokufa (mortal) hivyo inamuwezesha yeye kuishi duniani au mbinguni . Mwanadamu kwakua ana roho yenye uungu na mwili wa kibanaadamu amepewa chaguzi la yeye kuweza kuishi Uungu kwa kutenda mema maishani mwake au ushetani kwa kutenda ubaya maishani mwake. Kwakua mwanadamu ana free will uamuzi ni wake ni kuchagua kwenda kwa The One above all au kwa the one bellow all.

Free Will is illusion (?)

Kuna mada Fulani niliwahi kusema kwamba tukio la kuumbwa Adam na eva hadi kufukuzwa eden linapinga uwepo wa Mungu kwa kupinga sifa tatu alizonazo Mungu kwamba anaweza yote,anajua kila kitu na yupo kila mahali… ndio maana mimi hua nalichukulia kama lugha ya picha tu na sio tukio halisi na kama kweli ni kweli lilitokea kama lilivyoelezewa kwenye kitabu cha mwanzo basi linaonyesha Mungu hafai kupokea sifa tunazompa. Kama anajua kila kitu je wakati anamuumba adamu bila Eva hakujua kwamba adamu hatapata uhitaji wa kua na mwenza? Yupo kila mahali jewakati adam na eva wamekula tunda hakuwepo pale walipojificha hadi aanze kuuliza wako wapi? Alikua hajajua juu ya tukio la adam kula tunda maana lilimuudhi kwelikweli like he didn’t know a thing from a first place.

Mungu anajua kila kitu kutuhusu sisi wanadamu, anajua kesho nitakua wapi,nitakula nini na nitakufa lini...pia ametupa uwezo wa kuchagua kuishi ville tupendavyo bila yeye kutuingilia(free will) sasa hapa ndio kuna msingi mkuu wa mada yangu ambapo imekua ikinitatiza sana jambo hili. Je kwakua Mungu anajua kila kitu, Je anajua kama mimi nitakua mbaya au mwema? Je anajua kwamba mimi nikifa nitakua wa mbinguni au wa motoni? Na kama anajua nikifa nitafikia motoni je mimi naweza kubadirisha nisiende motoni? Kumbuka kwamba kama nitaweza kubadirisha nikaenda mbinguni badala ya motoni basi Mungu anakua hajui kila kitu kuhusu mimi…Pia kama anajua moja kwa moja nitaenda motoni basi wanadamu hatuna uhuru wa kuchagua kufanya yale tupendayo. Mungu kama anajua tutachagua kufanya kitu Fulani kwa uhuru basi huo sio uhuru tena bali tunapangiwa yale ya kuchagua hivyo free will hatuna its illusion na kama Mungu hajui kama nitachagua jambo Fulani kwa uhuru basi anapoteza sifa ya kujua kila kitu toka kwangu.?


Kuna phrase protestant wanapenda kusema kwamba sisi wakatoliki hatujui kusoma na kuielewa biblia, naamini name ni mmoja wapo nisiojua kusoma biblia. Hivyo basi napenda kuwaalika wale wote wenye uelewa juu ya jambo hili. Naombeni mnijuze kama Mungu anajua hatima yangu na hukumu yangu siki ya mwisho na kama anajua je naweza kubadirisha? Kama mchezo kautengeneza yeye na sharia za mchezo kazitengeneza yeye je wachezaji wanawezaje kua huru?

Vinjii…
Mambo vipi,Mimi ni MTU wa mungu,ninajibu kulingana na Dini zetu na utafiti wangu WA kumjua mungu.nabase kwenye Dini zote za ibrahimu

,HAKIKA MUNGU YUPO NA KWAKE TUTAREJEA.

Kizazi cha ibrahimu
Ismail-waislamu
Isaka-wakristo
Etc

wewe umebezi kwenye biblia inasemaje na sio VITABU vya Dini vinasemaje.

BILA KUPOTEZA MUDA TUANZE

FREE WILL IS ULLUSION

MUNGU AMEKUUMBA NA AMEKUFANYA WEWE NI BORA SANA KUSHINDA VIUMBE VINGINE VYOTE,NDIO MAANA SHETANI NA WIVU WAKE JUU YAKO AMETENGENEZA VITA KUBWA NA BATO KUBWA SANA NA MUNGU KWA SABABU YAKO.NA AMEMUAHIDI MUNGU KWENDA NA WEWE MOTONI MANA MOTO UMETENGENEZWA KWA SABABU YA SHETANI SIO WEWE MWANADAMU,ILA UKIWA UFWASI WA SHETANI HAKIKA MOTO UTAKUUSU.

SIFA ULIZOTAJA HIZO NI CHACHE MNO KWA MUNGU,
ALIKUWA ANAUWEZO WA KUMFINYANGA ADAMU NA KUFUTILIA MBALI PROJECT YENYEWE.

1.ANAWEZA YOTE:

ALIMJUA ADAMU KAMA ATAKUWA MPWEKE NDIO MAANA AKAMUUMBIA HAWA KUTOKA KWENYE UBAVU WAKE ALIIANGALIA FUTURE YA ADAM.HAKUWA AMEKAMILISHA MISSION YAKE BADO KWA ADAMU.

Biblia imeandikwa na wanadanu na imeelezewa short Sana coz imebeba story ya dunia.story ya dunia haiwezi tosha kwenye kitabu KILE.

2.MUNGU YUPO KILA SEHEMU
Adamu aliambiwa usile MTi wa mema na mabaya HAKIKA madhara yake NI makubwa.
Mungu alitaka kuona utii wa mwanadamu juu yake,mungu alimuamini Sana mwanadamu,mungu anampenda Sana mwanadamu.

Madhara ya Ule mti NI
Kufa,
Kuhukumu mema na mabaya
Kipawa cha mungu kupungua
Hofu
Dhambi
Swawabu
Etc

Mungu Hakumtafuta adamu Ila alipotembelea bustanini alipo adamu na hawa.kutokana na madhara ya lile tunda,adamu na mkewe walisikia sauti hasilia ya mungu,iliyowafanya wapagawe na kukimbizana wakati mungu ameenda kuwatembelea,na mungu alishajua Kila kitu na alimuuliza adamu Kwa kumtega Tu ili aone adamu atafanya nini.

FREE WILL
Hapa kunakitu hujakijua mkuu na NI mada ndefu.ila inshort,mungu anajua unawaza nini.na mwanadamu awezi kujiongoza pekeake.yani Sawa Sawa umwache mtoto nyumbani ukidhani ANAUWEZO WA kujiudumia Bila kumprovidia Kila kitu.
Huna free will ya kuzidi mipaka ya mungu,Sana Sana uwe SHETANI.

-Kujua utakufanye mungu hajui Ila anaangalia umekufaje.
-utakula nini,utakula chochote alichokuumbia na anavyokupa rizki Kwa kadri ya uwezo wake
-unauwezo wa kwenda peponi au MOTONI machaguo NI yako sio ya mungu juu yako

Bado hujamjua mungu VIZURI na matendo yake,soma Sana dig research.
 
Ona sasa ulivyo mzembe, yaani unaongelea tamko la logic halafu unatumia misingi ya logic kujenga hoja. Sasa unakataa nini na kukubali nini ?

Halafu muda huo huo unakiri ya kuwa Aristoto ndiyo alikuja kuweka mfumo mzuri katika logic. Sasa logic ni nini ? Ukitumia tamko logic kama msamiati ulichokiandika chote ni batili na kina thibitisha ya kuwa huijui Logic, ndiyo maana mimi nikakutangulia katika hili nikaelezea logic kama fani na ndiyo maana niliyo kuwa naitoa huko mwanzo. Kingine huwezi kuiongelea logic kama msamiati tu bila kuiongelea kama fani, ndiyo maana mnatumia misingi ya logic iliyo weka kujadili hoja fulani, na si maana ya kilugha.

Labda ni kupe kazi tu ndogo ili uone kumbe hata logic huijui, niambie wewe logic ni nini ?

Siyo kweli, si kila mtu anaye tumia lugha kwa ufasaha anatumia logic, sababu katika lugha kuna fani zinazo muongoza mtu atumie lugha kwa ufasaha na si logic, kwenye lugha kuna Sarufi, kuna Fasihi, Kuna misemo kuna balagha na kuna ushairi.

Kijana, ngoja nikusaidie tu huwezi kuiongelea logic nje ya fani. Utakimbia mjadala huu.
Huu mjadala naona ni kama ule wa TIME/MUDA .
MUDA ulikuwepo kabla yetu and still upo na yawezekana upo tofauti katika mahesabu yetu tunayoyaona ni sahihi
ila tukaona tukaufanyia utundu wa kimahesabu tukauset na tunaenda nao

Muda ulikuwepo kabla ya saa, na huwezi kuangalia muda bila kuangalia saa.

Sijui kama nimeelewa hii topic yenu vizuri na kuuwekea mfano wangu.
 
Mambo vipi,Mimi ni MTU wa mungu,ninajibu kulingana na Dini zetu na utafiti wangu WA kumjua mungu.nabase kwenye Dini zote za ibrahimu

,HAKIKA MUNGU YUPO NA KWAKE TUTAREJEA.

Kizazi cha ibrahimu
Ismail-waislamu
Isaka-wakristo
Etc

wewe umebezi kwenye biblia inasemaje na sio VITABU vya Dini vinasemaje.

BILA KUPOTEZA MUDA TUANZE

FREE WILL IS ULLUSION

MUNGU AMEKUUMBA NA AMEKUFANYA WEWE NI BORA SANA KUSHINDA VIUMBE VINGINE VYOTE,NDIO MAANA SHETANI NA WIVU WAKE JUU YAKO AMETENGENEZA VITA KUBWA NA BATO KUBWA SANA NA MUNGU KWA SABABU YAKO.NA AMEMUAHIDI MUNGU KWENDA NA WEWE MOTONI MANA MOTO UMETENGENEZWA KWA SABABU YA SHETANI SIO WEWE MWANADAMU,ILA UKIWA UFWASI WA SHETANI HAKIKA MOTO UTAKUUSU.

SIFA ULIZOTAJA HIZO NI CHACHE MNO KWA MUNGU,
ALIKUWA ANAUWEZO WA KUMFINYANGA ADAMU NA KUFUTILIA MBALI PROJECT YENYEWE.

1.ANAWEZA YOTE:

ALIMJUA ADAMU KAMA ATAKUWA MPWEKE NDIO MAANA AKAMUUMBIA HAWA KUTOKA KWENYE UBAVU WAKE ALIIANGALIA FUTURE YA ADAM.HAKUWA AMEKAMILISHA MISSION YAKE BADO KWA ADAMU.

Biblia imeandikwa na wanadanu na imeelezewa short Sana coz imebeba story ya dunia.story ya dunia haiwezi tosha kwenye kitabu KILE.

2.MUNGU YUPO KILA SEHEMU
Adamu aliambiwa usile MTi wa mema na mabaya HAKIKA madhara yake NI makubwa.
Mungu alitaka kuona utii wa mwanadamu juu yake,mungu alimuamini Sana mwanadamu,mungu anampenda Sana mwanadamu.

Madhara ya Ule mti NI
Kufa,
Kuhukumu mema na mabaya
Kipawa cha mungu kupungua
Hofu
Dhambi
Swawabu
Etc

Mungu Hakumtafuta adamu Ila alipotembelea bustanini alipo adamu na hawa.kutokana na madhara ya lile tunda,adamu na mkewe walisikia sauti hasilia ya mungu,iliyowafanya wapagawe na kukimbizana wakati mungu ameenda kuwatembelea,na mungu alishajua Kila kitu na alimuuliza adamu Kwa kumtega Tu ili aone adamu atafanya nini.

FREE WILL
Hapa kunakitu hujakijua mkuu na NI mada ndefu.ila inshort,mungu anajua unawaza nini.na mwanadamu awezi kujiongoza pekeake.yani Sawa Sawa umwache mtoto nyumbani ukidhani ANAUWEZO WA kujiudumia Bila kumprovidia Kila kitu.
Huna free will ya kuzidi mipaka ya mungu,Sana Sana uwe SHETANI.

-Kujua utakufanye mungu hajui Ila anaangalia umekufaje.
-utakula nini,utakula chochote alichokuumbia na anavyokupa rizki Kwa kadri ya uwezo wake
-unauwezo wa kwenda peponi au MOTONI machaguo NI yako sio ya mungu juu yako

Bado hujamjua mungu VIZURI na matendo yake,soma Sana dig research.
Ukisema hajui utakufaje tayari ameshapoteza sifa Ya kujua kila kitu
 
Mambo vipi,Mimi ni MTU wa mungu,ninajibu kulingana na Dini zetu na utafiti wangu WA kumjua mungu.nabase kwenye Dini zote za ibrahimu

,HAKIKA MUNGU YUPO NA KWAKE TUTAREJEA.

Kizazi cha ibrahimu
Ismail-waislamu
Isaka-wakristo
Etc

wewe umebezi kwenye biblia inasemaje na sio VITABU vya Dini vinasemaje.

BILA KUPOTEZA MUDA TUANZE

FREE WILL IS ULLUSION

MUNGU AMEKUUMBA NA AMEKUFANYA WEWE NI BORA SANA KUSHINDA VIUMBE VINGINE VYOTE,NDIO MAANA SHETANI NA WIVU WAKE JUU YAKO AMETENGENEZA VITA KUBWA NA BATO KUBWA SANA NA MUNGU KWA SABABU YAKO.NA AMEMUAHIDI MUNGU KWENDA NA WEWE MOTONI MANA MOTO UMETENGENEZWA KWA SABABU YA SHETANI SIO WEWE MWANADAMU,ILA UKIWA UFWASI WA SHETANI HAKIKA MOTO UTAKUUSU.

SIFA ULIZOTAJA HIZO NI CHACHE MNO KWA MUNGU,
ALIKUWA ANAUWEZO WA KUMFINYANGA ADAMU NA KUFUTILIA MBALI PROJECT YENYEWE.

1.ANAWEZA YOTE:

ALIMJUA ADAMU KAMA ATAKUWA MPWEKE NDIO MAANA AKAMUUMBIA HAWA KUTOKA KWENYE UBAVU WAKE ALIIANGALIA FUTURE YA ADAM.HAKUWA AMEKAMILISHA MISSION YAKE BADO KWA ADAMU.

Biblia imeandikwa na wanadanu na imeelezewa short Sana coz imebeba story ya dunia.story ya dunia haiwezi tosha kwenye kitabu KILE.

2.MUNGU YUPO KILA SEHEMU
Adamu aliambiwa usile MTi wa mema na mabaya HAKIKA madhara yake NI makubwa.
Mungu alitaka kuona utii wa mwanadamu juu yake,mungu alimuamini Sana mwanadamu,mungu anampenda Sana mwanadamu.

Madhara ya Ule mti NI
Kufa,
Kuhukumu mema na mabaya
Kipawa cha mungu kupungua
Hofu
Dhambi
Swawabu
Etc

Mungu Hakumtafuta adamu Ila alipotembelea bustanini alipo adamu na hawa.kutokana na madhara ya lile tunda,adamu na mkewe walisikia sauti hasilia ya mungu,iliyowafanya wapagawe na kukimbizana wakati mungu ameenda kuwatembelea,na mungu alishajua Kila kitu na alimuuliza adamu Kwa kumtega Tu ili aone adamu atafanya nini.

FREE WILL
Hapa kunakitu hujakijua mkuu na NI mada ndefu.ila inshort,mungu anajua unawaza nini.na mwanadamu awezi kujiongoza pekeake.yani Sawa Sawa umwache mtoto nyumbani ukidhani ANAUWEZO WA kujiudumia Bila kumprovidia Kila kitu.
Huna free will ya kuzidi mipaka ya mungu,Sana Sana uwe SHETANI.

-Kujua utakufanye mungu hajui Ila anaangalia umekufaje.
-utakula nini,utakula chochote alichokuumbia na anavyokupa rizki Kwa kadri ya uwezo wake
-unauwezo wa kwenda peponi au MOTONI machaguo NI yako sio ya mungu juu yako

Bado hujamjua mungu VIZURI na matendo yake,soma Sana dig research.
Unachanganya mafail wewe jamaa, Soma tena kanuni za utendaji kazi wa Mungu
 
Mpaka leo hii sijapewa jibu sahihi about free wil
Nimesoma comment ila nitazirudia Tena maana Kuna mengi mazuri,,hebu chukulia mfano una robot (jipe uungu) chukulia robot ni binadamu na uliprogram kuongea kula kutembea kulala kukata gogo kunywa maji na kula,,je linaweza kufanya zaidi ya ulivyoliprogram,,je kama umeliprogram kushona nguo likawekewa virus Akali compromise likataka liwe linafua nguo TU bombani na kufagia nje,,utasahau kwamba umeliprogram na kuliona lijitegemee wakati linakutegemea wewe kusurvive kwa 100%kwamba ukitaka unaweza kulifanya vyovyote,,je robot ulilolitengeneza ni kwa namna Gani linakuwa na free will ambayo sio wewe unaelimiliki ulielipa?Nadhani kama ni robot kuwa na free will isio na limitations labda lingekuwa limetokea lenyewe bila wewe kuhusika kwa namna yoyote kulitengeneza,,,sisi hatujui tulitoka wapi ila hapa duniani tumefika na hio free will tunayo ila imelimitiwa kwa sababu tunamilikiwa na free will inatupeleka kuchagua wa kutumiliki na kuishi ktk parameters zake
 
Nimesoma comment ila nitazirudia Tena maana Kuna mengi mazuri,,hebu chukulia mfano una robot (jipe uungu) chukulia robot ni binadamu na uliprogram kuongea kula kutembea kulala kukata gogo kunywa maji na kula,,je linaweza kufanya zaidi ya ulivyoliprogram,,je kama umeliprogram kushona nguo likawekewa virus Akali compromise likataka liwe linafua nguo TU bombani na kufagia nje,,utasahau kwamba umeliprogram na kuliona lijitegemee wakati linakutegemea wewe kusurvive kwa 100%kwamba ukitaka unaweza kulifanya vyovyote,,je robot ulilolitengeneza ni kwa namna Gani linakuwa na free will ambayo sio wewe unaelimiliki ulielipa?Nadhani kama ni robot kuwa na free will isio na limitations labda lingekuwa limetokea lenyewe bila wewe kuhusika kwa namna yoyote kulitengeneza,,,sisi hatujui tulitoka wapi ila hapa duniani tumefika na hio free will tunayo ila imelimitiwa kwa sababu tunamilikiwa na free will inatupeleka kuchagua wa kutumiliki na kuishi ktk parameters zake
Mkuu inawezekana Mungu hajui kila kitu na hayawezi yote
 
Freewill ni illusion tu wala haipo in reality

Nataka nianze na Mfano wako wa kusema malaika hawana freewill na kwamba wamekuwa programmed kutii kile ambacho Mungu anawaagiza

Kumbuka freewill ni dhana yenye kuambatana na selection ya mambo mawili "ubaya na uzuri"

Sasa kama malaika hawana freewill na kwamba hawawezi kufanya ubaya, unaelezeaje ishu ya malaika muovu lucifer ambaye alifanya ubaya kwa kumsaliti Mungu?

Alitumia njia gani kufanya ubaya huo bila kuhusisha freewill?

Vipi kuhusu robo tatu ya malaika walioshawishiwa na shetani na kuungana naye katika mkakati wa kumsaliti Mungu na kupelekea vita huko mbinguni?

Hayo yote yaliwezekanaje kufanyika kama malaika wako programmed na hawana freewill ya kuwawezesha kuchagua kufanya ubaya?

Mnaofikiria kwamba mateso na migogoro ipo duniani na kwmaba mbinguni ni raha tu, mnabidi mkumbuke kuwa vita ya kwanza ilianzia huko huko

Mpaka hapo tushajua mbinguni sio sehemu salama na kwamba kuepuka kwako vikwazo huku duniani unakumbushwa kuwa na mwendelezo huo huo wa kinidhamu hata ukiwa huko.
Amina. Ni kweli tunapaswa kuanza kujifunza kutenda wema hapa hapa duniani tukienda mbinguni ni Muendelezo tu.
 
Aliyetuumba CHANZO HALISI alituumba kwa ajili ya mema na mazuri peke yake 2Timotheo 2:21 bila mabaya na alituumba tuishi na sio kufa Kwa mujibu wa 1wakorinto 15:51.

CHANZO HALISI aliengua Moyo wake kushoto (Moyo wa mwanzo) akaweka heshima na utajiri ukisoma mithali 3:16 akamweka mbinguni Ili aumbe vyote kwa uhalisia.

Mauti imetokana na roho ya uvamizi(ufunuo 12:1) iliyomvamia Moyo wa mwanzo aliyekasimiwa uumbaji na CHANZO HALISI.

Baada ya anguko la Moyo wa mwanzo ndipo akaumbwa na kerubi Ili ampe sifa Muumbaji maana ndio kusudi lake lakini nae katika Ezekiel 28:13...
akavamiwa na roho saba chafu akataka awe kama aliyeumba ukisoma Isaya 14:13 ndipo tunaona Ile vita katika ufunuo 12:7

Kusudi la aliyetuumba ni kuishi juu ya nchi ukisoma (Mika 1:2-6 na ufunuo 21:3 na Isaya 57:15) inathibitisha hilo

NB: Baada ya anguko la Moyo wa mwanzo Kila file la Kila aliyetakiwa kuumbwa ambalo lilikuwa ndani ya Moyo wa mwanzo liligeuzwa maana humo yalikuwa mema na mazuri tu bila mabaya na utajiri vyote viligeuzwa na uumbaji ukawa unafanyika kwa amri ya roho ya uvamizi (ufunuo 12:1) au malkia wa mbinguni (yeremia 44:17-18)
 
Lazima tujue kuwa dhana ya kufa iliyopo haikutokana na Muumba kwa sababu ktk Mwanzo 1:27-28 alisema zaeni mkaongezeke na ktk Mwanzo 2:14-15.

Adam alipoumbwa unaona wazi akimwambia kuwa nimekupanda katika bustani uilime na kutunza hapo hakuna matarajio ya kufa.

Maana huwezi ukazaa mtoto na ukamuua ni ngumu sana Muumba hajawahi kutaka tufe

Bali kilichokuwa kinatuua ni matendo mafu tuliokuwa nayo na kutofanya yale ya Aliyetuumba.

Mfano. Adam alipoumbwa aliambiwa asile matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya bali mti uzima ambapo ni kukaa kwenye kanuni za Aliyetuumba.

Pia aliweza kuishi miaka 930 baada ya kosa alilotenda kwenye bustani ndiyo akafa lakn kama asingefanya kosa angeendelea kuishi.

Tangu hapo ndipo wengi tukaanza ukiri wa kufa bila kujua kufa kulianzia wapi na kujua kuwa Aliyemuumba Adam ndiye aliyeua kumbe siye. Akukaa kwenye njia iliyosahihi.
 
Tuna hiyari huru (free will) na tutawajibika kwa matendo na tabia zetu na wakati huohuo hatuna chaguo (choice)kuhusu mengi.
Vipi sasa kuhusu ujuzi wa mambo yote wa Mungu?? Hauthiri free will yet?
 
I'm doubting! God is omnipotent and benevolent! For me if He is omnipotent not benevolent and if He's benevolent not omnipotent. I don't like to contradict myself.
 
If God is both omnipotent and benevolent, the precence of evil is a contradiction. How can He allow evil? Then He is not omnipotent.
 
Back
Top Bottom