I ain't drawn to your perspective 'claims'When you face difficult questions you pretend to not be a debator
That is hypocrisy
So nah thank you
But i am not a debater [emoji4]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I ain't drawn to your perspective 'claims'When you face difficult questions you pretend to not be a debator
That is hypocrisy
Sitarudia kujibu, siwezi kurudi na kukopi majibu kama ambavyo wewe umeenda kukopi maswali tuliyokwishajibu.Mungu mjuzi wa yote mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.
Hayupo kwa sababu dhana ya kuwepo kwake ina contradiction, si kwa sababu ya a priori premise.
Hayupo kwa sababu the problem of evil shows us a contradiction in the concept of that God existing.
Either that God exist, or a universe that allows evil exists.
The two are mutually exclusive.
A universe that allows evil exists.
Therefore, that God does not exist.
If you dispute that, prove this God exists.
Huna freewill ya kumjibu kwa uelewa mtu mwenye elimu zaidi yako ambaye anakueleza vitu ambavyo huvielewi kwa ujinga wako.Sitarudia kujibu, siwezi kurudi na kukopi majibu kama ambavyo wewe umeenda kukopi maswali tuliyokwishajibu.
Nina free will ya kuchagua ama kumjibu mpumbavu sambamba na upumbavu wake ili asijione ana akili...... au kuacha kumjibu mpumbavu sambamba na upumbavu wake ili nisije kufanana nae. Hii 'mpumbavu' imenukuliwa toka huko nothing personal my brother, respect[emoji111]
I prefer the later option -- This is an example of me exercising my freewill
Oooh kumbe kuna kiumbe wa namna hiyo alishawahi kuumbwa na Mungu, sikuwahi kumsikia.... [nah. in fact nishamsikia humu JF😂😂]Nakufahamisha sasa kwamba huyo eric anaishi kwa kula Mungu na Miungu
Since Eric ni God eater na hana kingine cha kufanya zaidi ya kula Mungu/Miungu basi nina hakika Mungu wako alikwisha liwa na huyu Eric
Can you prove me wrong?
Unaweza kuthibitisha Eric aliyemla Mungu wako na kumfanya asiwepo kuwa hayupo?
Hapo una machaguo mawili
1. Uthibitishe Eric God/Goodness eater hayupo (kitu ambacho huwezi)
2. Au ushindwe kuthibitisha hayupo
Outcome ya hayo machaguo mawili yote yataonesha Mungu hayupo
Nani nimesema aliumbwa na Mungu?Oooh kumbe kuna kiumbe wa namna hiyo alishawahi kuumbwa na Mungu, sikuwahi kumsikia.... [nah. in fact nishamsikia humu JF😂😂]
Sema napata tabu tu kuelewa namna ambayo unawezaje kuidelete ile programu ya ndani kabisa ya software ya computer ambayo inahusika na kuongoza mchakato mzima wa kudelete vitu!!?
Again hii ni paradox ya huko kwenu tu ila huku kwetu inayeyuka katika sifa za msingi za Mungu. It is in HIM that we live move and have our being. Kwa hiyo being ya ERICGODEATER inahitaji kuwa powered na huyo god inayotakiwa kumula wakatihuohuo kumutegemea. Ukiweja kunielekeza kwenye kompyuta labda jaribu>.....
😂🤣🤣🤣 Imo imesemwa humo kwenye definition ya Mungu broh huhitaji kurudia kutaja maneno meeengi kila wakati. Tunasema tu simply MUNGU.Nani nimesema aliumbwa na Mungu?
Wapi nimesema aliumbwa na Mungu?Oooh kumbe kuna kiumbe wa namna hiyo alishawahi kuumbwa na Mungu, sikuwahi kumsikia.... [nah. in fact nishamsikia humu JF😂😂]
Sema napata tabu tu kuelewa namna ambayo unawezaje kuidelete ile programu ya ndani kabisa ya software ya computer ambayo inahusika na kuongoza mchakato mzima wa kudelete vitu!!?
Again hii ni paradox ya huko kwenu tu ila huku kwetu inayeyuka katika sifa za msingi za Mungu. It is in HIM that we live move and have our being. Kwa hiyo being ya ERICGODEATER inahitaji kuwa powered na huyo god inayotakiwa kumula wakatihuohuo kumutegemea. Ukiweja kunielekeza kwenye kompyuta labda jaribu>.....
🤣🤣🤣🤣🤣🤦♂️ huhuuuh, amaa kweli burudani, unajua umerudia tena kusema?Wapi nimesema aliumbwa na Mungu?
Naomba unioneshe wapi ambapo nimesema huyo eric ni kiumbe aliumbwa na Mungu😂🤣🤣🤣 Imo imesemwa humo kwenye definition ya Mungu broh huhitaji kurudia kutaja maneno meeengi kila wakati. Tunasema tu simply MUNGU.
Hukuelewa nilipokuambia hizo paradox zipo kwa wakana Mungu pekee na uhalisia wako ukikua unayeyuka papo hapo? Basi huu pia ni mfano wa situation hizo za kuyeyusha 'contradiction ndogondogo'
Simjui.Unamjua Eric God eater?
Sijawahi kushindwa kufanya hivyo, labda usema uthinitishiwe mara ngapi ?Huwezi kuthibitisha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote yupo.
Kwa sababu hayupo.
Ulimwengu unakanushaje kutokuwepo kwake ?Tunajua hayupo, kwa sababu, ulimwengu uliopo unakanusha uwepo wa huyo Mungu
Umejuaje ?Ulimwengu uliopo unakanusha uwepo wa Mungu huyo kwa "the problem of evil".
Nani amekwambia kama Mola haruhusu ubaya ? Kama unakubali ubaya vipi asiruhusu hilo ?The problem of evil inatuonesha kwamba, Mungu huyo hachangamani na haruhusu ubaya. Hawezi kuwepo, halafu hapo hapo ulimwengu unaoruhusu mabaya uwepo.
Sasa vipi visiwepo na vipo ? Hivi unatumia nini kufikiri ?Ama Mungu huyo yupo, ama ulimwengu unaoruhusu mabaya upo.
Viwili hivi haviwezi kuwapo vyote pamoja.
Hii ni simple logic na umeona unavyofikia hitimisho ? Yaani kuna mambo mengi sana umeyaacha, mimi nakuonyesha.Ulimwengu unaoruhusu mabaya upo.
Hivyo, Mungu huyo hayupo.
Logic na Falsafa zinawafanya msifikiria mambo kiundani, maana umecheza na maneno bila kugusa hoja na ukafikia hitimisho kwa mtindo ule ule ambao uliwafanya wakina Socrates na Aristotle/Aristoto waendelee kuwa ni katika watu wajinga walio wahi kuishi hapa duniani.Kama unabisha, thibitisha Mungu huyo yupo.
Najua huwezi kuthibitisha Mungu huyo yupo.
Kwa sababu hayupo.
Usiseme tukubali, nakuuliza kuhusu dhati ya tamko "Imani" nimekupa kazi utenganishe kati ya imani na matendo na uhalisia ?Immanent critique.
Hata tukisema tukubali imani sahihi, tusiingie sana kwenye facts, imani yako ni potofu.
Unaamini Mungu ambaye dhana ya uwepo wake ina contradiction.
Unakubali mambo yenye contradiction kuwa yanawezekana kuepo kwenye uhalisia?Sijawahi kushindwa kufanya hivyo, labda usema uthinitishiwe mara ngapi ?
Kingine swali la msingi ni kuwa umejuaje kama hayupo ?
Ulimwengu unakanushaje kutokuwepo kwake ?
Umejuaje ?
Nani amekwambia kama Mola haruhusu ubaya ? Kama unakubali ubaya vipi asiruhusu hilo ?
Nani amekwambia sharti la kuwepo kwake basi aisiruhusu ubaya uwepo ? Sasa uwezo wake utakuwa wapi ?
Sasa vipi visiwepo na vipo ? Hivi unatumia nini kufikiri ?
Hii ni simple logic na umeona unavyofikia hitimisho ? Yaani kuna mambo mengi sana umeyaacha, mimi nakuonyesha.
Yeye ndiye anaruhusu hayo yote yatokee , vipi ubaya uwe sharti la kutokuwepo Mola ? Swali langu rahisi sana.
Logic na Falsafa zinawafanya msifikiria mambo kiundani, maana umecheza na maneno bila kugusa hoja na ukafikia hitimisho kwa mtindo ule ule ambao uliwafanya wakina Socrates na Aristotle/Aristoto waendelee kuwa ni katika watu wajinga walio wahi kuishi hapa duniani.
Swali langu, vipi kuwepo kwa ubaya kuwe ni sharti la kutowepo kwa Mola ? Wakati muda huo huo unaambiwa Mola ni mjuzi wa yote ?
Hujathibitisha Mungu yupo, hiyo habari ya kuwepo Mungu ni dhana tu.Usiseme tukubali, nakuuliza kuhusu dhati ya tamko "Imani" nimekupa kazi utenganishe kati ya imani na matendo na uhalisia ?
Imani yangu ni potofu kwa wewe kuerejea wapi ?
Kwanza uwepo wa Mola si dhana, rekebisha hili, bali ni uhakika. Kingine nakupa miaka kumi ulete "contradiction" moja tu unayo iona ipo katika Mola wangu ninaye muamini yaani katika Uislamu. Kisha tuijadili, kwa sharti hakuna kukimbia swali hata moja.
Kingine siyo kila unalo hisi wewe lina utata au kupingana basi kweli lina utata, utata mara nyingi huletwa na mtu kuwa mjinga katika jambo husika au kutolielewa jambo hilo.
Kama hujaonyesha hiyo "contradictions" wewe ni "Mzandiki".
Sasa tujadili kielimu na ujibu maswali yangu.
Soma post 827 nimeelezeaSimjui.
Unahitaji ushahidi gani kujua kuwa kile unachoita Love ndicho Mimi nikiitacho Logic?Kwa sababu umeandika tu, bila ushahidi, mantiki wala uthibitisho.
Quran 67: 1-2Hakuna mtu aliyeweza kuthibitisha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote yupo.
Kwa sababu Mungu huyo hayupo.
Tunajua Mungu huyo hayupo kwa sababu dhana ya kuwapo kwake ina contradiction.
Dhana ya kuwapo kwake ina contradiction ya "problem of evil".
Ama ulimwengu unaoruhusu mabaya upo, ama Mungu huyo yupo.
Viwili hivi haviwezi vyote kuwapo pamoja.
Ulimwengu unaoruhusu mabaya upo.
Mungu huyo hayupo.
Kama unabisha, thibitisha Mungu huyo yupo.