God's Conscience vs Free Will: Je, Mungu anajua hatima ya wanadamu itakuwaje?

God's Conscience vs Free Will: Je, Mungu anajua hatima ya wanadamu itakuwaje?

Sasa kama hujui kama ulichokiandika ni ujinga na ukajiona unajua, wewe siyo wa kukosolewa wewe ni wa kuachwa, wanakosolewa wenye afadhali kwa kile walichikiandika, sasa wewe kwenye hichi imekuwa potelea mbali.

Ukiandika vya afadhali na vyenye maana nitakukosoa au nitakujibu.

Kwahiyo siyo kila jambo linahitaji majibu au maelezo.
Mi nadhani ungejibu hoja kwasababu nikianza kuangalia hata hoja zako za kusema "thibitisha Mungu hayupo" nami niseme nitumie mfumo wako nitaziona zina utoto na ulichokiandika typically kitakuwa ni ujinga

Hiyo hoja kama umeiona ya kitoto basi ujue hata swali ulilouliza lina utoto pia, so what?
 
Mi nadhani ungejibu hoja kwasababu nikianza kuangalia hata hoja zako za kusema "thibitisha Mungu hayupo" nami niseme nitumie mfumo wako nitaziona zina utoto na ulichokiandika typically kitakuwa ni ujinga

Hiyo hoja kama umeiona ya kitoto basi ujue hata swali ulilouliza lina utoto pia, so what?
Sasa nijibu hoja gani kijana wakati huna hoja ?
 
binadamu ni roho, baada ya roho kuacha mwili mwili huoza, hivyo roho ndio hubaki sehemu mabayo itasubiri kusomewa hukumu yake. Mungu atahukumu roho, ili uweze kuishi milele mwanadamu lazima uwe katikati mfumo wa roho.

Sasa shida inakuja hapa!

-Je siku ya kuhukumiwa mimi nitakua najifahamu kua ndio mimi? (Kumbuka roho ndio inabeba taarifa zako zote/kwenye roho ndio kuna mind ambayo inahusika nawe kujitambua)

-Kama nitajitambua nitawezaje kuishi heaven kwa raha huku wazazi na ndugu zangu wapendwa nimewashuhudia wakienda kuchomwa moto?

-Labda siku hiyo tutakua hatutambuani, kama hatutambuani it means hata mimi sitajitambua. Sasa kama mimi sitajitambua nitajuaje kama ni mimi ndio niko peponi au motoni? (Kumbuka kama nikijitambua sitafurahia kwenda heaven wakati my wife and any of my kids they're suffering in hell)

-Sawa nitajitambua, nitakubali na matokeo ndigu zangu wateseke motoni. Je wale wanawake 70 bikra nitawafaidi vipi wakati mimi nitakua katika mfumo wa roho, roho haiwezi kufanya mapenzi and lastly huko Mungu hawezi kuparuhusu tupafanye danguro. (Kumbuka Mbinguni tutakua kwa mfumo wa roho, sio mwili maana mwili huharibika. Kama tukiwa nao basi hatutoishi huko milele, mwili ni compatible kwa maisha ya Duniani tu)
Habari ya ndoa,wazazi sijui wife hayo ni ya duniani mbinguni hakuna vitu hivyo huko ni wewe tu
 
Ninapo jariburi kufikiri kumhusu Mungu mawazo yangu yananipa kufikiri kuhusu mtu aliyefuga mifugo tofauti nayo ikaamua kuweka hoja kumhusu bosi wao.
Ni haki yao kutenda vile ila mifugo isichokijua ni kwamba akili na uelewa wa mawazo ya boss wao yako juu mno na mbali sana na kile kiduchu walicho nacho mifugo kumhusu.
Mbuzi katika zizi waweza kuambizana wenyewe kwa wenyewe kuwa wao ndio walio karibu na kupendwa na boss kuliko mifugo mingine kwa hoja kuwa asubuhi aamkapo bosi au watumwa wa boss huanza kusafisha boma lao.
Ngombe huambizana wao kwa wao kwamba boss ni kama wao au wao wanaweza kuwa maboss kwa hoja kwamba mmiliki ndei anaewatafutia chakula na pia wakilia mmiliki hukimbia zizia kuona hitilafu na kuitatua hima.
Kuku huambizana wenyewe kwa wenyewe kwamba pamoja na boss kuwapenda na kuwahudumia, ni kwa nini amefuga ambae ambae anaonekana kuwa tishio kwa kuku hasa wawapo nje ya zizi? Na kuna wakati bosi alimsakisia mbwa aliyekuwa huru nje amkamate ili achinjwe siku mgeni alipokuja nyumbani hapo. Kuku humuona mbwa kama ni shetani japo hawaoni kama boss ana nia mbaya kuwahusu. Na hata wangeng'amua kuwa wanafugwa ili mwisho wa siku wawe kitoweo hawangeliweza kutoroka katika himaya ya boss wao wasiliwe nyama.
Kwa hiyo ni la heri zaidi hao mifugo kutojua nia ya boss wao ili kustawisha utengamano na amani waliyo nayo katika life span yao.
Sasa katika ule ufahamu mdogo sana walio nao mifugo katika kumjadili boss kuna majivuno mengi miongoni wa mifugo. Baadhi yao huona wana akili sana kiasi cha kuwa sawa na boss au hata kumzidi pale wanapojaribu kumweka kati ili wamsahili.
Katika uzao wa binadamu kuna kitu kinaitwa evolution na makuzi katika teknolojia.
Haina maana kilichopo katika sayansi ya sasa hakikuwepo zama za zana za mawe.
Haina maana wakati watu hawakuwa na habari ya uwepo wa sayari au wakati walipovumbua chache na sasa kunakiri ni nyingi hazikuwepo. Zilikuwpo!!
Huu ni udhihirisho wa kufahamu kiduchu sana kumhusu Muumba anaemiliki uumbaji wote na ambaye yeye hahitaji kujiongezea maarifa kama tufanyavyo sisi.
Mmiliki wa uumbaji huu ndie aliye program software inayotu drive kiasi kwamba hatuwezi kujiendesha nje ya kile tulichowekewa wala uwezo wa kuyakimbia maumbile yake tukaishi kwetu tuepuke kile alichokusudia kwetu hatuna.
Nataka kusema nini?
Mungu hupatikana kwa imani ambamo humo katika imani kuna hisi moja ya nyongeza nje ya zile tano za mwili kunusa, kugusa, kuona, kuonja na kusikia. Hisi hii ya nyongeza katika roho ndio inayoweza kuwa na tunda katika Mungu.
Kumjadili Mungu kwa kutumia bongo ( intellectual) tunabaki kuwa na mipaka kama wale mifugo wengine wote tukibaki na tambo ambazo kamwe haziwezi kutuokoa na malengo ya Mungu kutuhusu.
Umeanza na assumption ya kwamba wewe ni mfugo wa Mungu.

Watu wanafuga mifugo kwa sababu nyingi, kwa kutaka chakula, kwa kutaka kulindwa, kwa kutaka company, etc.

Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, kwa nini anahitaji mifugo?
 
Nimecheka sana.

Huna hoja ya kunifanya nikwepe.
Unacheka ujinga wako

Ukiweza kuthibitisha Eric God eater hayupo umethibitisha Mungu wako hayupo

Ukishindwa kuthibitisha Eric God eater hayupo unakuwa umethibitisha Mungu wako hayupo

Thibitisha
 
Unacheka ujinga wako

Ukiweza kuthibitisha Eric God eater hayupo umethibitisha Mungu wako hayupo

Ukishindwa kuthibitisha Eric God eater hayupo unakuwa umethibitisha Mungu wako hayupo

Thibitisha
Sijawahi kushindwa kithibitisha juu ya uwepo wa Allah.

Ndiyo maana nikakwambia unatakiwa uache utoto.
 
Huna uwezo wa kujibu maswali yangu.

Hata nikikupa miaka kumi uonyeshe ujinga wa maswali yangu hutaweza.
Nimekueleza kuhusu "the problem of evil", halafu bado unaniuliza ulimwengu unakanushaje uwepo wa Mungu?

Unajua hata "the problem of evil" ni nini?
 
Huu mtindo wa kufika hitimisho kwa namna hii nimeshaukosoa, hajibu hivi isipokuwa mtu mjingi. Siku ukijua msingi mama wa logic utaona ya kuwa logic ina ukomo.

Yaani unasema "Mungu hayupo, kwa sababu hayupo". Halafu unakuja kudai maswali yangu yans ujinga. Hii kauli "...kwa sababu hayupo haiwi sababu kwa sababu si sababu ya kutokuwepo. Hii ni namna tu ya logic katika kufikia hitimisho bila kujadili kiini cha hoja.

Wakana mungu wote hawajahi kuwa na akili timamu.

Unataka uthibitishiwe mara ngapi ?
Hujathibitisha Mungu yupo.
 
K

Kwahiyo una biase kuwa unaamini muhimili upo licha ya kuwa hujauona ila huamini Mungu kama yupo kwasababu hujamuona.


Nimeamini sasa kwanini Mungu kawafananisha wasioamini kuwa ni sawa na wanyama au ni zaidi ya wanyama
Kwani wapi nimesema sikubali Mungu yupo kwa sababu sijamuona?

Unaweza kunionesha sehemu hiyo?

Mbona wewe sikuoni na najibizana nawe hapa kwa kulkubali kwamba upo?
 
Nini kinapima huo uhalali? Hizo kanuni unazitoa wapi?





Ni kusema kuwa Logic Si Ukweli wenyewe? Logic si Nyenzo, Bali yenyewe ndio UKweli.

Kanuni za uhalali ni zipi? Zinatoka wapi? Nini kimeweka uhalali wake? Na ni halali kwa nami au Nini?

Hakuna Logic ndani ya MIHEMKO, maana MIHEMKO ni KIINI MACHO/NOTHING.

LOGIC haiweizi kuwa na UWILI, maana kuwa hivyo tu ni Udhaifu tayari.

Kwamba kidubwana kinachoundwa na Binadamu unafikiri kinaweza kuwa na perfection hii tunayosema hapa?

0/1 ya computer si kipimo cha Logic, kunaweza kuwa na proper binary process ya computer katika Mfumo wake, lakini bado screen ikashindwa kudisplay properly. UWILI wowote uko nje ya Logic.

Kushindwa kwa MTU kuitafsiri Logic hakufanyi MIHEMKO kuwa Logic. Udhaifu wa UWILI Wetu ndio unaofanya Logic tuone ni MIHEMKO.

Nini kinapima huo uhalali? Hizo kanuni unazitoa wapi?





Ni kusema kuwa Logic Si Ukweli wenyewe? Logic si Nyenzo, Bali yenyewe ndio UKweli.

Kanuni za uhalali ni zipi? Zinatoka wapi? Nini kimeweka uhalali wake? Na ni halali kwa nami au Nini?

Hakuna Logic ndani ya MIHEMKO, maana MIHEMKO ni KIINI MACHO/NOTHING.

LOGIC haiweizi kuwa na UWILI, maana kuwa hivyo tu ni Udhaifu tayari.

Kwamba kidubwana kinachoundwa na Binadamu unafikiri kinaweza kuwa na perfection hii tunayosema hapa?

0/1 ya computer si kipimo cha Logic, kunaweza kuwa na proper binary process ya computer katika Mfumo wake, lakini bado screen ikashindwa kudisplay properly. UWILI wowote uko nje ya Logic.

Kushindwa kwa MTU kuitafsiri Logic hakufanyi MIHEMKO kuwa Logic. Udhaifu wa UWILI Wetu ndio unaofanya Logic tuone ni MIHEMKO.
Kinachopima uhalali ni kanuni, kanuni zimewekwa na watu kwa uchunguzi na urekebishanaji wa miaka mingi, hata wewe unaweza kupinga hizo kanuni na uki make sense dunia ikakuelewa na kukukubali, unabadilisha.

Logic si ukweli wenyewe, kwa sababu hata uongo una logic, mashaka ya kutojua ukweli ni upi na uongo ni upi yana logic, logic ni nyenzo ya kupata ukweli.

Mihemko si lazima iwe kiini macho, muhemko ni hali ya kupandwa na hasira au hamu kubwa. Inaonekana hili neno hulijui maana yake.
Jaribu kusoma tena maana ya mhemko ni nini, kama unataka kutoa maana nyingine, tumia neno tofauti, naona huelewi maana ya mhemko ni nini.


Kusema binary system ya computer si logic kwa sababu haina ukamilifu ni sawa na kusema mtu mfupi si mtu, kwa sababu si mrefu.

Usahawahi kumsoma Godel? Unafahamu mchango wake katika logic? Unajua "Godel's Incompleteness Theorems" zinasemaje?

Godel's incompleteness theorems zimeonesha kwamba hakuna system ya logic iliyokamilika. Kwa hivyo, hiyo dhana yako ya logic iliyokamilika ni njozi tu.

Again, mhemko rudia kusoma tafsiri yake, hujui maana ya hili neno inaonekana.
 
Je, kikiwepo tu kwenye mawazo yangu kitahalalisha Uwepo wake?

Kwanini unasema hakuna Mungu wakati hicho kitu kipo kwenye mawazo yako?

Je, kila tunachofikiria kipo? Wewe ulifikiria Pembetatu Duara, je kwa kufikiria tu hilo inafanya Uwepo wake?

Hakijawahi kuwepo.
Sijawahi kusema Mungu hayupo popote, nimesema Mungu ni dhana iliyo mawazoni mwa watu tu.

Kikiwepo kwenye mawazo yako tu kipo angalau kwenye mawazo yako na si sawa kusema hakipo popote.

Pembetatu duara inawezekana kuwepo katika mawazo lakini si kiuhalisia.

Mungu naye ni hivyo hivyo, yupo katika mawazo tu, hayupo kiuhalisia.
 
Kinachopima uhalali ni kanuni, kanuni zimewekwa na watu kwa uchunguzi na urekebishanaji wa miaka mingi, hata wewe unaweza kupinga hizo kanuni na uki make sense dunia ikakuelewa na kukukubali, unabadilisha.
Kutambua na kuishi facts zisizo na Ukamilifu wa 100% kuna tofauti gani na IMANI?
JE, SI SAHIHI KUSEMA NAWE NI WALEWALE WAISHIO KWA IMANI KAMA WATU WA DINI?
Logic si ukweli wenyewe, kwa sababu hata uongo una logic,
Hakuna kitu kinaitwa Uongo. Uongo ni Nothing. Popote uionapo Logic tambua ndio UKweli wenyewe.
Nilitamka hili hapo mwanzo:
Kutokuwa hivi ni Ukamilifu wa kuwa Tofauti.
2+28=1 wakati 1-2=–1. Ukiishia kwenye formula ya kwanza utaishia kwenye kiiini macho, ila ukifika ya pili utaupata UKweli kuwa Hilo Si jibu sahihi. Hili jibu ni Ukweli wa kuwa 1+28 si 1.
mashaka ya kutojua ukweli ni upi na uongo ni upi yana logic, logic ni nyenzo ya kupata ukweli.
Logic ni Ukamilifu.
Mihemko si lazima iwe kiini macho, muhemko ni hali ya kupandwa na hasira au hamu kubwa. Inaonekana hili neno hulijui maana yake.
Jaribu kusoma tena maana ya mhemko ni nini, kama unataka kutoa maana nyingine, tumia neno tofauti, naona huelewi maana ya mhemko ni nini.

Mkuu, JE kweli unafikiri ni Nyakati za kujadili tafsiri za Kikamusi? Ingekuwa hivyo sidhani kama kungekuwa na mjadala hapa.
Kusema binary system ya computer si logic kwa sababu haina ukamilifu ni sawa na kusema mtu mfupi si mtu, kwa sababu si mrefu.
Hii ni hoja ya kulazimisha, hujanielewa vizuri nafikiri.
Usahawahi kumsoma Godel? Unafahamu mchango wake katika logic? Unajua "Godel's Incompleteness Theorems" zinasemaje?
Sijawahi, Sijui.
Godel's incompleteness theorems zimeonesha kwamba hakuna system ya logic iliyokamilika. Kwa hivyo, hiyo dhana yako ya logic iliyokamilika ni njozi tu.
Sijasema Logic iliyokamilika, ila LOGIC NI UKAMILIFU. Ukisema ILIYOKAMILIKA inakaribisha Uwepo wa Isiyokamilika, nao ni UWILI tayari.
Again, mhemko rudia kusoma tafsiri yake, hujui maana ya hili neno inaonekana.
Hatujadili maana za Kikamusi bali dhana bebwa na neno husika, tukihusianisha na kila kitu.
 
Sijawahi kusema Mungu hayupo popote, nimesema Mungu ni dhana iliyo mawazoni mwa watu tu.
Nitakuletea ushahidi.
Kikiwepo kwenye mawazo yako tu kipo angalau kwenye mawazo yako na si sawa kusema hakipo popote.
Je mawazo hayana mchango wowote katika Uhalisia?
Je, hujawahi kuona Mawazo ya MTU yakamgharimu?
Pembetatu duara inawezekana kuwepo katika mawazo lakini si kiuhalisia.

Mungu naye ni hivyo hivyo, yupo katika mawazo tu, hayupo kiuhalisia.
UPI ni mpaka uliopo kati ya Mawazo na Uhalisia, ikiwa matendo mengi ya watu huanzia kwenye Mawazo?
 
Sijawahi kusema Mungu hayupo popote, nimesema Mungu ni dhana iliyo mawazoni mwa watu tu.
Nitakuletea ushahidi.
Kikiwepo kwenye mawazo yako tu kipo angalau kwenye mawazo yako na si sawa kusema hakipo popote.
Je mawazo hayana mchango wowote katika Uhalisia?
Je, hujawahi kuona Mawazo ya MTU yakamgharimu?
Pembetatu duara inawezekana kuwepo katika mawazo lakini si kiuhalisia.

Mungu naye ni hivyo hivyo, yupo katika mawazo tu, hayupo kiuhalisia.
UPI ni mpaka uliopo kati ya Mawazo na Uhalisia, ikiwa matendo mengi ya watu huanzia kwenye Mawazo?
 
Nimekueleza kuhusu "the problem of evil", halafu bado unaniuliza ulimwengu unakanushaje uwepo wa Mungu?

Unajua hata "the problem of evil" ni nini?
Jibu maswali maswali niliyo kuuliza. Suala la hili nimeshakujibu zaidi ya mara moja.

Tangu nawajua nyinyi huwa mnakimbia maswali, na kuna muda huwa tunawauliza maswali ili kuonyesha ujinga wenu ulipo.

Kwahiyo usilete kona kona, nimekuuliza maswali jibu maswali.
 
Mara tu utakapoipersonalize hiyo Perfection itavaa UWILI nao hautaweza kuwa nje ya Makosa,Udhaifu, Mapungufu, Uovu, Ujinga, Ulimbukeni, MIHEMKO, Hulka, Chuki, Husda, woga, nk.....

Hakika. Ni Ukamilifu.
Anhaa nimeupata msimamo wako, wa kwamba ukamilifu hauendani na sifa yoyote ni just UKAMILIFU. Nakubaliana nayo kuwa ile highest 'I AM THAT IAM' unaweza kuiacha hivyo. Labda kwa hatua zetu [sisi wadoooogo sana] kumuelewa Mungu kinamna hiyo kunakuwa hakuna kitu practical cha kutenda sasa kutokana na imani ya namna hiyo. Tutaelewa vizuri tukifika level fulani, tukikaa na Yesu na kujifunza/kutawala pamoja naye.

Wakati huo msimamo wangu ni kwamba ni ukamilifu na ni sifa zote za UKAMILIFU huo. Umenijibu mahala kwamba hiyo itaonesha ana hulka mbalimbali na uwili [uko na point], kwangu sioni kama ni hatari sana maana sijamvua personality japo tu sijamuanthropormorphize na hizo hulka ni perfection yazo; upendo, ukweli, uzima, uzuri. Itakuwa taabu sana kuhusiana na jitu lisilo na personality yoyote yaani liwe neutral kama LOGIC?! Ikishindikana kuziweka hizo sifa kwa Mungu basi ninaziweka kwa mwana wa Mungu maana hata hivyo Yeye ndio njia ya kufika hata huko kwa Mungu. I mean kuuishi huo ufalme wa Mungu maana hata sasa upo. Yeye atatusaidia kujua machaguo mazuri ambayo LOGIC yake itaishia kwenye matokeo mazuri kwa muhusika binafsi.

Kwa Yesu personality inakaa bila shida yoyote. Kwa kumtii Mwana anayemtii Baba yake unakuwa umemtii na kumkubali Mungu[Bado nimemuacha Mungu katika hali ambayo anayo Will na ndio WILL yenyewe]. Baba atukuzwe katika Mwana. And that gives us something practical to relate to.
 
Back
Top Bottom