HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Rais wa Tanzania amesema atatoa Tsh 5mil kwa kila goli litalofungwa na hizo timu tajwa, mwishoni mwa wiki hii, watakapokuwa wakicheza michezo yao ya Kimataifa.
Hayo yamethibitishwa na Msemaji Mkuu wa Serikali;
Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza kununua kila goli kwa Sh5 milioni litakalofungwa na Simba na Yanga katika michezo yao ya kimataifa mwishoni mwa wiki hii. Ametibitisha Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa.
Simba itakuwa mwenyeji wa Raja Casablanca Februari 18 mwaka huu katika Ligi ya Mabingwa Afrika huku Yanga ikiwaalika TP Mazembe Februari 19, 2023, mechi zote zitachezwa Uwanja wa Benjamin Mkapa.
Hayo yamethibitishwa na Msemaji Mkuu wa Serikali;
*******
Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza kununua kila goli kwa Sh5 milioni litakalofungwa na Simba na Yanga katika michezo yao ya kimataifa mwishoni mwa wiki hii. Ametibitisha Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa.
Simba itakuwa mwenyeji wa Raja Casablanca Februari 18 mwaka huu katika Ligi ya Mabingwa Afrika huku Yanga ikiwaalika TP Mazembe Februari 19, 2023, mechi zote zitachezwa Uwanja wa Benjamin Mkapa.
******
MADA NYINGINE ZENYE AHADI YA FEDHA KWA SIMBA NA YANGA
MADA NYINGINE ZENYE AHADI YA FEDHA KWA SIMBA NA YANGA
- Rais Samia aongeza dau, kutoa Tsh. Milioni 10 kwa kila Goli kwa Yanga na Simba (CAFF na CAFCL)
- Rais Samia kulipa Tsh. Milioni 10 kwa kila Goli la CAF
- Rias Samia kununua kila goli la Yanga kwa Tsh. Milioni 20
RAIS SAMIA AAHIDI KUTOA NDEGE KWA TIMU YA YANGA
MABANGO YA RAIS SAMIA KUBEBWA NA MASHABIKI WA MPIRA
MALALAMIKO YA MASHABIKI WA SIMBA KWA SERIKALI KUPENDELEA TIMU YA YANGA
- Serikali yaonesha ushabiki wa wazi kwa Yanga kupeleka mashabiki South Africa
- Ahmed Ally: Si jambo jema hata kidogo Serikali kutoa Posho ya 1.2M pamoja na Usafiri kwa Mashabiki wa Yanga, Mpira ni Starehe
- Hili halikubaliki ni kama ubaguzi kwenye timu kama Simba
- Serikali iwe makini, itaigawa Nchi
- Msigwa: Ufafanuzi wa suala la Simba