Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ni kuwatia motisha ili wapambane kufa kupona washindeMama angesubiri kwanza...
Anunue baada ya watu kufunga hivi watauana
Mkuu hao jamaa wasikusumbue akili, tumeshawazoea.Kunya anye kuku akinya bata amehara, "mabrifukesi" yenye vibunda vilikuwa vinagawiwa tuu mabarabarani na hakuna sehemu uliandika pesa inachezewa.
We unadhan yatafungwa magoli mangapi? Hata yakifungwa manne ni milioni 20 tu, shida ipo wapi katika kutoa hamasa?Hizo pesa Rais angetafuta vituo vya watoto yatima akawapatie walezi zao, hao Simba na Yanga wanajua ushindi ni jukumu lao, na mbele ya safari kuna pesa nyingi watapata wakijitahidi kufika..
Labda kwa timu ya taifa ndio angefanya hivyo.
Tofauutisha reward na motivationMama angesubiri kwanza...
Anunue baada ya watu kufunga hivi watauana
Mbona kila kitu twakosoa tu? Kuna ubaya gani akichagiza mambo ya soka? Ifike mahali tuelewe kuwa rais naye anahisia za soka, na tusimpangie aziexpress vipi.Hizo pesa Rais angetafuta vituo vya watoto yatima akawapatie walezi zao, hao Simba na Yanga wanajua ushindi ni jukumu lao, na mbele ya safari kuna pesa nyingi watapata wakijitahidi kufika..
Labda kwa timu ya taifa ndio angefanya hivyo.
😅Nenda kweny hoja acha self defenseWewe unakula hostel ndo kwanza hujamaliza first year
Reward inaweza ikawa motivation vilevile in long run....Tofauutisha reward na motivation
Sasa ndo umeongea nini hapo...Ngada FC, Sembe FC, Pusha FC, Punda FC, Bwimbwi FC watajifunga hata 2.