Mateo Kovasic
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 420
- 334
Hii nzuri sana, italeta “motivational”
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe hupendi hamasa ?...acha vijana wakapambane wapate pesa za kuongeza mlo.Tunarudi tena kule kule!
Acha kupangia watu namna ya kutumia pesa zao......tafuta za kwako zipangie matumizi.Hizo pesa Rais angetafuta vituo vya watoto yatima akawapatie walezi zao, hao Simba na Yanga wanajua ushindi ni jukumu lao, na mbele ya safari kuna pesa nyingi watapata wakijitahidi kufika..
Labda kwa timu ya taifa ndio angefanya hivyo.
Hivi kwa mfano Simba na Yanga wakapigwa 3-2 kila mmoja atatoa hiyo 20ml?Mama angesubiri kwanza...
Anunue baada ya watu kufunga hivi watauana
Sijakuelewa mkuu, inamaana za weekend hii hazihusiki?Kwa nini wamechagua mechi za wekend ijayo?
Mama Samia mjanja anajua pesa yake haitapotea
Maana hakuna ujanja wa Simba kumfunga Raja Casablanca saa moja usiku Dar
Na wala hakuna ujanja wa yanga kumfunga Tp Mazembe
Yani hapo ndo sijui..inamaana kikubwa wafunge hata kama watafungwa...Hivi kwa mfano Simba na Yanga wakapigwa 3-2 kila mmoja atatoa hiyo 20ml?
Yeye ananunua kila goli litakalofungwa na simba ama Yanga.Yani hapo ndo sijui..inamaana kikubwa wafunge hata kama watafungwa...
Ndo na mimi nimeelewa hivyoYeye ananunua kila goli litakalofungwa na simba ama Yanga.
Hata wafungwe 10 ila ikitokea wamefunga hata 1 atalinunua.
Hi ndio comment ya msingi Sana niishie hapotuHizo pesa Rais angetafuta vituo vya watoto yatima akawapatie walezi zao, hao Simba na Yanga wanajua ushindi ni jukumu lao, na mbele ya safari kuna pesa nyingi watapata wakijitahidi kufika..
Labda kwa timu ya taifa ndio angefanya hivyo.
Wee c unajifanyaga mwan cccm Sasa ccm wanafanya madudu tulia nyau wewMkuu sikatai ila kwa uchumi wa taifa hili huu unaitwa ufujaji wa pesa za wakulima je atatumia mshahara wake nani ana hakiki hilo .
USSR
Hizo hamasa ndizo zinazosababisha timu kucheza kwa presha. Hamasa kama hizo zingefanyika ndani ya klabu kati ya wachezaji/benchi la ufundi na viongozi/wadhamini wao.Wewe hupendi hamasa ?...acha vijana wakapambane wapate pesa za kuongeza mlo.
Rais wa Tanzania amesema atatoa Tsh 5mil kwa kila goli litalofungwa na hizo timu tajwa, mwishoni mwa wiki hii, watakapokuwa wakicheza michezo yao ya Kimataifa.
Hayo yamethibitishwa na Msemaji Mkuu wa Serikali;
=====
Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza kununua kila goli kwa Sh5 milioni litakalofungwa na Simba na Yanga katika michezo yao ya kimataifa mwishoni mwa wiki hii. Ametibitisha Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa.
Simba itakuwa mwenyeji wa Raja Casablanca Februari 18 mwaka huu katika Ligi ya Mabingwa Afrika huku Yanga ikiwaalika TP Mazembe Februari 19, 2023, mechi zote zitachezwa Uwanja wa Benjamin Mkapa.
Chanzo: Mwananchi
TPM apewe kabisa Mil 15 zake...Rais wa Tanzania amesema atatoa Tsh 5mil kwa kila goli litalofungwa na hizo timu tajwa, mwishoni mwa wiki hii, watakapokuwa wakicheza michezo yao ya Kimataifa.
Hayo yamethibitishwa na Msemaji Mkuu wa Serikali;
=====
Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza kununua kila goli kwa Sh5 milioni litakalofungwa na Simba na Yanga katika michezo yao ya kimataifa mwishoni mwa wiki hii. Ametibitisha Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa.
Simba itakuwa mwenyeji wa Raja Casablanca Februari 18 mwaka huu katika Ligi ya Mabingwa Afrika huku Yanga ikiwaalika TP Mazembe Februari 19, 2023, mechi zote zitachezwa Uwanja wa Benjamin Mkapa.
Chanzo: Mwananchi
sasa hayo anayofanya yana faida gani kwetu ?Ujinga upi?kijana jiangalie