Mkuu sorry hii ilikua game ya liva na nan vile ...niitafute maana kubishana na wasiojua mpira sitaki kumaliza nguvu zangu....
Muwe mnaangalia mpira msiwe kama wamama
Kifupi refarii kawahujumu Azam
Kwanini afanye mjadala pale, maana yake kiakili amewacheza Azam
Kwakuongea na baadhi yao na mpira kuanza mafichoni ..... refarii hakupaswa kuruhusu ule uhuni
Endapo angekuwa sio sehemu ya majadiliano may be lingeweza kuwa goli
Wachezaji ndiyo walikuwa wanamuongelesha refa badala ya kuzuia mpira, kosa ni la wachezajiMatukio ni mengi ila labda hujaelewa.
Refarii alikuwa anaongea na watu(wakabaji wa mpira)
Kama alikuwa haongei nao,it is right.
Sasa hapo si wamesha weka ukuta kabisa
Muwe mnaangalia mpira msiwe kama wamama
Ugumu wa tukio la simba hupo kwenye yale mazungumzo ya wachezaji wa Azam na RefaMkuu sorry hii ilikua game ya liva na nan vile ...niitafute maana kubishana na wasiojua mpira sitaki kumaliza nguvu zangu....
Takataka ni hao, wachezaji wa AZAM waliofanya uzembe na kuruhusu kufungwa goliMarefarii wa bongo takataka
Wachezaji ndiyo walikuwa wanamuongelesha refa badala ya kuzuia mpira, kosa ni la wachezaji
Pole! Unateseka ukiwa wapi? Usiyempenda kaja! Ukichomoa tarehe 03 Julai, unainhia tareha 25 July! Pole sana!!Ni mjinga tu au mtu asiyejua kanunu za mpira anaweza kusema ni goli halali lile. Mpira uliokufa unaanzishwa na refaree.
Refa hakuwa sehemu ya mjadala, alikuwa anasongwa!! Faulo ya wazi wacheze wao na refa wamsonge wao, pole yao na imekula kwao! Wamejifunza!!Refa alikuwa sehem ya mjadala
Refa hakuanzisha mpira. 2. Hakuhesabu hatua kwa ajili ya azam kuweka ukuta. Goli haram
Refarii ndiyo nini mkuu?Ni sahihi mkuu.
Refarii kwa kuongea na wachezaji ina maana mchezo haupo kwa muda huo.
Ila kama walikuwa wanazungumza wenyewe sawa.
PoleniMarefarii wa bongo takataka
Kifupi refarii kawahujumu Azam
Kwanini afanye mjadala pale, maana yake kiakili amewacheza Azam
Kwakuongea na baadhi yao na mpira kuanza mafichoni ..... refarii hakupaswa kuruhusu ule uhuni
Endapo angekuwa sio sehemu ya majadiliano may be lingeweza kuwa goli
Watafisirie hawa ndugu zetu maana wote wanaobisha lugha ya malkia ni tatizo kwao!!
Am sorry to say hujui mpira Wala hufuatilii mpira.1. Sasa refarii alikuwa anajadili nini nawachezaji?
2. Kujadiliana na wakinga ukuta tuseme refarii kachangia kuwahujum?
3. Kwanini refa aingilie nakuwapa maelezo azam.... alitaka wapange ukuta? Alitaka wasogee nyuma?
Please
Mama ako huwa haangalii mpira? Pole
Muwe mnaangalia mpira msiwe kama wamama