Goli la Simba dhidi ya Azam ASFC 2021

Sio kwamba unamuogopa mnyama
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Mimi napenda ladha ya soccer kwa mshindi anayeshinda vizuri na kila mmoja anaridhika. Mshindi na aliyeshindwa.

Ujanja ujanja na ghiriba .....
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Mimi napenda ladha ya soccer kwa mshindi anayeshinda vizuri na kila mmoja anaridhika. Mshindi na aliyeshindwa.

Ujanja ujanja na ghiriba .....
uridhishwe kama nani?
 
Mkuu yanafungwa sana lakini marefa huwa hawafanyi distraction.... ikitokea anapiga filimbi ku align
Iangalie vizuri clip iliyotupiwa kwenye uzi huu. Hii clip ni ya mechi nyingi. Kuna mechi moja wachezaji walikuwa wanamzonga mwamuzi na free kik ikapigwa refa akakubali goli na mpira ukawekwa kati. Kuna nyingine golikipa alikuwa ameegemea goli ili aanze kuwapanga wachezaji wake na fasta free kik ikapigwa akabaki ameegemea goli wakati nyavu zinatikisika!!
 
It's all over, let's wait for the final now.
 
Refa ndo aliwafuata wachezaji wa wa Azam au wao ndio wakimfuata refa?
Labda tuangalie na sheria 17 zinasemaje
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Mimi napenda ladha ya soccer kwa mshindi anayeshinda vizuri na kila mmoja anaridhika. Mshindi na aliyeshindwa.

Ujanja ujanja na ghiriba .....
Kwenye football kitu kama hicho ni ngumu, pamoja na VAR, goal line technology, marefa watano
 

Mpe credit Jr.Farhanjr,umeicopy kwa page yake ukaileta kama ilivyo na ukamute kutoa credit,unless uwe ni wewe ndiyo mwenye Original post kule IG [emoji3][emoji3]
 
Mpe credit Jr.Farhanjr,umeicopy kwa page yake ukaileta kama ilivyo na ukamute kutoa credit,unless uwe ni wewe ndiyo mwenye Original post kule IG [emoji3][emoji3]
Huyo mwenyewe uliemtaja ka-copy.
Original author ni Kumwembe.
 
1. Sasa refarii alikuwa anajadili nini nawachezaji?

2. Kujadiliana na wakinga ukuta tuseme refarii kachangia kuwahujum?

3. Kwanini refa aingilie nakuwapa maelezo azam.... alitaka wapange ukuta? Alitaka wasogee nyuma?

Please
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…