Goli la Simba dhidi ya Azam ASFC 2021

Goli la Simba dhidi ya Azam ASFC 2021

Lile bao hakuna kosa kwa upande wa Simba wala Mwamuzi, ni akili kubwa ya Wachezaji wa Simba kwenye hatua kama zile

Rejea Simba dhidi ya Nkana kwenye Klabu bingwa Afrika, move ya faulo ilikuwa kama ile, Wachezaji wa Nkana walipoteza concentration, Simba wakawahi kuweka (Quick thinking)

Azam au Mtu yoyote ambaye ni Mwanasoka ajue inapotokea faulo yoyote lazima kwanza ukazibe mpira, zibeni mpira huku wengine wanaongea na Mwamuzi

Wenzetu Ulaya ile mali hata akichezewa faulo anawahi kuidaka kwanza ikae eneo lake, wengine kwenye ukuta na wengine wanakaa karibu na mpira

Sasa Azam wengine wapo kwa Mwamuzi na wengine wanajipanga, wakaacha mpira kwa Simba, ni akili ya haraka Simba wakaitumia kufunga lile bao, hizo ndio akili za Wazoefu

Kilichotokea ni kuendelea kujifunza, kukomaa na kujua nini kinahitajika kwa wakati ganiView attachment 1830891

Ukuta kwenye mpira sehemu hiyo karibu na goli ndio unapangwaga hivyo.. kwa umbali huo

IMG-20210626-WA0023.jpg
 
Mkuu upo sahihi kabisa anaesimamisha mchezo no muamuz na anaeanzisha mchezo no muamuzi Simba walianzisha bila filimbi ya muamuzi Cha ajabu atamuamuzi alikurupuka kukimbia kuangalia mpira ulioingia golini na kuita mpira Kati ni upuuzi wa muamuzi asiyejua kazi yake au kunakitu kilikua kinaendelea kichwani kwake.
 
Mkuu upo sahihi kabisa anaesimamisha mchezo no muamuz na anaeanzisha mchezo no muamuzi Simba walianzisha bila filimbi ya muamuzi Cha ajabu atamuamuzi alikurupuka kukimbia kuangalia mpira ulioingia golini na kuita mpira Kati ni upuuzi wa muamuzi asiyejua kazi yake au kunakitu kilikua kinaendelea kichwani kwake.
Hujaangalia mpira mkuu nadhani
 
Humu wamejaa mashabiki wasiojua mpira.Ni sawa na wachambuzi wengi wa soka wa kibongo.
 
Back
Top Bottom