Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Sasa kama wao wana wenye akili wawili..huoni wana afadhali kuliko nyie ambao wote ni mbumbumbu ? Na hii ya mbumbumbu ni mwenyekiti wenu aliwaitaWenye akili kule ni wawili tu na majina tulitajiwa.
Ushamba wa michuanao. Ingekuwa ahyly ungeona refa mwenyewe angeendaHivi kwanini wachezaji wa Yanga hawakumzonga refa kwenda kwenye VAR?
Mkuu hii ni app ya kuangalia mpira cyoView attachment 2955309
SABC wao walishahesabu
Waamuzi wa hii mechi walifanya kitendo cha kihuni sana. Na uzuri dunia imeona kila kitu.Gumzo linaloendelea hapa South Africa kwenye mitandao ni kwamba Yanga ndio wameshinda mechi lakini Mamelodi ndio walionufaika.
Nikiweka ushabiki wangu pembeni Mimi huwa napenda Sana kujifunza Vitu nisivyovijuwa.
South Africa wapinzani ni Chiefs na Orlando, lakini ukiwafuatilia vizuri unakuta wote wameungana kumshutumu Motsepe na kuilaani Mamelodi.
Inshort Ile Support ambayo kocha wa Mamelodi amelalamika haipati sasa ndio hatoipata kabisa hasa Kwa Wazulu wa Johannesburg, mechi za nusu fainali good option wakacheze Cape town watapata full support Kwa sababu Cape town hizi mechi za Champions league timu za Cape town hazina ubavu wa kutobowa.
Mashabiki wengi wa South Africa wanauliza, kama refa alikwenda kuangalia VAR ili ampe Kadi nyekundu Lomalisa, ni Kwa nini hakwenda kuangalia VAR kuhusu goli?
Ushauri wangu Yanga watume malalamiko rasmi CAF, refa aadhibiwe hizo pesa za Motsepe ndio ajikimu nazo, ila matokeo ya uwanjani huwa hayabadirishwi na Mimi si muumini wa ushindi wa mezani.
Yanga ndio Washindi ila Mamelodi wamenufaika.
Sisi siyo milimani, Al Kisasi hakhi.
mpira unaangaliaga prke yako mkuu au vp...?Refa haendi VAR kuangalia offside na goli kuvuka mstari
Anachoenda kuangalia ni penaty na potential red card
Hivo vingine anapewa taarifa tuu na VAR ama wenzetu ulaya mpira ukivuka tuu saa inavibrate
Na saa itavibrate endapo mpira utavuka wote bila kubaki hata punje.
Na ange inayoamua ni angle ya juu
Msunu mamelodiNdio sababu inachukiwa South Africa licha ya kuwakilisha nchi vizuri.
Na Kwa hii issue ya jana ukimwambia Mzulu asapoti Mamelodi atakutukana ”Msunu"
Kufananisha tukio la jana na matukio mengine ya ligi ya Tanzania ni kukosea kwa makusudi. Caf wana VAR ambayo inapaswa kutumika kusolve matukio tata kama la jana, so controversy ikitokea kwetu huku ni sahihi kumlaumu au kutokumlaumu refa maana hamna namna nyingine ya kuthibitisha usahihi au ubatili wa maamuzi yake sasa kwa jana tunauliza kwanini mwamuzi hakutaka kujiridhisha kwenye VAR, ipo ya nini?Haya mnayoshutumu Mamelodi na Motsepe ni hayo hayo mnashutumiwa huku mkicheza na kina Ihefu, mkuki kwa nguruwe...... kama hayo maneno ya kweli basi ile elbow refa angetoa penalty tu na Lomalisa angempa red tu na wala isingekuwa issue kubwa. VAR wamesema sio goal basi haya yanatokea kwenye mpira lakini zaidi hatujui wametumia tech gani kujirishisha mpira haukuvuka wote line ili kutoa uamuzi ni lazima uwe 100% sure mpira umevuka.
NakaziaKesi kwenda CAF ni sawa na kumpelekea nyani kesi ya tumbili. Tukubali tu tumetoka
South Africa mpaka dakika hii mjadala ni mkubwa kuliko Bongo.Kila kona ni Yanga tu.....utadhani kile kikundi ni cha wacheza rede, hakisikiki kabisa
Ukweli lile sio goal hataGumzo linaloendelea hapa South Africa kwenye mitandao ni kwamba Yanga ndio wameshinda mechi lakini Mamelodi ndio walionufaika.
Nikiweka ushabiki wangu pembeni Mimi huwa napenda Sana kujifunza Vitu nisivyovijuwa.
South Africa wapinzani ni Chiefs na Orlando, lakini ukiwafuatilia vizuri unakuta wote wameungana kumshutumu Motsepe na kuilaani Mamelodi.
Inshort Ile Support ambayo kocha wa Mamelodi amelalamika haipati sasa ndio hatoipata kabisa hasa Kwa Wazulu wa Johannesburg, mechi za nusu fainali good option wakacheze Cape town watapata full support Kwa sababu Cape town hizi mechi za Champions league timu za Cape town hazina ubavu wa kutobowa.
Mashabiki wengi wa South Africa wanauliza, kama refa alikwenda kuangalia VAR ili ampe Kadi nyekundu Lomalisa, ni Kwa nini hakwenda kuangalia VAR kuhusu goli?
Ushauri wangu Yanga watume malalamiko rasmi CAF, refa aadhibiwe hizo pesa za Motsepe ndio ajikimu nazo, ila matokeo ya uwanjani huwa hayabadirishwi na Mimi si muumini wa ushindi wa mezani.
Yanga ndio Washindi ila Mamelodi wamenufaika.
Sisi siyo milimani, Al Kisasi hakhi.
Weka video, usilete porojo.Ukweli lile sio goal hata
Vipi na nyie mmesahau mnavyoiba ligi kuuAfrica ni sehemu nzuri sana kuishi ila kumejaa watu wasiofaa kuishi nao,ni wanyama mfano mzuri ni huyo motsepe sijui.
Wanajua sie wavumilivu, tunaibiwa kura itakua goli.....🤣🤣🤣Ingekuwa timu kutoka Morocco au Misri ndo imefanyiwa hivyo pangechimbika