Goli la Yanga dhidi ya Mamelodi mzozo ni mkubwa South Africa kuliko Tanzania, CAF inapoteza credibility

Goli la Yanga dhidi ya Mamelodi mzozo ni mkubwa South Africa kuliko Tanzania, CAF inapoteza credibility

Gumzo linaloendelea hapa South Africa kwenye mitandao ni kwamba Yanga ndio wameshinda mechi lakini Mamelodi ndio walionufaika.

Nikiweka ushabiki wangu pembeni Mimi huwa napenda Sana kujifunza Vitu nisivyovijuwa.

South Africa wapinzani ni Chiefs na Orlando, lakini ukiwafuatilia vizuri unakuta wote wameungana kumshutumu Motsepe na kuilaani Mamelodi.

Inshort Ile Support ambayo kocha wa Mamelodi amelalamika haipati sasa ndio hatoipata kabisa hasa Kwa Wazulu wa Johannesburg, mechi za nusu fainali good option wakacheze Cape town watapata full support Kwa sababu Cape town hizi mechi za Champions league timu za Cape town hazina ubavu wa kutobowa.

Mashabiki wengi wa South Africa wanauliza, kama refa alikwenda kuangalia VAR ili ampe Kadi nyekundu Lomalisa, ni Kwa nini hakwenda kuangalia VAR kuhusu goli?

Ushauri wangu Yanga watume malalamiko rasmi CAF, refa aadhibiwe hizo pesa za Motsepe ndio ajikimu nazo, ila matokeo ya uwanjani huwa hayabadirishwi na Mimi si muumini wa ushindi wa mezani.

Yanga ndio Washindi ila Mamelodi wamenufaika.

Sisi siyo milimani, Al Kisasi hakhi.
Waamuzi wa hii mechi walifanya kitendo cha kihuni sana. Na uzuri dunia imeona kila kitu.
 
Refa haendi VAR kuangalia offside na goli kuvuka mstari

Anachoenda kuangalia ni penaty na potential red card

Hivo vingine anapewa taarifa tuu na VAR ama wenzetu ulaya mpira ukivuka tuu saa inavibrate

Na saa itavibrate endapo mpira utavuka wote bila kubaki hata punje.

Na ange inayoamua ni angle ya juu
mpira unaangaliaga prke yako mkuu au vp...?
 
Wakati simba anafungwa goli la off side mwaka juzi na Orando Pirates mliona kawaida na kuwadhihaki . Jana mmedhurumiwa ndo mnatafuta huruma siyo?

Haya mambo ndiyo huwa ninawambia , tuache ushabiki wa usimba na uyanga usio na tija kwenye soka letu. Penye ukweli tuseme siyo kuwa tunadhihakiana kwa kuanzisha nyuzi zisizo na mashiko.
 
Haya mnayoshutumu Mamelodi na Motsepe ni hayo hayo mnashutumiwa huku mkicheza na kina Ihefu, mkuki kwa nguruwe...... kama hayo maneno ya kweli basi ile elbow refa angetoa penalty tu na Lomalisa angempa red tu na wala isingekuwa issue kubwa. VAR wamesema sio goal basi haya yanatokea kwenye mpira lakini zaidi hatujui wametumia tech gani kujirishisha mpira haukuvuka wote line ili kutoa uamuzi ni lazima uwe 100% sure mpira umevuka.
Kufananisha tukio la jana na matukio mengine ya ligi ya Tanzania ni kukosea kwa makusudi. Caf wana VAR ambayo inapaswa kutumika kusolve matukio tata kama la jana, so controversy ikitokea kwetu huku ni sahihi kumlaumu au kutokumlaumu refa maana hamna namna nyingine ya kuthibitisha usahihi au ubatili wa maamuzi yake sasa kwa jana tunauliza kwanini mwamuzi hakutaka kujiridhisha kwenye VAR, ipo ya nini?
 
Mimi naona jumatatu mashabiki wa yanga waandamane kwenda kwa mama kama kawaida yao ili apate kulitazama na hili haiwezekani wananchi wanyonge wananyang'anywa haki yao kwa nguvu.
 
Kila kona ni Yanga tu.....utadhani kile kikundi ni cha wacheza rede, hakisikiki kabisa
South Africa mpaka dakika hii mjadala ni mkubwa kuliko Bongo.

Halafu inaonekana Kaizer Chiefs ndio Wana bifu zaidi na Mamelodi.
 

Attachments

  • 6BF9ACA7-9785-4BF8-8B19-B90C0F478C10.jpeg
    6BF9ACA7-9785-4BF8-8B19-B90C0F478C10.jpeg
    203.2 KB · Views: 3
Yanga wanataka kuifanya hii kitu iwe trend kubwa duniani, dunia yote isimame tuache hata kula mbususu tukae tu discuss goal la yanga... Acheni usenge
 
Gumzo linaloendelea hapa South Africa kwenye mitandao ni kwamba Yanga ndio wameshinda mechi lakini Mamelodi ndio walionufaika.

Nikiweka ushabiki wangu pembeni Mimi huwa napenda Sana kujifunza Vitu nisivyovijuwa.

South Africa wapinzani ni Chiefs na Orlando, lakini ukiwafuatilia vizuri unakuta wote wameungana kumshutumu Motsepe na kuilaani Mamelodi.

Inshort Ile Support ambayo kocha wa Mamelodi amelalamika haipati sasa ndio hatoipata kabisa hasa Kwa Wazulu wa Johannesburg, mechi za nusu fainali good option wakacheze Cape town watapata full support Kwa sababu Cape town hizi mechi za Champions league timu za Cape town hazina ubavu wa kutobowa.

Mashabiki wengi wa South Africa wanauliza, kama refa alikwenda kuangalia VAR ili ampe Kadi nyekundu Lomalisa, ni Kwa nini hakwenda kuangalia VAR kuhusu goli?

Ushauri wangu Yanga watume malalamiko rasmi CAF, refa aadhibiwe hizo pesa za Motsepe ndio ajikimu nazo, ila matokeo ya uwanjani huwa hayabadirishwi na Mimi si muumini wa ushindi wa mezani.

Yanga ndio Washindi ila Mamelodi wamenufaika.

Sisi siyo milimani, Al Kisasi hakhi.
Ukweli lile sio goal hata
 
Back
Top Bottom