Google Camera: Camera bora zaidi kwenye simu yako

Google Camera: Camera bora zaidi kwenye simu yako

Wakuu bila kupoteza muda,,Nimeshangaa kuona jukwaa la tech hadi leo hii hakuna uzi special wa GCam au Google camera.

Haina ubishi,hii ndio app bora ya Camera kuwahi kutokea,ambayo imetengenezwa na google wenyewe

Utakubaliana na Mimi kama tu umeshawahi tumia simu zao za pixel,zile simu zinapiga picha hatari,Hii yote imetokana na App bora ya camera waliyo nayo,ukiachilia camera specs.

FEATURES

Hii app ina features nyingi tu ila kubwa ninazoona ni 3 tu

1.GCAM POTRAIT MODE
Hii inajulikana kama bookeh effect au potrait mode kama nilivyo itaja,Hii ni ile feature ambayo camera inakua ina focus kwenye subject tu na kupotezea background huko nyuma,Nadhani ushaijua,Sasa potrait ya Gcam ni balaa maana inapiga mbele na nyuma,kwa maana hadi selfie camera ina potrait mode

hivyo kama utafanikiwa kuinstall basi utaenjoy hiyo feature na kuwashangaza marafiki zako as if unatumia Canon[emoji3]

2.HDR PLUS
Gcam inakuja na feature ya hdr+ ambapo picha zako zitaku very rich na hdr effect na kuzifanya kua bora zaidi ya stock camera.

3.Optimized Night mode
Kwa wale wazee wapenda picha za usiku basi Gcam ndio kiboko yake,hapa utapata great night shots kuliko stock camera ya simu yako.

DOWNLOADS

Sasa kwakua App hii ni special kwa sim za google na other android one devices basi ndio hapo kuna developers tofaut wakaweza ku port hii app kwa device zingine ili na sisi tuenjoy.

Hapa chini ninaweka link ya Gcam Hub ambapo ni kama center ya hizi app kwa simu zetu.,,hivyo utaingia na kusaka port sahihi ya simu yako



au pia unaweza nenda google Gcam for your device na ukapata link nzur zaidi.

make sure unafata maelekezo kama yatakuepo katika process ya kuintall

CHANGAMOTO

challenge kubwa ni ku crash kwa app kwa baadh ya simu hii ni kutokana na app hii kua ported na developers tofauti,hivyo usichoke kuchange port ya developer mwingine kama uliyo nayo inasumbua.

Wazee wa MTK devices hii kitu msahau tu,hakuna port ya mtk hadi sasa,,yani wakina Tecno na ndugu zake wote.

Baadh ya pics za Gcam naweka hapa chini,ila tu siwezi post sura yangu kwa privacy,nitaweka za wenzetu kutoka grup yaGcam huko facebook na baadh nilizopiga kwa sim yangu.



View attachment 1094995View attachment 1094996View attachment 1094997View attachment 1094998View attachment 1094999View attachment 1095000View attachment 1095005View attachment 1095006
Google wamewekeza sana katika softwares kuliko sensors kwenye upande wa camera....

Ila huawei ndo balaa kwenye upande wa sensors za camera za simu... I wish wangekuwa vizuri pia kwenye upande wa software.
 
Kuanzia p20 pro kila kitu kilibadilika... nilikuja kudata kwenye p30 pro niliposoma concept ya telescopic camera...

Google Pixel 3 series ndio the best cameras kwenyr soko kwa sasa despite the fact that simu zina rear camera moja tu.
These guys are the masters of computational photography ila ukitaka the most versatile camera, then Huawei P30 Pro hana mpinzani.

Nategemea Pixel 4 itakuwa na two rear camera moja ikiwa maalumu kwa kuchukua wide angle shots.
 
unazungumzia huawei y300 au? hakuna simu inakaa na charge kwa sasa kama huawei p30 pro... pia ndio simu inajaa kwa haraka 70% in 30 minute.... kwenye fast charging hakuna simu inaikuta huawei...

Labda tuwasubiri Xiami na 100W fast charger yao... ambayo wanadai itakuwa inacharge simu 100% kwa 17 minutes tu
Tatizo simu za huawei hazina fast charging, simu unachaji masaa matatu
Ila kwenye kamera wako vizuri
 
Mi natumia redmi note 6 pro imegoma asew au sijui nakosea wapi boss?

kcamp
mkuu redmi note 6 pro unatakiwa ku enable camera 2Api..ni ka process kidogo

hiyo simu yako ina twrp recovery?
 
Kuna vitu bado anakwana na camera moja...
kwenye teknolojia ya camera sidhani kama kuna anaemzidi Google..
kampuni zingine zinatoa mpk simu za camera 4 & bado hawamfikii yeye mwenye camera moja!
 
sana mkuu!
naamini na mwaka huu walivyoleta hiyo pixel 3a itasaidia kuongeza soko lake kwani wengi kilichokuwa kinatushinda ni bei
Pixel 3a na 3a xl ni bugdet phones
 
Kama unataka udonwload GCam nmechek hapa inaanza na 86mb hadi 120mb kaz kwenu wapenda picha nzur
 
Back
Top Bottom