ashomile
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 2,739
- 2,697
Mkuu siyo kwa simu zote asee kwa baadhiKama unataka udonwload GCam nmechek hapa inaanza na 86mb hadi 120mb kaz kwenu wapenda picha nzur
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu siyo kwa simu zote asee kwa baadhiKama unataka udonwload GCam nmechek hapa inaanza na 86mb hadi 120mb kaz kwenu wapenda picha nzur
Umefanyaje mkuu nashindwa hapa kwenye redmi note 6 pro🤔Nimefanikiwa kuweka Gcam kwenye redmi note 7.. Well ni camera bomba sana lkn kwa upande wangu sijapenda vitu viwili.
Kwanza kwenye selfie vitu vinageuka kwa maana ya kwamba kitu kilichokua kushoto kwenye object kinatokea upande wa kulia wa image. Na hakuna settings za ku disable hiyo feature.
Pili, ina crush nikipiga picha kwenye night sight mode.
So in the mean time, I'll stick to my stock camera.
Check PM mkuu kuna mishe nilikuuliza kama inawezekana boss.Mkuu siyo kwa simu zote asee kwa baadhi
Mkuu nimefanya ku google how to install gcam on redmi note 7 nikapata link nikasoma instructions kwanza halafu nikafanya yangu. So na wewe google kwa kuangalia model ya simu yako utafanikiwa.Umefanyaje mkuu nashindwa hapa kwenye redmi note 6 pro[emoji848]
Samsung j7 prime mkuusimu gan mkuu
Hamia mtaa wa pili ufaidiMkuu ipo kwa IOS?
Uko sahihi..ila sehem kubwa naona ni 2.55Huawei p30, ninasubiria ka mpunga fulani niivute, nadhani inagonga 2.1M kama sikosei, kwa sasa hamna simu bora zaidi ya hii kwa mawazo yangu
Sio kweli, huzijui weweTatizo simu za huawei hazina fast charging, simu unachaji masaa matatu
Ila kwenye kamera wako vizuri
ni budget phones kweli..ila ni budget phones bora!Pixel 3a na 3a xl ni bugdet phones
vitu vipi?Kuna vitu bado anakwana na camera moja...
Kiufupi google ila nimeona chenga na njia nilokutana nayo ni ya TWRP ndo maana nikakuuliza nilitaka fahamu je ni normal way au PC imehusika ila umetoa jibu jepesi sana anyway Ahsanteh mkuu.Mkuu nimefanya ku google how to install gcam on redmi note 7 nikapata link nikasoma instructions kwanza halafu nikafanya yangu. So na wewe google kwa kuangalia model ya simu yako utafanikiwa.
Wide ange najua ataintroduce kwenye pixel 4 na 4 xl... kuna issue km zzooming.vitu vipi?
wide angles?
Nimefanikiwa kuweka Gcam kwenye redmi note 7.. Well ni camera bomba sana lkn kwa upande wangu sijapenda vitu viwili.
Kwanza kwenye selfie vitu vinageuka kwa maana ya kwamba kitu kilichokua kushoto kwenye object kinatokea upande wa kulia wa image. Na hakuna settings za ku disable hiyo feature.
Pili, ina crush nikipiga picha kwenye night sight mode.
So in the mean time, I'll stick to my stock camera.