Extra miles
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 3,652
- 4,972
GPA ya 5 kutoka chuo gani? Isije kuwa kama wale wa St. Joseph walikuja na GPA za 4.5-5 kufika SUA hata 3.5 ikawa mbinde.
BA Kiswahili Fasihi, TEKU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
GPA ya 5 kutoka chuo gani? Isije kuwa kama wale wa St. Joseph walikuja na GPA za 4.5-5 kufika SUA hata 3.5 ikawa mbinde.
BA Kiswahili Fasihi, TEKU
Kupata maarifa napo ni kufanikiwa ndugu.Leo nilikua namwambia kijana wangu kwamba.
Shule itampa maarifa, lakini kusoma hakumpi guarantee ya kufanikiwa.
Lakini nilimwambia kwamba.
Akishaipata elimu, atakua namaarifa. Ili afanikiwe anapaswa kuwa mwenye bidii na nidhamu
Shida sio GPA, siku hizi waajiri wanaangalia vitu vingi. Mnaweza mkaenda kuomba kazi watu wawili wenye madaraja tofauti, akachukuliwa mwenye daraja la chini na yule wa daraja la juu akaachwa. Na sehemu zingine ukienda, huulizwi hata hivyo vyeti unafanyiwa interview tu na kuanza kazi. Vyeti siku hizi havina ishu sana, kiutendaji mtu wa second class anaweza akawa better zaidi ya mtu aliyepata first class ndio mana siku hizi wanaangalia criteria nyingi ukiachana na hayo mambo ya vyetiKwa mtazamo wangu tumechelewa kujua umuhimu wa pass za juu katika kupaisha Taifa kiuchumi nk
Hivi inakuwaje mwanafunzi amemaliza Chuo amepata GPA ya 4.8 au kwa wenzetu wa Arts wanapata hadi GPA 5 naye yupo mtaani hana ajira?
Kama ni hivi supp zifutwe tuShida sio GPA, siku hizi waajiri wanaangalia vitu vingi. Mnaweza mkaenda kuomba kazi watu wawili wenye madaraja tofauti, akachukuliwa mwenye daraja la chini na yule wa daraja la juu akaachwa. Na sehemu zingine ukienda, huulizwi hata hivyo vyeti unafanyiwa interview tu na kuanza kazi. Vyeti siku hizi havina ishu sana, kiutendaji mtu wa second class anaweza akawa better zaidi ya mtu aliyepata first class ndio mana siku hizi wanaangalia criteria nyingi ukiachana na hayo mambo ya vyeti
I think you are too theoretical as well,fanya uchunguzi kidogo tembelea hata gereji chache na maeneo ya site hao watu wa VETA wa siku hizi ni weupe kuliko unavodhani....Mtaani elimu ya veta Ina thamani kuliko ya chuo kikuu
Lakini angalau bora waanze na theoretical then awawezi pata shida kwenye practicalI think you are too theoretical as well,fanya uchunguzi kidogo tembelea hata gereji chache na maeneo ya site hao watu wa VETA wa siku hizi ni weupe kuliko unavodhani....
Namfahamu rafiki angu UDSM certificate alitoka with distinction about 4.7 ila hakuwa na connection angesoma degree direct. Akaenda OUT LLB akapiga GPA ya Tano na hakupewa tuzo ya mwanafunzi bora. Dizzle anatafuta pesa yupo mtaani since 2018,aende law school ila he is seriously and tallentedHizo GPA ya 5 mnapataje Nyie vitoto vya sasa? Unajua maana ya GPA 5 Points.
Maskini Tanzania! Ni ya chuo gani hiyo GPA?
Lazima tutofautishe MTU aliyesoma full time na OUTNamfahamu rafiki angu UDSM certificate alitoka with distinction about 4.7 ila hakuwa na connection angesoma degree direct. Akaenda OUT LLB akapiga GPA ya Tano na hakupewa tuzo ya mwanafunzi bora. Dizzle anatafuta pesa yupo mtaani since 2018,aende law school ila he is seriously and tallented
OUT anashida gani? Anajisomesha mwenyewe ka kuku wa kienyeji. Hangiii na act kwenye mtihani by that time... hana course work kwamba itamuongezea alama... hamjui lecture kwamba atamuhongaLazima tutofautishe MTU aliyesoma full time na OUT
hahahahah ,it doesn't matter what you know but who you know.Kwenye hii duania haijalishi unajua nini. Kinacho matter ni unajuana na nani.
😂😂😂Binadam bhan😂😂😂umenikumbusha mbali kipindi na mimi nimemaliza chuo nahustle hakuna aliekua na time na mimi,wote wenye uwezo wananicheki tu waone nitaishia wapi,wengine wananisikitikia eti kasoma lakini hana kazi,anadhurura mtaani,elimu haijamsaidia
Nimekuja kulamba shavu kwa juhudi zangu,mambo safi sasa naanza ona simu simu,mara naitwa kijana wetu,mara kaka.
Walikua na vijigari vyao,wamejenga vijumba wanajidai dai,nimewalipa mara mbili.
Binadamu ni wanafiki,nimechinjia wote baharini,wanabaki wanasema tu.ooh eti ninadharau 😂
Ulikua huna time na mimi,na mimi sina time na wewe
Sitakagi ujinga
Thubutuu. Eti kuku wa kienyejiOUT anashida gani? Anajisomesha mwenyewe ka kuku wa kienyeji. Hangiii na act kwenye mtihani by that time... hana course work kwamba itamuongezea alama... hamjui lecture kwamba atamuhonga
lecture ?OUT anashida gani? Anajisomesha mwenyewe ka kuku wa kienyeji. Hangiii na act kwenye mtihani by that time... hana course work kwamba itamuongezea alama... hamjui lecture kwamba atamuhonga
Aliesoma sio wa kumdharau ipo siku yake tu naamini kabisa ndugu[emoji23][emoji23][emoji23]umenikumbusha mbali kipindi na mimi nimemaliza chuo nahustle hakuna aliekua na time na mimi,wote wenye uwezo wananicheki tu waone nitaishia wapi,wengine wananisikitikia eti kasoma lakini hana kazi,anadhurura mtaani,elimu haijamsaidia
Nimekuja kulamba shavu kwa juhudi zangu,mambo safi sasa naanza ona simu simu,mara naitwa kijana wetu,mara kaka.
Walikua na vijigari vyao,wamejenga vijumba wanajidai dai,nimewalipa mara mbili.
Binadamu ni wanafiki,nimechinjia wote baharini,wanabaki wanasema tu.ooh eti ninadharau [emoji23]
Ulikua huna time na mimi,na mimi sina time na wewe
Sitakagi ujinga
Ajira za Wahadhiri kila siku zinatangazwa kwanini haombi?? Hata leo ukiingia kwenye website ya Sekretarieti ya ajira utaona matangazo ya nafasi za Wahadhiri.Kwa mtazamo wangu tumechelewa kujua umuhimu wa pass za juu katika kupaisha Taifa kiuchumi nk
Hivi inakuwaje mwanafunzi amemaliza Chuo amepata GPA ya 4.8 au kwa wenzetu wa Arts wanapata hadi GPA 5 naye yupo mtaani hana ajira?
4.7 LLB NA LLM ? HUELEWEKI. HAKUNA GPA ZA 5 MASOMO YA ARTS UDSM KASOME PS TUKUONENamfahamu rafiki angu UDSM certificate alitoka with distinction about 4.7 ila hakuwa na connection angesoma degree direct. Akaenda OUT LLB akapiga GPA ya Tano na hakupewa tuzo ya mwanafunzi bora. Dizzle anatafuta pesa yupo mtaani since 2018,aende law school ila he is seriously and tallented