House of Commons
JF-Expert Member
- Oct 1, 2013
- 2,179
- 2,177
Sure, that is what I always tell guys of mineLeo nilikua namwambia kijana wangu kwamba.
Shule itampa maarifa, lakini kusoma hakumpi guarantee ya kufanikiwa.
Lakini nilimwambia kwamba.
Akishaipata elimu, atakua namaarifa. Ili afanikiwe anapaswa kuwa mwenye bidii na nidhamu