1987SANAWA
JF-Expert Member
- Nov 29, 2013
- 418
- 526
Mkuu hiyo taasisi ina pesa nyingi tangu zamani na mpaka sasa. Kwenye kunufaika watu wanaanza wakubwa wa vitengo, hawa wa kawaida mpaka awe na connection au anajua kutumia mianya ya kula(gap).Basi nikajua hii taasisi ina mahela kumbe hamna kitu?
Poleni aisee
CEO waUmeongea Vema, nimepokea message nyingi PM ambazo zimetoka kwa wafanyakazi wenzangu wa GPSA wakinipa habari za uozo kuhusu viongozi ambazo nilikuwa sizijui na inaonesha hawafurashwi kama Mimi japo walikosa room ya kuziongelea.
Nitachangia kidogo kwenye hii kwa sababu nimechoka na kesho naenda kuitumikia GPSA nadhani nitaongea kesho zaidi kama nikipata mda.Kwanza hongera kwa kuhama hii taasisi, Mimi ninachoamini GPSA sio taasisi mbaya tatizo liko utawala CEO wa Sasa na hasahasa DBSS huyu kiukweli Gereza linamhusu na siku si nyingi anaenda kulipukiwa na bomu..
Kuhusu huyo David ni kweli alikuwa masoko na ni kweli alishawahi kuachishwa kazi na sababu mojawapo ya kuundiwa majungu na kufukuzwa ni upigaji uliokuwa unafanyika kwenye hiki Kitengo cha Masoko siku za hivi karibuni kilishawahi kuwa na meneja kamili (nitajaribu kuongea na walionitumia message private nijue kilitokea nini mpaka akatolewa) baada ya kutolewa akakaimishwa bwana mdogo fulani (nisingependa nimtaje jina kama wewe unavyowataja) ambaye ni mfeleji wa DBSS kufanya mambo yake na huyu bwana mdogo nampa pole sana maana Moto unaenda kumlipukia siku si nyingi maana ushahidi upo hadi wa file no. Na hii itamhusu na FM ( ambaye nisingependa nimtaje jina pia) japo huyu dada FM namhurumia kwa yatakayomkuta maana ni mpole nadhani tu anakosa uthubutu wa kuzuia huo ulaji wao, uwe na usiku mwema japo.
Mimi Binafsi ninachomuomba huyu mama CEO atuhamishe tu wafanyakazi wote wa mikoani atulete makao makuu maana anasema hatuna kazi huku that's why tunapaswa kulipwa kidogo tofauti na wa makao makuu Sasa ili tufanye kazi vizuri atulete wote makao makuu.
Sio rahisi kihivyo, labda uwe umejitoa muhanga sana. Na system iliopo kwa maandishi ya humu ni ya kulindana ndani kwa ndani kwa baadhi ya watu.Waswahili sisi ni wabobezi wa fitina na majungu, kuna mtu anatafutwa, mtujuze mkifanikiwa, acheni roho mbaya, si mna vikao vya wafanyakazi na mnayo Board of Directors, pelekeni huko malalamiko yenu, shubamit
Usinihusishe na upuuzi wa kijinga mkuu, mimi nimesema kile nilichokishuhudia pale kipindi nikiwepo tena hata huyu CEO alikuwa hayupo alikuwa Mwambega kipindi hicho, acha kutetea vitu kwa mambo ya kipumbavu..labda kama umeguswaBora na ww umelishtukia jambo hilo Mkuu, kuna mmoja naona ni Hasira za kuhamishwa hapo maana anasema alikua Mgavi 2015 akapelekwa Mkoani. Ina maana uchafu wa hiyo Taasisi yao ni kwa miaka hii tu wakati yeye Mgavi hakukua na uchafu?
Hapa kunaweza kuwa na Ukweli pia kukawa na MAJUNGU kwa kiasi kikubwa. Fanyeni Kazi Umbea acheni
Unajibu kirahisi sana mkuu, madai yaliyoleta hapa ni makubwa nashauri vyombo vya usalama vipite pale ili kama hawa walioleta madai nao walihusika ila mianya yao imezibwa, kwa uchunguzi wao watajua na hatua stahiki zichukuliwe...CEO mpya anachapa kazi na kuwanyoosha mpaka mnaweweseka. Sehemu yoyote akija CEO mpya mchapakazi na kuparekebisha wazee wa mirija lazima wachachawe ndio kinachotokea hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Usinihusishe na upuuzi wa kijinga mkuu, mimi nimesema kile nilichokishuhudia pale kipindi nikiwepo tena hata huyu CEO alikuwa hayupo alikuwa Mwambega kipindi hicho, acha kutetea vitu kwa mambo ya kipumbavu..labda kama umeguswa
mpaka naondoka mimi meneja wangu wa mkoa alifukuzwa kazi kwa ajili ya ufisadi, alihamisha mapato ya taasisi kuwa fedha zake binafsi.
ndugu yangu, humu sidhani kama kuna watu wanajuana, watu wameleta malalamiko.. unataka kuyafunika kwa maneno mepesi yasiyo na msingiKuna ID hapo kama tatu hii nahisi ni za mtu huyo huyo mmoja amefungua mpya ili kuongezea uzito wa hoja yake ionekane wengi wanaujua ubaya wa GIPUSA!
wewe jamaa umenifanya nicheke, mimi nilikuwa na maamuzi gani mbele ya CEO wangu? ndio, nakubaliana na wewe na mimi pia nichunguzwe kama nahusika ni vema nikapata haki yangu sahihiTwende Taratibu Mkuu acha Ukali, kila mtu akihoji mnasema ameguswa. Nauliza hivi
Mbona kuna ID ya mwenzako hapo imesema huyo Mwambegu sijui alikua na yy Fisadi japo kastaafu? Na ww si ulikuwepo kipindi hiko hiko haukuona Madudu yake? Meneja anafukuzwa huyo Mzee alibaki vp?
Na wewe unahusika uchunguzwe
Mkuu hiyo ofisi haina hela sasa hasira ni za nn mdogo angu yupo hapo makao makuu na anasaka uhamisho aende popote lkn sio gpsaBora na ww umelishtukia jambo hilo Mkuu, kuna mmoja naona ni Hasira za kuhamishwa hapo maana anasema alikua Mgavi 2015 akapelekwa Mkoani. Ina maana uchafu wa hiyo Taasisi yao ni kwa miaka hii tu wakati yeye Mgavi hakukua na uchafu?
Hapa kunaweza kuwa na Ukweli pia kukawa na MAJUNGU kwa kiasi kikubwa. Fanyeni Kazi Umbea acheni
Nlishawahi kufuatwa na jamaa flani back in 2008, alipewa connection na shemeji yangu, nikamvutia waya dingi Mjeda akaniambi "NISITHUBUTU KUSIKIA UMEINGIA HUKO, SOMETIMES MAISHA YA HUKO NI UTUMWA INATEGEMEA NA KITENGO, KAMA ULIKATAA JESHI PAMBANA HUKOHUKO URAIANI"Duh...!.
Maadam nia yako ni habari hizi zifike kule kunako, tayari zimefika wala aliyezifikisha sio mimi bali zimemfikia mhusika kwa yeye mwenyewe in person kuzisoma
Hili la Kusikia kuwa mimi ni TISS, naomba usiendelee kusikia tuu kwa wengine, mimi ni li TISS lenyewe haswa born and breed TISS na humu jf nimejitaja wazi kabisa bila kuficha kitu
Hivi uongo kwamba TISS hawastaafu kwanini unaaminiwa? - JamiiForums
P
jakatugu utetezi wako unasubiriwa hukuKwanza nimefurahi umeamua kutolog off, nianze na madaraja. Kwanza kwenye utumishi wa umma kinachoangaliwa ni sifa na si miaka uliyokaa kwenye taasisi, miaka ni sifa moja wapo tu vipi mtu kama alikuwa na ishu kinidhamu na amekaa miaka 20 mwingine hama ishu ya kinidhamu na hana sifa ila amekaa miaka michache, kuelewa suala la utumishi unapaswa kujua standing order, kanuni za adhabu na marekebisho yake na maelekezo ya serikali kuhusu hikama. Na sifa za mtumishi,
Kuhusu dereva ninavyojua kila kitu kinaendana na bajeti kama ipo au ilikuwepo. Nijuavyo unapoandikwa barua kuna copy anayopewa mtumishi. Nadhani mmeendekeza majungu kawakuwa mmebanwa kwenye wizi wenu. Swala la categorization ni mpaka iwe approved na utumishi, kikubwa nadhani you need to be exposed na mambo ya utumishi.
Hapa naanza kupata mashaka kama ulipata induction juu ya majukumu yako nakushauri upitie upya standing order. Nashukuru kwamba umeendelea kudhihirisha kwamba ni watu wa clearing ambao wanatumiwa na wafanya biashara na ambao mianya yenu ya ulaji imepigwa. Nakumbuka mpaka naondoka kiberiti alikuwa mlinzi na sas yuko clearing ambao tunasema wanaonekana kukasirika na serikali kuamua ukomboaji ufanyike GPsa na si watu binafsi na makuadi wao.
Kama kiberiti ana copy ya barua kwanini hajaipeleka kwa CEO maana inaruhusiwa.
Director of Business Support Services (DBSS) mkuu Shark nadhani hapo tuko sawaDaaaah mkuu umemaliza kabisa aseeee mpk hapa naona kama huyo DBSS keshatepeta, hivi kirefu chake ni nini ili wafuatiliaji wakiwa wanaandika wasikosee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi PPRA na GPSA wanafanya kazi tofauti?Government Procurement Service Agency (GPSA) tatizo ni management kama yule DBSS hafai kabisa kuwa ofisini ni fisadi halafu mbinafsi na mbaya Zaidi anawahonga wakaguzi wanapokuja kumkagua na mambo yanaisha, na ili kulinda ugali wake anawala (anawagegeda) wafanyakazi wa kike walio wepesi kutongozeka ili wawe wanampelekea umbeya ambapo wengi wao anazawadia kwa kuwapa kipaumbele cha visafari na semina pale inapotokea yaani kama una mke wako anafanya GPSA humu jamaa hajali yeye anachovya tu,..na wa kiume nao anaselect wa kuwa wanampelekea umbeya kuhusu wafanyakazi wengine..
Ukiwa hujipendekezi GPSA maisha yako yanakuwa magumu, na CEO naye amemezwa na DBSS na mpenda sifa na maJungu Zaidi ya ufanisi wa kazi anatumia pesa nyingi kuhamisha watumishi kwa sababu ya umbeya tu anaopelekewa, kiufupi hana weledi wa kuongoza taasisi, na hawezi kuifikisha mbali na mara mia angepewa Liliani aliyekuwa ana - kaimu.
GPSA inatakiwa iwe juu ya MSD kimapato na kimaslahi kwa watumishi wake,tuna vyanzo vingi vya mapato lakini viongozi wanawaza ufisadi tu, sasa eti wafanyakazi wa mikoani tunalipwa posho kidogo kulinganisha na makao makuu kisa tuko mikoani tunatakiwa kulipwa tofauti na wa makao makuu, sasa kama hatuna umuhimu kisa tuko mikoani si bora tuhamishiwe wote makao makuu na mikoani kusiwe na wafanyakazi kama hawaoni umuhimu wetu na posho sio ya uhakika mpaka viongozi waanze kupiga majungu na kuchagua watu wa kuwapa…
KINACHOTOKEA SASA watu majembe wote wanaondoka, asilimia 90 ya wafanyakazi wa GPSA hawana moyo wa kufanya kazi kwenye ofisi hiyo wapo wakisubiri wapate nafasi waondoke sehemu zingine
.
serikali ingetakiwa ipangue management ya GPSA YOTE, wengine wangetakiwa wawe magerezani kabisa kama DBSS..
Wanaidhinisha makato ya mshahara ya watumishi bila idhini yetu, eti mfuko wa faraja GPSA. Yaani unashangaa mshahara unatoka unakutana na makato usiyoyaelewa, sawa ni jambo jema.. why wasingekata hata kwenye nauli..mishahara yenyewe ni midogo na ndio tunategemea kuikopea, wanaongeza makato kitu ambacho kinatupunguzia kiwango cha mkopo bank wakati walikuwa na option ya kukata hiyo pesa ya mfuko kwenye posho zingine.
Hii tasisi watu hawaipendi kiasi kwamba ni vigumu kukuta watu wamevaa fulana ya GPSA maofisini, zaidi tukipewa huwa tunawapa wafanyakazi wetu wa ndani wavae au wpigie deki, ama tunawapa mama ntilie
Mkuu jakatugu sijaona uhuni wowote na wewe kama kiongozi haufai kabsa. Eti ni wivu kwa kukosa UCEO. SERIOUSLY.Wakiambiwa ukweli hawataki, walikuwa ni wezi sana, na walipoahamishwa kwa kushirikiana na wafanyabiashara sahizi wanaona uongozi haufai, na pia baada ya wao kukosa uCEO pamoja na kuact kwa muda mrefu wanaleta figisu na majungu. Yaani ni wahuni waliozoea kula kijinga sasa wamebanwa wanahema . Wengine wameamua kutengeneza parody account juzi jinga sana hawa . Wakajiandae upya uhuni wao unajulikana
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nini tofauti zao? Maana naona kuna lundo za taasisi zinafanya kazi mojaNdio
PPRA ni regulatorNini tofauti zao? Maana naona kuna lundo za taasisi zinafanya kazi moja