Baba Joseph17
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 9,517
- 9,762
Boss huwezi ukamsema mbele ya kadamnasi ya kikao labda kama umejitoa mhanga wakuhamishe na wabosi wengine kama huyo DBSS unaambiwa ni watu wanaofanya sana ishu za ulozi inaweza ukajikuta ubakatishwa maishaWaswahili sisi ni wabobezi wa fitina na majungu, kuna mtu anatafutwa, mtujuze mkifanikiwa, acheni roho mbaya, si mna vikao vya wafanyakazi na mnayo Board of Directors, pelekeni huko malalamiko yenu, shubamit
Wewe mzee jakatugu kweli umepaniki, mimi sijawahi kuwa GPSA na hapa niko GENEVA - USWISI mda huu ninavyoondika, kwa uzalendo nahitaji kufahamu hili maana umeonekana unalijua vizuri.Ni zenu mlioondolewa na sasa mazingira hayaruhusu.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Baada ya kusoma huu Uzi Jana Leo bahati nzuri inkakutana na mtu Fulani yuko GPSA kaniambia mambo ambayo ni DBSS wanafanya hadi nikamuonea huruma, inaonekana huyo DBSS anajina la Sanga na kama mjuavyo Sanga wengi wako kwenye system za Usalama wa nchi kwahiyo analindwa sana pia anatumia sana Ulozi nasikia ni balaa sana sasa ukiangalia ulozi wa kabila la Wakinga (wananunua utajiri kama anao) basi hapo wa kumuweza ni Ikulu tu wengine mtapotezwa bure
😀😛😀huyu jamaa apuuzwe kashapanick inawezekana anahusika, anatapatapa.Nashukuru kuwa wewe ni sehemu ya watu wa clearing ambao mnakereka na maamuzi ya serikali kuipa GPsa nafasi
Sent from my iPhone using JamiiForums
Acheni majungu, fanyeni kazi. Mbinu zenu za wizi zimebanwa mnaanza kulalamika. Kwa ufupi umeandika majungu, na hauna ushahidi mwizi mkubwa na fisadi. Na kwa ufupi CEO yupo hapo na ataendelea kufanya kazi kwa weledi kwa kulifanya shirika liwe na ufanisi. Huyo mama CEO ni kichwa na muadilifu!Government Procurement Service Agency (GPSA) tatizo ni management kama yule DBSS hafai kabisa kuwa ofisini ni fisadi halafu mbinafsi na mbaya Zaidi anawahonga wakaguzi wanapokuja kumkagua na mambo yanaisha, na ili kulinda ugali wake anawala (anawagegeda) wafanyakazi wa kike walio wepesi kutongozeka ili wawe wanampelekea umbeya ambapo wengi wao anazawadia kwa kuwapa kipaumbele cha visafari na semina pale inapotokea yaani kama una mke wako anafanya GPSA humu jamaa hajali yeye anachovya tu,..na wa kiume nao anaselect wa kuwa wanampelekea umbeya kuhusu wafanyakazi wengine..
Ukiwa hujipendekezi GPSA maisha yako yanakuwa magumu, na CEO naye amemezwa na DBSS na mpenda sifa na maJungu Zaidi ya ufanisi wa kazi anatumia pesa nyingi kuhamisha watumishi kwa sababu ya umbeya tu anaopelekewa, kiufupi hana weledi wa kuongoza taasisi, na hawezi kuifikisha mbali na mara mia angepewa Liliani aliyekuwa ana - kaimu.
GPSA inatakiwa iwe juu ya MSD kimapato na kimaslahi kwa watumishi wake,tuna vyanzo vingi vya mapato lakini viongozi wanawaza ufisadi tu, sasa eti wafanyakazi wa mikoani tunalipwa posho kidogo kulinganisha na makao makuu kisa tuko mikoani tunatakiwa kulipwa tofauti na wa makao makuu, sasa kama hatuna umuhimu kisa tuko mikoani si bora tuhamishiwe wote makao makuu na mikoani kusiwe na wafanyakazi kama hawaoni umuhimu wetu na posho sio ya uhakika mpaka viongozi waanze kupiga majungu na kuchagua watu wa kuwapa…
KINACHOTOKEA SASA watu majembe wote wanaondoka, asilimia 90 ya wafanyakazi wa GPSA hawana moyo wa kufanya kazi kwenye ofisi hiyo wapo wakisubiri wapate nafasi waondoke sehemu zingine
.
serikali ingetakiwa ipangue management ya GPSA YOTE, wengine wangetakiwa wawe magerezani kabisa kama DBSS..
Wanaidhinisha makato ya mshahara ya watumishi bila idhini yetu, eti mfuko wa faraja GPSA. Yaani unashangaa mshahara unatoka unakutana na makato usiyoyaelewa, sawa ni jambo jema.. why wasingekata hata kwenye nauli..mishahara yenyewe ni midogo na ndio tunategemea kuikopea, wanaongeza makato kitu ambacho kinatupunguzia kiwango cha mkopo bank wakati walikuwa na option ya kukata hiyo pesa ya mfuko kwenye posho zingine.
Hii tasisi watu hawaipendi kiasi kwamba ni vigumu kukuta watu wamevaa fulana ya GPSA maofisini, zaidi tukipewa huwa tunawapa wafanyakazi wetu wa ndani wavae au wpigie deki, ama tunawapa mama ntilie
Nashukuru kuwa wewe ni sehemu ya watu wa clearing ambao mnakereka na maamuzi ya serikali kuipa GPsa nafasi
Sent from my iPhone using JamiiForums
Wakoje mkuu?Hiyo taasisi sijawahi kuifatilia ila nilikua naona ipo kimagumashi tuu kupitia wafanyakazi wake yaani hawana Nuru...
Hebu soma hoja za FRAME-19 halafu utusaidie kujua, maana unaonekana unapajua...hapa naona kama CuteJancs alikuwa ni mchokoza mada tuAcheni majungu, fanyeni kazi. Mbinu zenu za wizi zimebanwa mnaanza kulalamika. Kwa ufupi umeandika majungu, na hauna ushahidi mwizi mkubwa na fisadi. Na kwa ufupi CEO yupo hapo na ataendelea kufanya kazi kwa weledi kwa kulifanya shirika liwe na ufanisi. Huyo mama CEO ni kichwa na muadilifu!
😀😀Tutatayafanyia kazi haya malalamika ndani ya mwezi moja tu .utapata mrejesho kupitia kwa wenzako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu sijakuunganisha, ila hao watu waliohamishwa nasi kwakuwa walikuwa wanafanya biashara na wahuni wa pembeni ndio wanaleta majungu humu. Baddhi yao walitarajia wangepewa nafasi ya juu ya taasisi ndio tatizo hilo kiongozi
Sent from my iPhone using JamiiForums
Waswahili sisi ni wabobezi wa fitina na majungu, kuna mtu anatafutwa, mtujuze mkifanikiwa, acheni roho mbaya, si mna vikao vya wafanyakazi na mnayo Board of Directors, pelekeni huko malalamiko yenu, shubamit
We huna pesa wala cheo kwahiyo thamani ya ulozi huifahamu, lakini tambua kuwa uchawi upo dunia nzimaHivi mtu analogaje kufunika madhambi ya ufisadi aisee nji hii ni shida
Sent using Jamii Forums mobile app
Parabora GPSA kulikuwa na mtandao wa wizi kama ilivyokuwa TPA/TRA/TAA/NHC/NSSF. Yaani vikundi hivi vya wezi/mafisadi vina mitandao mipana sana. Wanao lalamika kwa sehemu kubwa ni wale waliokosa fursa, waligundulika wakahamishwa, uchunguzi wa maovu yao unaendelea au washirika wao mambo hayaendi vizuri hivyo wana tafuta pa kutokea. Kuhusu huyo DBSS simjui na sifahamu ana husika na kitu gani, lakini pia CEO simfahamu, ila GPSA kabla ya huyu CEO mpya walikuwa wa ovyo sana, waliuzia serikali gharama kubwa sana kuzidi hata TOYOTA ya Tanzania na walifanya uhuni mwingi sana wakati wao walitumia bulk procurement ambapo bei inapaswa kuwa kidogo. Mleta maada apuuzwe kwa sababu kama ni posho ina maana mwaka huu ndiyo wamegundua hazitoshi??? Si ni kwa sababu walikuwa wezi kama ofisi ya CAG??? Yaani mtu anakuwa na hela nyingi za kifisadi mpaka hajali mshahara wake, ila siku wakiziba mianya anaanza kukumbuka mshahara. Ofisi mfano ya CAG ilikuwa na watu wenye ACCA ila walikubali kuchukua mishahara chini ya 1milion ila leo nao eti maslahi hayatoshi. In general GPSA sasa inamuelekeo mzuri zaidi.
Sasa mkuu, mbona FRAME-19 amezungumzia Ufisadi tangu enzi za mwambega mpka mda huu Ina maana wote wa kipindi hicho wameunganishwaParabora GPSA kulikuwa na mtandao wa wizi kama ilivyokuwa TPA/TRA/TAA/NHC/NSSF. Yaani vikundi hivi vya wezi/mafisadi vina mitandao mipana sana. Wanao lalamika kwa sehemu kubwa ni wale waliokosa fursa, waligundulika wakahamishwa, uchunguzi wa maovu yao unaendelea au washirika wao mambo hayaendi vizuri hivyo wana tafuta pa kutokea. Kuhusu huyo DBSS simjui na sifahamu ana husika na kitu gani, lakini pia CEO simfahamu, ila GPSA kabla ya huyu CEO mpya walikuwa wa ovyo sana, waliuzia serikali gharama kubwa sana kuzidi hata TOYOTA ya Tanzania na walifanya uhuni mwingi sana wakati wao walitumia bulk procurement ambapo bei inapaswa kuwa kidogo. Mleta maada apuuzwe kwa sababu kama ni posho ina maana mwaka huu ndiyo wamegundua hazitoshi??? Si ni kwa sababu walikuwa wezi kama ofisi ya CAG??? Yaani mtu anakuwa na hela nyingi za kifisadi mpaka hajali mshahara wake, ila siku wakiziba mianya anaanza kukumbuka mshahara. Ofisi mfano ya CAG ilikuwa na watu wenye ACCA ila walikubali kuchukua mishahara chini ya 1milion ila leo nao eti maslahi hayatoshi. In general GPSA sasa inamuelekeo mzuri zaidi.
Parabora ndiyo maana nikasema huyo DBSS na CEO siwafahamu ila jambo moja nina uhakika ni muelekeo wa shirika na pia utendaji wa CEO mpya kwani pamekua na uharaka na ukweli kwenye kuagiza magari ya serikali.Sasa mkuu, mbona FRAME-19 amezungumzia Ufisadi tangu enzi za mwambega mpka mda huu Ina maana wote wa kipindi hicho wameunganishwa
Kama Kuna ambao unawafahamu weka fact kizalendo kulinda maslahi ya nchi yetu na sio majungu.
Hebu leta hoja nzito kumpinga FRAME-19 maana naona hajaegemea upande wowote zaidi ya kutoa maovu yanayofanyika na Sasa Kama huwajui na hupajui unawezaje kuwapinga na kusema sio kweli, mbona unanipa mashaka na kuona Kama unatumika kuficha maovu
Hebu tupe nondo, Yaani ile magufuli akiona unakuwa umemsaidia pa kuanzia.
FRAME-19 akiweka nondo yake moja inakuwa imejitosheleza haina majungu na anaonekana kuijua vizuri taasisi, hata mzee jakatugu amekubali kwamba tuhuma ni za kweli japo anazipinga kwa hoja nyepesi Kama zako
Hapa hawazungumzii uharaka, unazungumziwa upigaji, madili, Ufisadi..sijui tunaelewana?Parabora ndiyo maana nikasema huyo DBSS na CEO siwafahamu ila jambo moja nina uhakika ni muelekeo wa shirika na pia utendaji wa CEO mpya kwani pamekua na uharaka na ukweli kwenye kuagiza magari ya serikali.
Parabora GPSA kulikuwa na mtandao wa wizi kama ilivyokuwa TPA/TRA/TAA/NHC/NSSF. Yaani vikundi hivi vya wezi/mafisadi vina mitandao mipana sana. Wanao lalamika kwa sehemu kubwa ni wale waliokosa fursa, waligundulika wakahamishwa, uchunguzi wa maovu yao unaendelea au washirika wao mambo hayaendi vizuri hivyo wana tafuta pa kutokea. Kuhusu huyo DBSS simjui na sifahamu ana husika na kitu gani, lakini pia CEO simfahamu, ila GPSA kabla ya huyu CEO mpya walikuwa wa ovyo sana, waliuzia serikali gharama kubwa sana kuzidi hata TOYOTA ya Tanzania na walifanya uhuni mwingi sana wakati wao walitumia bulk procurement ambapo bei inapaswa kuwa kidogo. Mleta maada apuuzwe kwa sababu kama ni posho ina maana mwaka huu ndiyo wamegundua hazitoshi??? Si ni kwa sababu walikuwa wezi kama ofisi ya CAG??? Yaani mtu anakuwa na hela nyingi za kifisadi mpaka hajali mshahara wake, ila siku wakiziba mianya anaanza kukumbuka mshahara. Ofisi mfano ya CAG ilikuwa na watu wenye ACCA ila walikubali kuchukua mishahara chini ya 1milion ila leo nao eti maslahi hayatoshi. In general GPSA sasa inamuelekeo mzuri zaidi.
Mzee tatzo umepanick..hivi unadhani TAKUKURU wakipita wanafata hizi maneno zako za jazba na mihemuko?Wakiambiwa ukweli hawataki, walikuwa ni wezi sana, na walipoahamishwa kwa kushirikiana na wafanyabiashara sahizi wanaona uongozi haufai, na pia baada ya wao kukosa uCEO pamoja na kuact kwa muda mrefu wanaleta figisu na majungu. Yaani ni wahuni waliozoea kula kijinga sasa wamebanwa wanahema . Wengine wameamua kutengeneza parody account juzi jinga sana hawa . Wakajiandae upya uhuni wao unajulikana
Sent from my iPhone using JamiiForums