Wewe umekuwa muwazi mkuu.Mimi nimezaliwa kwenye Uislam nikasoma madrasa tangu nikiwa na miaka mi-4 enzi hizo manazilul abraar … baadae nikasoma tena madras nyingine kama mbili nilipofika sekondari nikaanza ku-evaluate hii dini… NASEMA HIVII there is something wrong with Islamic religion.
Moja kati ya jamii ambayo ni uncivilized na sio sababu ya dini Bali ndo wapo hivyo "navyosikia."Sudan walishaga changanyikiwa kitambo.
Mie ni muislamu ila sidhani kama uislamu umefundisha kuonea wanawake. Wanawake wanatakiwa walindwe kwa kila hali ndio maana hata Tz huwezi kukita waswahili wakiwachapa wanawake. Hizo ni tabia za wasudani ambazo hazina uhusiano na dini.
Wakuu angalieni kundi la Kiisilamu la Janjaweed wanachowafanyia wanawake Darfur Sudan.
Haya makundi ya kiisilamu hua hayana huruma na wanawake wala watoto?
View: https://twitter.com/abasmas/status/1740720706110038506?s=19
Mtumwa wa Waarabu, hata ujipemdekeze Vipi Kwa Waarabu wao wanaamini mtu mweusi amelaaniwa lielewe hili vizuri.Wewe huna elimu kuwazidi waislamu
Chukua wakristo wote wa bara la Africa hawana elimu ya kuwazidi warabu.
Mfano mataifa ya bara la Africa yalio na elimu bora ni Kaskazi i mwa Africa na SA tena souyh Africa wenye elimu bora ni wazungu sio wazuru. Kenya, Uganda , Tanzania hstuwazidi wamisri, wamorroco? Walibya ? Watunisia, Wasudani kaskazini kielimu. Mbantu hajawahi mzidi mwarabu akili na haitakuja tokea mpaka mwisho wa dunia.
Nimejibu kiujumla.
Nimesema waafrika weusi wote wa bara la Africa hawana elimu bora kana mataifa ya kaskazini mwafrika. Hao wazuru wni wajinga kama wewe unaeamini ujinga.Sauth africa kuna huo uhuni wa mud!?elimu magharibi imewasaidia wasauth kuukataa uhuni wa mud
Soma apo kwenye video palindikwa:Wakuu angalieni kundi la Kiisilamu la Janjaweed wanachowafanyia wanawake Darfur Sudan.
Haya makundi ya kiisilamu hua hayana huruma na wanawake wala watoto?
Unaona sasa wewe mfuasi wa Mud ushapaniki,jipatieni elimu magharibi muache ushaitwani wenu wa kuua na kulazimisha dunia mzima iwe na wafuasi wa mudNimesema waafrika weusi wote wa bara la Africa hawana elimu bora kana mataifa ya kaskazini mwafrika. Hao wazuru wni wajinga kama wewe unaeamini ujinga.
Pambana utafute elimu mkuu, wakiristo wa bara la Africa hawajafika hata 1/4 ya uelewa/elimu ya WARABU au waislamu. Warabu ni kati ya Binadamu walio ishape dunia. Unaifahamu CAIRO university , Alexandria university unajua zilianza lini ?
Ungekuwa umesoma ungejua hisyoria ya elimu duniani ila wewe ni kilaza tu uliekaririshwa makaratasi.
Kama nyie wakristo mmesoma sana kwa nini mmeshindwa kuifanya Tanzania kuwa tajiri ?
Huo usomi upo kwenye nini ?
Kusaini hundi bandia na kuiibia serikali ?
Sudani ya Al bashir pamoja na vita zao hatujawahi kuizidi kiuchumi . Muwe na akili kama vyeti mlivyokusanya
Kwanini wasiutumie ukristo kama kivuli...?Hapana sio sawa uislam sio ugaidi sema baadhi ya magaidi wanatumia uislam km kivuli kufanya uasi lakini pia viongozi wa dini husika wasikae kimya matukio km haya yanapotukia ndio maana watu km Hawa wanauhusianisha uislam na ugaidi.
Kutoka wapi?Kama Uislamu unapinga hayo mbona hakuna maandamano au matamko?
mpumbavvu wa kwanza ni wewe.Waislamu wote duniani ni magaidi na wapumbavu.
Unajielewa kweli ? Kaangalie hiyo ni Nigeria watu hawapo kimya ,mauaji kila siku yanakemewa.Kama Uislamu unapinga hayo mbona hakuna maandamano au matamko?
Unajitowa akili?Kutoka wapi?
Hiyo ni Nijeria wanapotosha hao ni waasi tena magaidi ila utashangaa mtu anaunganisha na waislamu.Hayo sio mafundisho ya uislam na hao sio waislam
Video imeandikwa kwa kiarabu:Hiyo ni Nijeria wanapotosha hao ni waasi tena magaidi ila utashangaa mtu anaunganisha na waislamu.
Mtoa mada anadanganya hiyo ni Nijeria ni vita ya kikabila ,kule machafuko wao kwa waoUislam hauhusiani na tabia za watu, Uislam sio ugaidi.
Nimeumizwa na vitendo hivyo, zaidi kwa mama aliye na mtoto mgongoni!
Sio sawa, bila kujali chanzo maana sielewi yanayoongelewa.