Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Amekopi na kupest toka kwenye wimbo wa DJ Khaleed, yeye alichofanya aka-edit na kuweka nembo ya Yanga...haya
Kazi kwenu utopolo...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukisha copy unapoteza ile sifa ya creativity ambayo watu walikuwa wanakupa bila kujua kuwa ni plagiarismSasa nani haja Copy hapa duniani? Hata Tafiti zote lazima ureje Literature za Wenzio...
Ukirejea kazi ya mtu lazima uaknowledge source ya info zako ili usionekane mwizi hii ndiyo kanuniSasa nani haja Copy hapa duniani? Hata Tafiti zote lazima ureje Literature za Wenzio.
Kwahiyo Picha za funguo hadi hao akina Rick Ross pekee ndio wana jua kuning'iniza tu?
Kizuri toeni pongezi. Acheni wivu wa kike kwa vitu vya nyumbani
Acha makasiriko amekopi clip nzima hakuna alichoongeza zaidi ya kanembo ka UTO tuSasa nani haja Copy hapa duniani? Hata Tafiti zote lazima ureje Literature za Wenzio.
Kwahiyo Picha za funguo hadi hao akina Rick Ross pekee ndio wana jua kuning'iniza tu?
Kizuri toeni pongezi. Acheni wivu wa kike kwa vitu vya nyumbani
PovuSasa nani haja Copy hapa duniani? Hata Tafiti zote lazima ureje Literature za Wenzio.
Kwahiyo Picha za funguo hadi hao akina Rick Ross pekee ndio wana jua kuning'iniza tu?
Kizuri toeni pongezi. Acheni wivu wa kike kwa vitu vya nyumbani
Mnapenda ligi?Nadhani ingelikuwa yeye ndiye kajisifia basi kungelikuwa na utata...
Lakini yeye kasifiwa na watu wengine, na wala haikuwa ni post ya kupigiwa kura, au ya ushiriki wa mashindano ya graphics...
Ujumbe kwenye hiyo post ulikuwa ni kuonesha mtu aliyeshika funguo na funguo zenyewe...
Ukiacha hilo, weka picha nyingine za huyo designer tuone kama nazo 'kakopi'
NakaziaUkisha copy unapoteza ile sifa ya creativity ambayo watu walikuwa wanakupa bila kujua kuwa ni plagiarism
Waje wamsaidie kujibuUkirejea kazi ya mtu lazima uaknowledge source ya info zako ili usionekane mwizi hii ndiyo kanuni
Sasa huyu wa Yanga baada ya kucopy aliaknowledge source ili asionekane ni mwizi wa kazi za watu?
Tanzania kwa sasa tuna tengeneza barakoa zetu. Tume copy kwa ELON MUSK au tuna tengeneza?Ukisha copy unapoteza ile sifa ya creativity ambayo watu walikuwa wanakupa bila kujua kuwa ni plagiarism
Kwahiyo Dr Khaled ndie wa kwanza duniani kupiga picha ya hivyo?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ukirejea kazi ya mtu lazima uaknowledge source ya info zako ili usionekane mwizi hii ndiyo kanuni
Sasa huyu wa Yanga baada ya kucopy aliaknowledge source ili asionekane ni mwizi wa kazi za watu?
Wivu tu. Kuna idea mpya gani hapa Tz ambayo haipo USA, INDIA au KenyaPovu
Mkuu hebu nijuze, kumbe Elon Musk anatengeneza BARAKOA?Tanzania kwa sasa tuna tengeneza barakoa zetu. Tume copy kwa ELON MUSK au tuna tengeneza?