Graphic designer wa Yanga amesifiwa sana lakini kumbe anakopi na kupest

Graphic designer wa Yanga amesifiwa sana lakini kumbe anakopi na kupest

Kujishushia credit for whom?, for who?,for which?

Pongezi zilikuwa zinatoka kwa kazi zake mujarabu Ila hata Siku moja Andersonmyshots hajawahi kutoka na kujisifia kwa ubora wa kazi sake

Kwahyo wakati anapewa sifa nyie roho zenu zilikuwa zinawauma kama zilivyo roho za waswahili,roho za kisokolokwinyo na ndio mmepata sehemu ya kujipoza na maumivu makubwa ambayo mnaendelea kupitia hapo ukoloni
Credit alizopewa kuhusiana na ubunifu lazima ziyeyuke kwasababu itakuwa imeshafahamika kuwa kilichoonwa kuwa ni kizuri kilikuwa kimefanywa na mtu mwingine kwa hiyo credit lazima ziende kwa huyo mtu sahihi aliye buni hicho kitu.

Kazi zake zipi?

Ku copy nayo kazi?

Hakuna aliyekuwa anaumia graphic designer wenu kupewa sifa, kilichokuwa kinaboa ni ile kitu ya kupewa sifa kwa kuchafua graphic desiner mwingine

Angepewa sifa kuwa kafanya vizuri bila kuhusianisha na kazi zilizofanywa na designer mwingine kusingekuwa na habari kubwa

Sasa na sisi lazima tuoneshe wapi ambapo hao wanaotoa sifa hawapaoni, ndio tumeanza na hizo video ambazo ka copy
 
Mwanafunzi darasani akipata alama 1 kati ya 10,huyo kafeli mtihani na wala hapaswi kupongezwa wala kusifiwa ila atapewa ushauri,atasemwa na kuchapwa viboko vingi sana

Ila mwanafunzi darasani akipata alama 9 kati ya 10,huyo amefaulu kwa alama za juu sana kasoro hiyo alama 1 aliyokosa ni bahati mbaya labda alipitiwa na anapongezwa sana kwa uwezo wake mkubwa aliuonesha

Ukiweza kutofautisha kati ya hao wanafunzi wawili basis huweza kushindwa kuelewa kwanini Designer wa Simba anasagiwa kunguni na Designer Wa Yanga anapewa pongezi zake
Inategemeana na kipimo chako cha ufaulu katika nyenzo ya mtihani husika

Ukipata 1 ya 10 kwenye mtihani wa quantum physics ni tofauti sana na aliyepata 9 ya 10 kwenye hesabu za kujumlisha na kutoa halafu hesabu zenyewe za multiple choice
 
Credit alizopewa kuhusiana na ubunifu lazima ziyeyuke kwasababu itakuwa imeshafahamika kuwa kilichoonwa kuwa ni kizuri kilikuwa kimefanywa na mtu mwingine kwa hiyo credit lazima ziende kwa huyo mtu sahihi aliye buni hicho kitu.

Kazi zake zipi?

Ku copy nayo kazi?

Hakuna aliyekuwa anaumia graphic designer wenu kupewa sifa, kilichokuwa kinaboa ni ile kitu ya kupewa sifa kwa kuchafua graphic desiner mwingine

Angepewa sifa kuwa kafanya vizuri bila kuhusianisha na kazi zilizofanywa na designer mwingine kusingekuwa na habari kubwa

Sasa na sisi lazima tuoneshe wapi ambapo hao wanaotoa sifa hawapaoni, ndio tumeanza na hizo video ambazo ka copy
Leo hii utamaduni wa simba na Yanga umeusahau,kizuri kinachofanyika upande mmoja ni lazima kifananishwe na cha upande wa pili

Simba na Yanga huwezi kuzitenganisha katika utani wao coz na ndio maana kazi za design kutoka Yanga wala hazikufaninishwa na timu ya Azam

Niwaombe ndg zangu kutoka ukoloni endeleeni kupata maumivu makali sana coz kuanzia uwanjani hadi kwenye vitu personal tunawapa knockout ya nguvu

Kwasasa hakuna mnachokiweza dhidi yetu
 
Leo hii utamaduni wa simba na Yanga umeusahau,kizuri kinachofanyika upande mmoja ni lazima kifananishwe na cha upande wa pili

Simba na Yanga huwezi kuzitenganisha katika utani wao coz na ndio maana kazi za design kutoka Yanga wala hazikufaninishwa na timu ya Azam

Niwaombe ndg zangu kutoka ukoloni endeleeni kupata maumivu makali sana coz kuanzia uwanjani hadi kwenye vitu personal tunawapa knockout ya nguvu

Kwasasa hakuna mnachokiweza dhidi yetu
Kila kitu ni utamaduni kasoro utamaduni wa kukosoa yale yanayoonekana ni udhaifu ambayo watu walikuwa wakijilisha upepo na kupewa sifa kuwa ni effort zao ndio umeusahau?

Kama hilo umeweza kulifikiria ni utani kwanini na lile usiliweke kwenye mzani wa utani huo huo?
 
Inategemeana na kipimo chako cha ufaulu katika nyenzo ya mtihani husika

Ukipata 1 ya 10 kwenye mtihani wa quantum physics ni tofauti sana na aliyepata 9 ya 10 kwenye hesabu za kujumlisha na kutoa halafu hesabu zenyewe za multiple choice
Akili zako za kipopoma zinazidi kijidhihirisha coz hapa wala hatuongelei Graphic designing na Magazijuto

Ila tunaongelea Paper ya Graphic designing ambayo Simba wamepata 1 ya 10 na Yanga wamepata 9 ya 10

Ila kama simba mnatumia hesabu za kujumlisha na kutoa katika kufanya designing ya Graphics zenu basi mpo katika dunia ya peke yenu na mnapaswa kupewa kongole
 
Akili zako za kipopoma zinazidi kijidhihirisha coz hapa wala hatuongelei Graphic designing na Magazijuto

Ila tunaongelea Paper ya Graphic designing ambayo Simba wamepata 1 ya 10 na Yanga wamepata 9 ya 10

Ila kama simba mnatumia hesabu za kujumlisha na kutoa katika kufanya designing ya Graphics zenu basi mpo katika dunia ya peke yenu na mnapaswa kupewa kongole
Sasa unatoaje rate ya 9 kwa 10 kwenye kazi ambayo wote tunajua sio ya kibunifu?
 
Kila kitu ni utamaduni kasoro utamaduni wa kukosoa yale yanayoonekana ni udhaifu ambayo watu walikuwa wakijilisha upepo na kupewa sifa kuwa ni effort zao ndio umeusahau?

Kama hilo umeweza kulifikiria ni utani kwanini na lile usiliweke kwenye mzani wa utani huo huo?
Akili yako ndio imeshindwa kupambanua mambo kwa ukubwa na upana wake,Yanga tulielewa kwa Designing mlizokuwa mnafanya Simba tulielewa zinafanyika copy and paste kutoka ktk cover photo za movie mbalimbali ila tulichukulia very easy na utani kidogo

Ila ishu hiyo umegeuka kwetu ila nyie mmechukulia very seriously na kukaza kabisa mishipa ya shingo zenu
 
Sasa unatoaje rate ya 9 kwa 10 kwenye kazi ambayo wote tunajua sio ya kibunifu?
Naomba niendelee kukusaidia kulegeza fuvu la kichwa chako

Leo hii ukichukua kazi 10 za graphic designing za Yanga,basi kazi moja ndio itakuwa imetia dosari

Ila ukichukua kazi 10 za graphic designing za Simba,utakuta kazi 9 ni mbovu ila moja tu ndio itakuwa ni nzuri

Kupitia ratio hiyo utakuwa umeelewa kipi cha kupongezwa na kipi ni cha Kusagiwa kunguni
 
Akili yako ndio imeshindwa kupambanua mambo kwa ukubwa na upana wake,Yanga tulielewa kwa Designing mlizokuwa mnafanya Simba tulielewa zinafanyika copy and paste kutoka ktk cover photo za movie mbalimbali ila tulichukulia very easy na utani kidogo

Ila ishu hiyo umegeuka kwetu ila nyie mmechukulia very seriously na kukaza kabisa mishipa ya shingo zenu
Hamjawahi chukulia vitu easy kama ambavyo unajinadi hapa

Nyinyi ndio mmekuwa wakwanza kupiga madongo graphics za Simba na pale ambapo mnapojibiwa kwa kuoneshwa weakness kwenye hizo graphics zenu mnalalamika kuwa tumechukulia serious
 
mbona simba nao wameiga jaman
IMG-20220714-WA0010.jpeg
 
Naomba niendelee kukusaidia kulegeza fuvu la kichwa chako

Leo hii ukichukua kazi 10 za graphic designing za Yanga,basi kazi moja ndio itakuwa imetia dosari

Ila ukichukua kazi 10 za graphic designing za Simba,utakuta kazi 9 ni mbovu ila moja tu ndio itakuwa ni nzuri

Kupitia ratio hiyo utakuwa umeelewa kipi cha kupongezwa na kipi ni cha Kusagiwa kunguni
Haiko hivyo kama ambavyo unataka watu tukuamini

Ishu ni kwamba mpaka kujua hii ni plagiarism ina hitaji curiosity ni mpaka utakapogundua maudhui hayo yana fanana na kitu ambacho ulishawahi kiona sehemu nyingine kabla ya hapo

Kwa hiyo katika hizo kazi zingine unazozidai ni ubunifu wake binafsi inaweza ikawa plagiarist pia ila katumia tu maudhui ambayo sio popular kiasi iwe rahisi watu kujua kuwa ka copy

Ni kama tu vile watu waliompa kongole kwenye hiyo clip aliyoitoa kwenye video ya Dj khaled. Inawezekana hao watu walishawahi kuangalia hiyo video ya Dj Khaled ila hawakuwa curious kuweza kuhusianisha na kile kipande cha videographer wa Yanga aliye kiongezea logo ya Club
 
Yaani kale kavideo ka ufunguo kamekuwa popular kuliko utambulisho wa mchezaji wenu pale ukoloni

Nadhani mmeshaanza kuelewa Yanga ndio timu yenye Engagement kubwa ya content za mtandaoni hapa nchini
dunia ni ya matukio hii leo hii kesho lingine ,,kila jambo ama tukio lina muda wake ndio maana dk 0 anashangiliwa mtu anakunywa pombe kama maji baada ya fk 5 tukio lishabadilika kunakua na lingine msiba, maana yangu ni kwamba yalitokea kwa mchezaji wa simba yalipita likaja lingine pia litapita aina uhalisia et fulan ndio mkubwa yanga ameachwa mbali sana kimtandao na simba lkn kuna matukio bado yanga anaongoza mambo ya kawaida ndugu
 
dunia ni ya matukio hii leo hii kesho lingine ,,kila jambo ama tukio lina muda wake ndio maana dk 0 anashangiliwa mtu anakunywa pombe kama maji baada ya fk 5 tukio lishabadilika kunakua na lingine msiba, maana yangu ni kwamba yalitokea kwa mchezaji wa simba yalipita likaja lingine pia litapita aina uhalisia et fulan ndio mkubwa yanga ameachwa mbali sana kimtandao na simba lkn kuna matukio bado yanga anaongoza mambo ya kawaida ndugu
Tofauti followers mtandaoni na Content Engagement mtandaoni,ndio utaelewa ninachomaanisha
 
dunia ni ya matukio hii leo hii kesho lingine ,,kila jambo ama tukio lina muda wake ndio maana dk 0 anashangiliwa mtu anakunywa pombe kama maji baada ya fk 5 tukio lishabadilika kunakua na lingine msiba, maana yangu ni kwamba yalitokea kwa mchezaji wa simba yalipita likaja lingine pia litapita aina uhalisia et fulan ndio mkubwa yanga ameachwa mbali sana kimtandao na simba lkn kuna matukio bado yanga anaongoza mambo ya kawaida ndugu
Tofauti followers mtandaoni na Content Engagement mtandaoni,ndio utaelewa ninachomaa
 
Back
Top Bottom