Graphic designer wa Yanga amesifiwa sana lakini kumbe anakopi na kupest

Graphic designer wa Yanga amesifiwa sana lakini kumbe anakopi na kupest

Hiyo ni plagiarism pia ila kinachokuja kuleta mjadala ni pale ambapo mmoja anapewa sifa kuwa ni creative kuliko mwingine wakati ka copy idea ya mtu mwingine
Level ya creativity duniani imetofautiana kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine

Designer wa Yanga amejipambanua kwa Kazi zake nzuri nyingi kuliko designer Wa Simba ila ni kawaida kwa binadamu kuchukua Ubaya kidogo kuliko Mazuri mengi
 
"Nadhani umesahau TESLA pia ni yake, haya naomba source ya hizo MUSK za ELON? Hapa ndio UTO wako utaonekana

Pitia mitandaoni uje na majibu"

Soma tens reply yako hapo juu ndo utajua kuwa ww ni Mbumbumbu Greatest Of All Time njoo umuweke sawa ndg yako
Umesoma niliyem-reply alivyoandika? nilikuwa nacoute alichokiandika usisome kama kasuku hebu nenda karudie tena, maana sehemu zote nilizomaanisha MASK niliandika kwa kiswahili yaani BARAKOA
 
Umesoma niliyem-reply alivyoandika? nilikuwa nacoute alichokiandika usisome kama kasuku hebu nenda karudie tena, maana sehemu zote nilizomaanisha MASK niliandika kwa kiswahili yaani BARAKOA
"Naomba unipatie source ya hizo MUSK za ELON" hukutakiwa kusema hivyo ila ulipaswa kusema hivi "Naomba unipatie source ya hizo MASK za ELON"
 
Level ya creativity duniani imetofautiana kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine

Designer wa Yanga amejipambanua kwa Kazi zake nzuri nyingi kuliko designer Wa Simba ila ni kawaida kwa binadamu kuchukua Ubaya kidogo kuliko Mazuri mengi
Kazi yake nzuri ya kupachika logo kwenye content iliyobuniwa na mwingine?
 
Kazi yake nzuri ya kupachika logo kwenye content iliyobuniwa na mwingine?
Na hapa ndio binadamu tulipo,Mazuri mengi huwa hayazingatiwi Ila ubaya kidogo huwa ndo jambo la kuongelewa
 
nyingine hii ya bigirimana
designer.JPG
 
Mazuri yaliyofanywa na nani?

Tatizo unatafsiri ubaya kwasababu tumegoma kutoa kongole kwenye kazi ambayo hajabuni yeye
Yaah that's my point niletee kazi nyingine aliyocopy tofauti na hizo Keys

Kwann kazi zake za nyuma hazikutolewa kongole hapa kwenye jukwaa na mleta mada Greatest Of All Time na kwanini ubaya wake kidogo umekuja jukwaani tena haraka sana

Tupo kwenye dunia ambayo binadamu wanakusubiri upoteze step yako moja nyuma ili wakupige majungu ila mafanikio yako hawayafurahii hata kidogo

Huu ndio ulimwengu wetu tulionao
 
Kumbuka nyinyi ndio mlikuwa mkijitapa kwa viwango vya juu vya ubunifu na kuwaponda Simba

Kwa hiyo kwakua Simba ilishafahamika haina ubunifu na watu wengi mmefanikiwa kuwaaminisha watu kuwa Graphic designers wenu ni wabunifu basi hilo la kuonesha Simba ime copy idea fulani haliwezi kuwa big issue kwasababu tayari watu wamekuwa wakisikia hivyo siku zote

Ila nyinyi hii ambao mmekuwa mkipewa sifa nzuri kwa ubunifu hii ni kashfa mbaya kwenu. Yule aliyewapa sifa pengine hakujua hizi artworks ni za msanii fulani kazi kazi kubwa aliyoifanya videographer wenu ni ku place logo ya club tu hivi unafikiri ni kiasi gani mtakuwa mmejishushia credit?
 
Kumbuka nyinyi ndio mlikuwa mkijitapa kwa viwango vya juu vya ubunifu na kuwaponda Simba

Kwa hiyo kwakua Simba ilishafahamika haina ubunifu na watu wengi mmefanikiwa kuwaaminisha watu kuwa Graphic designers wenu ni wabunifu basi hilo la kuonesha Simba ime copy idea fulani haliwezi kuwa big issue kwasababu tayari watu wamekuwa wakisikia hivyo siku zote

Ila nyinyi hii ambao mmekuwa mkipewa sifa nzuri kwa ubunifu hii ni kashfa mbaya kwenu. Yule aliyewapa sifa pengine hakujua hizi artworks ni za msanii fulani kazi kazi kubwa aliyoifanya videographer wenu ni ku place logo ya club tu hivi unafikiri ni kiasi gani mtakuwa mmejishushia credit?
Kujishushia credit for whom?, for who?,for which?

Pongezi zilikuwa zinatoka kwa kazi zake mujarabu Ila hata Siku moja Andersonmyshots hajawahi kutoka na kujisifia kwa ubora wa kazi sake

Kwahyo wakati anapewa sifa nyie roho zenu zilikuwa zinawauma kama zilivyo roho za waswahili,roho za kisokolokwinyo na ndio mmepata sehemu ya kujipoza na maumivu makubwa ambayo mnaendelea kupitia hapo ukoloni
 
Yaah that's my point niletee kazi nyingine aliyocopy tofauti na hizo Keys

Kwann kazi zake za nyuma hazikutolewa kongole hapa kwenye jukwaa na mleta mada Greatest Of All Time na kwanini ubaya wake kidogo umekuja jukwaani tena haraka sana

Tupo kwenye dunia ambayo binadamu wanakusubiri upoteze step yako moja nyuma ili wakupige majungu ila mafanikio yako hawayafurahii hata kidogo

Huu ndio ulimwengu wetu tulionao
Tatizo lako unajisahau sana

Kwanini kazi nzuri alizozifanya graphic designer wa Simba hamzisifii na badala yake ndio imekuwa agenda huku mitandaoni kumkanyagia kwa kumfananisha na video ya chaplin kwa sababu tu ya B&W kwenye content yake?

Uzalendo huo kwa wenzako huna ila unataka uzalendo huo ufanyiwe wewe tu?
 
Tatizo lako unajisahau sana

Kwanini kazi nzuri alizozifanya graphic designer wa Simba hamzisifii na badala yake ndio imekuwa agenda huku mitandaoni kumkanyagia kwa kumfananisha na video ya chaplin kwa sababu tu ya B&W kwenye content yake?

Uzalendo huo kwa wenzako huna ila unataka uzalendo huo ufanyiwe wewe tu?
Mwanafunzi darasani akipata alama 1 kati ya 10,huyo kafeli mtihani na wala hapaswi kupongezwa wala kusifiwa ila atapewa ushauri,atasemwa na kuchapwa viboko vingi sana

Ila mwanafunzi darasani akipata alama 9 kati ya 10,huyo amefaulu kwa alama za juu sana kasoro hiyo alama 1 aliyokosa ni bahati mbaya labda alipitiwa na anapongezwa sana kwa uwezo wake mkubwa aliuonesha

Ukiweza kutofautisha kati ya hao wanafunzi wawili basis huweza kushindwa kuelewa kwanini Designer wa Simba anasagiwa kunguni na Designer Wa Yanga anapewa pongezi zake
 
Back
Top Bottom