Level ya creativity duniani imetofautiana kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingineHiyo ni plagiarism pia ila kinachokuja kuleta mjadala ni pale ambapo mmoja anapewa sifa kuwa ni creative kuliko mwingine wakati ka copy idea ya mtu mwingine
Umesoma niliyem-reply alivyoandika? nilikuwa nacoute alichokiandika usisome kama kasuku hebu nenda karudie tena, maana sehemu zote nilizomaanisha MASK niliandika kwa kiswahili yaani BARAKOA"Nadhani umesahau TESLA pia ni yake, haya naomba source ya hizo MUSK za ELON? Hapa ndio UTO wako utaonekana
Pitia mitandaoni uje na majibu"
Soma tens reply yako hapo juu ndo utajua kuwa ww ni Mbumbumbu Greatest Of All Time njoo umuweke sawa ndg yako
Pale unapotia mti kwenye mzinga wa nyuki halafu mbio huna. Kazi kwako mleta thridi😄😄😄😄😄Mwambieni Graphics Designer Wenu Nae Akopi Akiweza Mniite Koloo... [emoji23]
[emoji116][emoji116][emoji116]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2289874
"Naomba unipatie source ya hizo MUSK za ELON" hukutakiwa kusema hivyo ila ulipaswa kusema hivi "Naomba unipatie source ya hizo MASK za ELON"Umesoma niliyem-reply alivyoandika? nilikuwa nacoute alichokiandika usisome kama kasuku hebu nenda karudie tena, maana sehemu zote nilizomaanisha MASK niliandika kwa kiswahili yaani BARAKOA
Kazi yake nzuri ya kupachika logo kwenye content iliyobuniwa na mwingine?Level ya creativity duniani imetofautiana kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine
Designer wa Yanga amejipambanua kwa Kazi zake nzuri nyingi kuliko designer Wa Simba ila ni kawaida kwa binadamu kuchukua Ubaya kidogo kuliko Mazuri mengi
Na hapa ndio binadamu tulipo,Mazuri mengi huwa hayazingatiwi Ila ubaya kidogo huwa ndo jambo la kuongelewaKazi yake nzuri ya kupachika logo kwenye content iliyobuniwa na mwingine?
Wakati yupo kwenu mbona kelele za kukop na kupaste hazikuwepo?Huyu designer kwasasa yupo kwenu alikuja na Manara
Andersonmyshots hajawwahi kuwa Simba mkuu.......kijana ni fresh from university kutoka UingerezaWakati yupo kwenu mbona kelele za kukop na kupaste hazikuwepo?
Mazuri yaliyofanywa na nani?Na hapa ndio binadamu tulipo,Mazuri mengi huwa hayazingatiwi Ila ubaya kidogo huwa ndo jambo la kuongelewa
Yaah that's my point niletee kazi nyingine aliyocopy tofauti na hizo KeysMazuri yaliyofanywa na nani?
Tatizo unatafsiri ubaya kwasababu tumegoma kutoa kongole kwenye kazi ambayo hajabuni yeye
Basi tumepigwa kamba na Greatest Of All TimeAndersonmyshots hajawwahi kuwa Simba mkuu.......kijana ni fresh from university kutoka Uingereza
Kumbuka nyinyi ndio mlikuwa mkijitapa kwa viwango vya juu vya ubunifu na kuwaponda SimbaHabari ziwafikie Scars na njaakalihatari
Kujishushia credit for whom?, for who?,for which?Kumbuka nyinyi ndio mlikuwa mkijitapa kwa viwango vya juu vya ubunifu na kuwaponda Simba
Kwa hiyo kwakua Simba ilishafahamika haina ubunifu na watu wengi mmefanikiwa kuwaaminisha watu kuwa Graphic designers wenu ni wabunifu basi hilo la kuonesha Simba ime copy idea fulani haliwezi kuwa big issue kwasababu tayari watu wamekuwa wakisikia hivyo siku zote
Ila nyinyi hii ambao mmekuwa mkipewa sifa nzuri kwa ubunifu hii ni kashfa mbaya kwenu. Yule aliyewapa sifa pengine hakujua hizi artworks ni za msanii fulani kazi kazi kubwa aliyoifanya videographer wenu ni ku place logo ya club tu hivi unafikiri ni kiasi gani mtakuwa mmejishushia credit?
Jana umesifia Simba kwa kuleta mfano wa video ya nani sijui huko leo umegeukaUkisha copy unapoteza ile sifa ya creativity ambayo watu walikuwa wanakupa bila kujua kuwa ni plagiarism
Tatizo lako unajisahau sanaYaah that's my point niletee kazi nyingine aliyocopy tofauti na hizo Keys
Kwann kazi zake za nyuma hazikutolewa kongole hapa kwenye jukwaa na mleta mada Greatest Of All Time na kwanini ubaya wake kidogo umekuja jukwaani tena haraka sana
Tupo kwenye dunia ambayo binadamu wanakusubiri upoteze step yako moja nyuma ili wakupige majungu ila mafanikio yako hawayafurahii hata kidogo
Huu ndio ulimwengu wetu tulionao
Mwanafunzi darasani akipata alama 1 kati ya 10,huyo kafeli mtihani na wala hapaswi kupongezwa wala kusifiwa ila atapewa ushauri,atasemwa na kuchapwa viboko vingi sanaTatizo lako unajisahau sana
Kwanini kazi nzuri alizozifanya graphic designer wa Simba hamzisifii na badala yake ndio imekuwa agenda huku mitandaoni kumkanyagia kwa kumfananisha na video ya chaplin kwa sababu tu ya B&W kwenye content yake?
Uzalendo huo kwa wenzako huna ila unataka uzalendo huo ufanyiwe wewe tu?