Green card lottery ni Umanamba mamboleo

kavulata said:
Nchi ambayo hata wanaume wanaolewa, ndio hizo fursa unazozisema? Nenda ukaangalie kule kwenye magereza yao ukaone ni akina nani wamefungwa humo?


Hivi magereza ya Tanzania ni nani wamefungwa humo? Unajua wanayofanyiana! Na inanihusu nini mimi, I'm not a criminal, hivyo sitegemei kwenda Magerezani!

Na unaongelea sana mambo ya Ushoga! Hilo ni swala binafsi kabisa! Mwanaume akiolewa, Mwanamke akioa inahusiana vipi na maisha yangu binafsi! Mambo yanayofanyika nyumbani mwa watu yanahusianaje na maisha yangu!

Unajua mambo wanayofanyiana hata wana ndoa Tanzania katika faragha zao! Zinaathiri wewe kuamka asubuhi na kwenda kutafuta maisha!
 
wengi hawana taarifa muhimu juu ya wanakotaka kwenda, shame on you.
Vipi kuhusu wenye taarifa sahihi na ushahidi unaoishi?

Ni ukosefu wa unyevunyevu wa aadabu na busara kushupaa kuongelea usichokijua.
 
Kwa nini nchi za Kiafrika zisifanye hivyo! Tuna shida za wataalamu Tanzania, kwa nini tusiwe na Greencard! Unachekesha sana!
Marekani Ina uchumi mkubwa inaweza kuwalipa, uchumi wake unategemea kupora kutoka nchi nyingine kwa kutumia majeshi yake, NATO, WB, IMF, WTO. Unataka na sisi tuwe na majeshi ya kupora wengine pia kama wao?

Kwani wewe unataka ku achieve nini kabla hujaondoka duniani? Maana watu wanapita lakini nchi na ardhi vinabaki. Mimi hapa muhimu' kwangu ni kuwa na familia (watoto na wajukuu) ambao nitawaachia pande la ardhi watakayoendelea kuishi wakati na wao wakiendelea kuishi. Nataka kuhakikisha kuwa watoto wanapata elimu ya kuwatosha na Mimi kupata namna ya kuishi hata baada ya kustaafu na kupoteza nguvu zangu. Je ili kuvipata vitu hivyo ni lazima nije huko uliko?
 
Mpuuz
 
Wewe ndio misukule vigogo wa chama chakavu wanawapenda ili muendelee kuneemesha matumbo yao na vizazi vyao , endelea kuzaa vibarua wakuwatumikia aristocrats WA chama cha misukule Tz
 
We mpumbavu wa kazula mimba ignorance na stupidity vinakusumbua ,watu mamilioni wanatoka India ,China ,South Korea ,Singapore ,Japan na kila nchi unauoijua wewe wanaingia kila siku USA unadhani ni wapumbavu sio ? ,Hizo nchi zina uchumi wa kuwalisha nchi nzima ya Tz for 100 of years ,
We hapo Tz unajiona dunia yote yako sio ?
 
Ndio maana nasema hunielewi, na unapeleka Mada kwingine kabisa! Mambo ya NATO na kuhamia mimi binafsi Marekani yananihusu nini? Hii sio topic yetu!
Nani nimemwambia ni Lazima kuja Marekani ili upate vitu unavyotaka? Mbona nimekuwa consistency tokea mwanzo, lakini unaonekana huelewi!
Narudia tena, kama opportunities za maisha zimegoma nyumbani, ni vyema kujaribu nje! Huo ndio mtazamo wangu! Sijasema ni lazima!
Naomba unielewe hivyo!
 
Don, jamaa ananishangaza sana, idadi ya wanaoingia Marekani toka Afrika ni ndogo sana ukilinganisha na mataifa mengine! Yeye hajui kabisa hilo! Amekaririshwa na kuwekwa kwenye relief, hawezi kufikiri vinginevyo.
 
Sasa nachokitaka maishani ni lazima nibaki Tanzania? Kuwa Marekani kunakataza kuwa na watoto na wajukuu!
Anyway naona sasa huna hoja.
 
Ulivyo fal@ hizo kuosha mbwa na kuhudumia wazee wewe ndio unaona ni kazi za kilofa , mpuuz mmoja kuna watu wametengeneza makampuni na kuajili malaki ya watu pale USA na wanaingiza millions of USD kama si billions of USD Kwa mwaka , zile ni sekta za kiuchumi kabisa ,usikae hapa na kuandika upuuzi kwa vitu usivyovijua ,we ni mseng€ ndio maana unaona ni kazi za kilofa ila ujue huwezi kupractoce hizo kazi kwa US mpaka upate license maalumu ya kupractice that's means unakuwa umepitia mafunzo maalumu na imefuzu ,pia unatambulika na serikali au regulating authorities .
Unajua veterinary attendant au elderly home attendants wanapata pesa kiasi gani kwa saa ? , Halafu hiyo kufanya kazi mbili ni ufinyu wako wa akili ndio unashangaa ,hizo ni side gigs za watu kusupplement kipato chao ,hujalazimishwa .Hutaki acha .
Hizo ndio economic opportunities zenyewe tunazoziongelea ,wewe unafikiri Tanzania zingekuwepo opportunities kama hizo za mtu kufanya hata kazi tatu watu wasingefanya ? Tanzania hata vibarua vya kubeba zege hamna .
Ulivyo mpumbafu mshahara anaopata mtu wa aisee husstles za kuhudumia mifugo mashambani au kwenye construction sites USA unaweza kukulisha wewe na familia yako nzima mwaka mzima , idiot kabisa
 
Eti watoto wanaokaa chini , machinga
Cheki Fala hili
 
Aisee eti kuoa ,kununua IST ,kujenga slum na kufuga kuku ishirini hayo ndio mafanikio ,
Jomba una mtindio wa akili , trust me
Something is seriously wrong with your head
 
US fursa wewe acha ujinga, najua jamaa kibao wanapiga zaidi ya 150,000$ kwa kuendesha truck tuu, course ndogo tuu za kuwa developer au nurse unapiga zaidi ya 100,000$ bila matatizo, ninapokaa nina cousin wangu analipwa 60$ kwa saa ni nurse na anaweza kufanya overtime unlimited au kazi mbili akitaka na hizo nilizokutajia sio kazi za maana kwa US ni za watu wa kati au chini, US kuna pesa kuliko mbinguni njoo ule asali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…