Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa ana stressComment zako huwa zinaenda kinyume
Aahaaaaaaaaa,Kabisaa
bila shaka utakua umeandaa na uongo wa kanusho wakati muafakaView attachment 2773711
Hutaki unaacha , lakini huu ndio ukweli halisi , Nikiwa ka Mtanzania kwenye kundi hili Yanga havuki , hapo ndio Mwisho .
Pichani : ni mtoto mdogo akiizomea Yanga ilipofungwa na Ihefu
View attachment 2773705
Waaleikhu musalamu
Kwani wew kesho kutwa auchezi nae 🤣🤣🤣
Siye kazi ni kutunza tu risitibila shaka utakua umeandaa na uongo wa kanusho wakati muafaka
Na hiyo tarehe 20 hata niwe mgonjwa naenda kuwaangalia wanavyoshangazwa alafu sisi tutakuja kuishangaza hiyo hiyo AlhaliAahaaaaaaaaa,
Wanatamani kusema kuwa Al Ahyl ni kibonde kuliko msimu uliopita,ila wakikumbuka kuwa wanaye hapa bongo tarehe 20/10/2023 nguvu za kukosoa wanakosa
Wamebakiza kubwatuka Ihefu Ihefu ahaaa
We mwache tu atakomaWaaleikhu musalamu
Uzuri unaanza naye wewe,ahaaaaa
Tarehe 20 siyo mbali
😆😆😆😆Pichani : ni mtoto mdogo akiizomea Yanga ilipofungwa na Ihefu[emoji23]View attachment 2773717
Sent using Jamii Forums mobile app
Aahaaaaaa,wanashindwa wasemeje makoloKwani wew kesho kutwa auchezi nae 🤣🤣🤣
Siri yangu...[emoji23]Utakuwa unaenda kulilia choon mzee wangu ubaya zaidi kile kijiwe chako kinondoni sijui utakihama?
Asante Al Ahyl Kwa kutuondolea upepo wa Ihefu,aahaaaaaWe mwache tu atakoma
Ok ila imeacha nyayoIshapitwa na wakati hiyo,
Habari ya mjini ni Al Ahyl
Mbona umeweka nyimbo za msibani kaka 🤣🤣🤣
AahaaaaaaComment zako huwa zinaenda kinyume
Kwaio tushakubaliana kuwa hilo kundi ni gumu kwa yanga, sasa angalizo baadae msije kusema hizo timu ni dhaifu.View attachment 2773711
Hutaki unaacha , lakini huu ndio ukweli halisi , Nikiwa ka Mtanzania kwenye kundi hili Yanga havuki , hapo ndio Mwisho .
Pichani : ni mtoto mdogo akiizomea Yanga ilipofungwa na Ihefu
View attachment 2773705