Kilimbatz
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 4,331
- 5,865
Nyayo zishafunikwa na mchanga
Habari ni Al Ahyl kuja bongo mara mbili,kwanza akicheza na Simba a pili akicheza na Yanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyayo zishafunikwa na mchanga
Aahaaaa mkuu we tunza tu risitiKwaio tushakubaliana kuwa hilo kundi ni gumu kwa yanga, sasa angalizo baadae msije kusema hizo timu ni dhaifu.
Kweli maana baada ya mechi hawachelewi kusema alicheza na kibonde, sijui kushuka darajaNashukuru umekiri kuwa wote hapo juu ukitoa Yanga ni timu vipanga na ngumu,
Utaandika sana tenzi za rohoni,
Ahaaaaaaaaa,Na hiyo tarehe 20 hata niwe mgonjwa naenda kuwaangalia wanavyoshangazwa alafu sisi tutakuja kuishangaza hiyo hiyo Alhali
Aahaaaaaaa,acha kwanza wapambane na Al AhylKweli maana baada ya mechi hawachelewi kusema alicheza na kibonde, sijui kushuka daraja
Maajabu ya mdaka mishale?Halogi na atafanya maajabu utabaki kimya
Msije mkaendeleza zile nyimbo za kuwa kila timu inayofungwa na Yanga ni kibonde.View attachment 2773711
Hutaki unaacha , lakini huu ndio ukweli halisi , Nikiwa ka Mtanzania kwenye kundi hili Yanga havuki , hapo ndio Mwisho .
Pichani : ni mtoto mdogo akiizomea Yanga ilipofungwa na Ihefu
View attachment 2773705
AahaaaaaMuda wa kutunza risiri huu...
Mimi huyu sina shaka naye kabisa yani kwanza nimefurahia kukutana naye.Waaleikhu musalamu
Uzuri unaanza naye wewe,ahaaaaa
Tarehe 20 siyo mbali
Mimi huyu sina presha naye kabisaKwani wew kesho kutwa auchezi nae 🤣🤣🤣
Ni nyimbo yenye maudhui sahihi kulingana na habari iliyotufikia hivi pundeMbona umeweka nyimbo za msibani kaka 🤣🤣🤣
View attachment 2773711
Hutaki unaacha , lakini huu ndio ukweli halisi , Nikiwa ka Mtanzania kwenye kundi hili Yanga havuki , hapo ndio Mwisho .
Pichani : ni mtoto mdogo akiizomea Yanga ilipofungwa na Ihefu
View attachment 2773705
Kwahiyo atakuwa tayari kibonde au timu ngumu?Mimi huyu sina shaka naye kabisa yani kwanza nimefurahia kukutana naye.
Na pengine mkikutana naye atakuwa tayari amefukuza kocha
Ni mkunwa mwenzangu so itakuwa ni pambano kali ila najihakikishia kutumia home ground vizuriKwahiyo atakuwa tayari kibonde au timu ngumu?
Kumbe wewe unajidaia home ground,aahaaaaaaNi mkunwa mwenzangu so itakuwa ni pambano kali ila najihakikishia kutumia home ground vizuri